Yericho Nyerere siyo familia ya Nyerere.

Yericho Nyerere siyo familia ya Nyerere.

Hata ikiwa ni familia ya Nyerere sisi inatusaidia nini? akina Makongoro wanavuta sigara tu na pombe, Nyerere hakuwa malaika
Tumia jina la mtoto, mjukuu wa Mwinyi, Samia, Mkapa na ugundulike na mamlaka ndiyo utaelewa kama ni sahihi au sio sahihi kudandia majina ya watu/Viongozi wasiokuhusu.
 
akiwa familia au sio inatusaidia nini ? Maendeleo ya nchi ? Acha wanyukane kieleweke....muda utaongea
 
Tumia jina la mtoto, mjukuu wa Mwinyi, Samia, Mkapa na ugundulike na mamlaka ndiyo utaelewa kama ni sahihi au sio sahihi kudandia majina ya watu/Viongozi wasiokuhusu.
Mbn wakina mwinyi na mkapa wapo wengi mitaani
 
Back
Top Bottom