inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kuwaita waasi inategemea umeegemea upande ganiBut sio jeshi la serikali ni waasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwaita waasi inategemea umeegemea upande ganiBut sio jeshi la serikali ni waasi
Drone ni ndege Vita isiyo na rubani,mfano wake ni Rwanda wameshambulia uwanja wa ndege goma kwa droneHizo ni porojo tu za hao magaidi hakuna meli iliyo zamishwa na hiyo ndege walioangusha ni drone tu.
![]()
Houthis damage British cargo ship in new attack
The Iran-backed militants claim to have also shot down an American drone.www.politico.eu
nan aliwachagua ? katiba ya Yemen inatambua utawala waoHouthi ndo serikali kwa Yemen,,maana hadi mji mkuu ni wa kwao
Nzega ni ISIS , AL SHABAAB N.KSubiri wayahudi weusi wa Ifakara na wamarekani weusi wa Nzega waje kutoa povu hapa.
Wewe pimbi mbona unaongea utumbo? Elewa Wahouth ndio wayemennan aliwachagua ? katiba ya Yemen inatambua utawala wao
Umebarikiwa?Nzega ni ISIS , AL SHABAAB N.K
We huoni kama huyo USA ndo mvamizi,, lini umesikia nchi yoyote duniani imerusha ndege vita katika anga la USA au hata meli vita kukatiza tu,, yeye anafuata nini pale mashariki ya kati maelfu ya kilomita kutoka kwake... Au ndo mahaba mkuuSafi sana Houthi. Endeleeni tu hadi USA aje kuwavamia halafu tuanze kuandamana anawaonea.
Mahaba gani tena? Mimi nimesema waendelee tu kuchapanaWe huoni kama huyo USA ndo mvamizi,, lini umesikia nchi yoyote duniani imerusha ndege vita katika anga la USA au hata meli vita kukatiza tu,, yeye anafuata nini pale mashariki ya kati maelfu ya kilomita kutoka kwake... Au ndo mahaba mkuu
Hicho kidrone ndo kiarabu kinaitwa ndege vita
Unaelewa nini ukiambiwa come to halt??
Hiyo meli imechakazwa halt maana yake ni terminate hivyo huwenda ni kweli imezama.
Soma link uliyoleta kwa ufasaha.
Link yake mwenyewe imemthibitishia.Ili mradi wabishe, hawataki kukili kua Yemen amekua kidume hapo middle East
Chizi tu ndiye ataamini hizi taarifa
Muwe mnaacha mahaba nyuma ili akili itangulie mbele,Safi sana Houthi. Endeleeni tu hadi USA aje kuwavamia halafu tuanze kuandamana anawaonea.
Kuamini kwako au kutokuamini kwako hakubadilishi ukweli kua wamarekani wenzako japo wewe ni mmarekani mweusi wa Ifakara,wamechezea kichapo.Chizi tu ndiye ataamini hizi taarifa
Aisee! Magaidi lazima yafutiliwe mbali kabisa kwenye uso wa dunia.Kuamini kwako au kutokuamini kwako hakubadilishi ukweli kua wamarekani wenzako japo wewe ni mmarekani mweusi wa Ifakara,wamechezea kichapo.
wenzako wavaa gauni wanachezea.Punguani tu ndio atakebehi hizi taarifa
Umesha kwenda Vatican kubarikiwa? Papa amesha waruhusu tayari kama ulikua huna habari.Aisee! Magaidi lazima yafutiliwe mbali kabisa kwenye uso wa dunia.
Pole sana wavaa gauni
Wewe labda ndio una mahaba. Mimi nasema waendelee tu kutwangana ila wasituletee kelele au vilio wakianza kuumizana. Sijali afe mmarekani,muingereza,myemen au gazan wafe tu.Muwe mnaacha mahaba nyuma ili akili itangulie mbele,
Watu wanaandamana kwa kua hao Zionists wenu kuua wanawake na watoto wasio na hatia,kupiga refugee camps,Hospitali...vita vina sheria yake,mpaka leo Zionist kamasi zinawatoka kwa kikundi kidogo tu cha Hamas,licha ya kupewa silaha na kusaidiwa na US na mataifa ya Europe,
Hao Houthi wamewafuata US huko kwao?