JobTrueTrue [emoji2][emoji1787][emoji23]Kongole kwao.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Usiwapqngie cha kufanya wapangie familia yako๐Sema hawa watu wanataka populist tu hawana point, sawa na wale wa Afghanistan,
Vitu kama hivyo vinampa hasira adui yako mwisho upigwe kwa nguvu uanze kuomba msaada wa dunia,
Teka meli, toa injin yake kauze, upate pesa, ujenge chuo nchin mwako vijana wapate elimu kimya kimya bila kelele nying
Muda mrefu uwa nashindwa kukuelewa kwamba akili zako zipo kweli au unatumiwa na magaidi, endeleeni kujitoa ufahamu wakati nguvu zenyewe ni sawa na za JWTZWanaukumbi.
๐พ๐ช๐ฎ๐ฑ The Yemenis have turned the captured Israeli ship into a tourist attraction
Visitors are seen dancing, smoking waterpipes, and chilling on the ship.
===============
๐พ๐ช๐ฎ๐ฑ Wayemeni wamegeuza meli ya Israel iliyotekwa kuwa kivutio cha watalii.
Wageni wanaonekana wakicheza, wakivuta mabomba ya maji na kutulia kwenye meli.
Soma > Meli ya Israel yatekwa Yemen
View attachment 2835568
Hamas wanafurahi sana wanapata maji ya kuoga๐Huku wenzao wanajaziwa maji chumvi kwenye mashimo View attachment 2835667
Huyo ustaadh akili hana kabisaKwani lazima niungane na wewe mkuu Ritz kufurahia hicho ulichoandika?
Ni jambo la muda endeleeni kuchezea simba wa yuda, saizi tunechoka ceasefire na vifo vya watoto huko gazaWanaukumbi.
๐พ๐ช๐ฎ๐ฑ The Yemenis have turned the captured Israeli ship into a tourist attraction
Visitors are seen dancing, smoking waterpipes, and chilling on the ship.
===============
๐พ๐ช๐ฎ๐ฑ Wayemeni wamegeuza meli ya Israel iliyotekwa kuwa kivutio cha watalii.
Wageni wanaonekana wakicheza, wakivuta mabomba ya maji na kutulia kwenye meli.
Soma > Meli ya Israel yatekwa Yemen
View attachment 2835568
Kuna mambo duniani yatakuacha mdomo wazi,kule Uganda km tele walipiga kiguu na njia kukifuata Chao,Leo hii km chache hawawezi kukifuata chao.Israel ameshindwa kuifuata?
Asalaam aleykum ostadhatAkinielewa Mama yako inatosha