Yemen yeigeuza meli ya Israel kuwa kivutio cha watalii

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Hawa kweli wanaume, wanapiga dance lile la kiyemen melini
 
Usiwapangie,, hata wakitaka kufugia kuku wewe haikuhusu
 
BREAKING:

๐Ÿ‡พ๐Ÿ‡ช The Houthis have warned Saudi Arabia and the UAE

The Houthis have warned that if Saudi Arabia and the UAE try to attack Yemen again, they will launch missile and drone strikes on oil pipelines and wells in their territories.

The Houthis have already done this; they have the necessary means of destruction for this. Saudi Aramco infrastructure was especially hard hit.
 
Najiuliza, Israel inashindwa kuangusha bomu la a milioni kg-force kuzima kila kitu? uwe na akili
 
Naona Ustaazi umekuja kujifariji na habari za Yemen baada ya kipigo kukolea kwa mabwana zako Hamas kule Gaza [emoji16]
 
Wee mtu wewe "smoking waterpipes" SIYO "kuvuta mabomba ya maji" ni KUVUTA SHISHA.
 
Kumbe wanapanda na kucheza ile ngoma yao ndani ya meli.Safi sana.
 
Utakapofika wakati wa hao watu kugeuziwa kibao na Israel msije kulalamika.
Kumbuka: "Action and reaction are Equal but opposite in direction."

Mara baada ya like shambulizi la kigaidi kule Israel tarehe 7 Oktoba, 2023, Wapalestina na washirika wao walifurahi na kushangilia sana, lakini leo hii wanalia Kilio kikubwa sana cha Machozi, Jasho na Damu!
 
Utaka

Utakapofika wakati wa hao watu kugeuziwa kibao na Israel msije kulalamika.
Kumbuka: "Action and reaction are Equal but opposite in direction."
Kibao gani zaidi ya kuuwa watoto na wagonjwa ndiyo maana huko Yemen kaomba msaada wa Nato na Japan.
 
Hawa jamaa kama watoto. Mbona hawapo kivita .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ