Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Na kuvuta shishawamepata kijiwe kizuri cha kusaga gomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuvuta shishawamepata kijiwe kizuri cha kusaga gomba
Sasa kama inaweza si ingeshaangusha?Najiuliza, Israel inashindwa kuangusha bomu la a milioni kg-force kuzima kila kitu? uwe na akili
Gaidi wa kwanza marekani,,, fikiria umbali wa kutoka Amerika mpaka, Libya, Iraq, Syria, Vietnam, Afghanistan kote huko kapigana vita,, maelfu ya kilomita kutoka kwake so ungeanza na huyu kwanza kupinga huo ugaidiNapinga ugaidi
Hio meli ilikua inapeleka mzigo Israel wala so ya Israel acheni upotoshaji magaidi wa kiislamuIsrael si wanajeshi lenye nguvu duniani waende wakaichukue meli yao.
mmiliki myahudiHio meli ilikua inapeleka mzigo Israel wala so ya Israel acheni upotoshaji magaidi wa kiislamu
Yemeni Ina vyanzo vingi kiuchumi.Sema hawa watu wanataka populist tu hawana point, sawa na wale wa Afghanistan,
Vitu kama hivyo vinampa hasira adui yako mwisho upigwe kwa nguvu uanze kuomba msaada wa dunia,
Teka meli, toa injin yake kauze, upate pesa, ujenge chuo nchin mwako vijana wapate elimu kimya kimya bila kelele nying
Kwahio kama ulikua unaletewa mzigo wako hapo kwako na shemegi yakoHio meli ilikua inapeleka mzigo Israel wala so ya Israel acheni upotoshaji magaidi wa kiislamu
Duu hawa jamaa wakorofi sana!Wanaukumbi.
🇾🇪🇮🇱 The Yemenis have turned the captured Israeli ship into a tourist attraction
Visitors are seen dancing, smoking waterpipes, and chilling on the ship.
===============
🇾🇪🇮🇱 Wayemeni wamegeuza meli ya Israel iliyotekwa kuwa kivutio cha watalii.
Wageni wanaonekana wakicheza, wakivuta mabomba ya maji na kutulia kwenye meli.
Soma > Meli ya Israel yatekwa Yemen
View attachment 2835568
Mkuu mbona mnatupanga...hata sisi waandishi wa habari na wasomi wa marine warfareWanaukumbi.
🇾🇪🇮🇱 The Yemenis have turned the captured Israeli ship into a tourist attraction
Visitors are seen dancing, smoking waterpipes, and chilling on the ship.
===============
🇾🇪🇮🇱 Wayemeni wamegeuza meli ya Israel iliyotekwa kuwa kivutio cha watalii.
Wageni wanaonekana wakicheza, wakivuta mabomba ya maji na kutulia kwenye meli.
Soma > Meli ya Israel yatekwa Yemen
View attachment 2835568
Tangu lini mkuu duniani vita vikafuata sheria???Ipo siku dunia itachoka kuwahurumia hawa magaidi, na wazungu na wayahudi na waafrika wataamua kulipa visasi kwa kutochagua raia wala wanajeshi kama magaidi wanavyofanya! Ndiyo watakapoanza kulia sheria hazifuatwi wkt wao hawafuati sheria za vita.
Walichokifanya Hamas tarehe 07/10 ndicho exactly wanachokifanya Israel.Ni principle ya jino kwa jino.Hawa wanafuata sharia wenzao wanafuata sheria za Musa/ToratiIpo siku dunia itachoka kuwahurumia hawa magaidi, na wazungu na wayahudi na waafrika wataamua kulipa visasi kwa kutochagua raia wala wanajeshi kama magaidi wanavyofanya! Ndiyo watakapoanza kulia sheria hazifuatwi wkt wao hawafuati sheria za vita.
Dunia ipi hio [emoji3]Ipo siku dunia itachoka kuwahurumia hawa magaidi, na wazungu na wayahudi na waafrika wataamua kulipa visasi kwa kutochagua raia wala wanajeshi kama magaidi wanavyofanya! Ndiyo watakapoanza kulia sheria hazifuatwi wkt wao hawafuati sheria za vita.
Kampuni inayomiliki hiyo meli inaitwa Vehicle carrier Galaxy Leader, mmiliki wake ni Abraham "Rami" Ungar.Mkuu mbona mnatupanga...hata sisi waandishi wa habari na wasomi wa marine warfare
Ebu nitajie kampuni tanzu inayomiliki hii meli ya mzigo..
Kuanzia leseni ya biashara hadi flag authorization ya water licence...???
Je Israel govt wanamiliki chochote???
Na Japan govt ipo angle gani???