Yericko Nyerere adai kuingiza zaidi ya Tsh milioni 220 kwa kuuza vitabu Amazon

Yericko Nyerere adai kuingiza zaidi ya Tsh milioni 220 kwa kuuza vitabu Amazon

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umoufia Kwenu wana JF,

Mtunzi wa kitabu cha Ujasusi Ndugu Yericko Nyerere katika kuwa_encourage watunzi wenzake watumie majukwaa ya kimataifa kuuza kazi zao,amewapa siri jinsi yeye alivyofaidika kwa kuweka kazi zake kimataifa na mwezi June alipokea check yenye zaidi ya USD Dola Laki moja kutokana na Mauzo ya kitabu chake.

Ukiachana na Pesa aliyoingiza mwezi juni zaidi ya Milioni 200 za kitanzania,yericko amefanikiwa kujenga Mansion yenye ghorofa tatu(3 Storey building) huku MBUTU Somangila.

VIjana wa Lumumba jitahidini kufanya mambo mengine ya kujiiingizia kipato nje ya siasa ili muwe na faida kwa uchumi wa nchi sio kusifu tu ili mradi mkate wenu uende kinywani hivyo kutokuwa na tija kwa jamii.

CHECK.jpg
 
Hongera zake na iwe chachu kwetu wengine kuongeza juhudi na maarifa kwenye kazi zetu.

Amazon na maendeleo yote yale bado wanatumia hundi kufanya malipo ya kimataifa? Au ni kwa vile mchakato wa malipo unachelewa na kuwafanya wasitoe pesa upesi kama ambavyo wangefanya transfer?
 
Mkataba wangu wa kuchambua mada JF unaishilia October 2020! Soon nitamjoin kwenye utunzi wa vitabu ili nipige pesa...
Sijui nianze kuandika kwenye maswala ya Betting ambayo nina uwelewa nayo mkubwa wa kiwango cha PhD... Nikiweza ku over come some 'ethical dilema', I will one day write about this!
 
mikocheni Junction,
Mkuu ni kweli amepata zaidi ya milioni 220 kutoka amazon Check Number 5346193 hapo ni kama ameuza Copy 2000 kwa USD 50 each copy,sasa kwa miaka miwili kweli ashindwe kuuza copy 2000? Yaani Evarage kwamba kwa siku auze copy 1 au 2,yaani leo akiuza moja kesho akiuza mbili kwa miaka miwili ni zaidi ya USD 100,000.......Sasa kama haumini kuingiza milioni 220 kutoka Amazon,Vipi kuhusu Mansion lake la Ghorofa 3 anayokaa MBUTU?
 
Mkataba wangu wa kuchambua mada JF unaishilia October 2020! Soon nitamjoin kwenye utunzi wa vitabu ili nipige pesa...
Sijui nianze kuandika kwenye maswala ya Betting ambayo nina uwelewa nayo mkubwa wa kiwango cha PhD... Nikiweza ku over come some 'ethical dilema', I will one day write about this!
Mwenyewe najipanga Mungu akijalia mwaka kesho mwanzoni niachie na mimi kitabu changu. Hopeful kitauza sana maana ni kitu chenye mvuto kwa watu
Utunzi wa vitabu unalipa mkuu,All the Best katika kutimiza ndoto zenu.
 
Hongera zake na iwe chachu kwetu wengine kuongeza juhudi na maarifa kwenye kazi zetu.

Amazon na maendeleo yote yale bado wanatumia hundi kufanya malipo ya kimataifa? Au ni kwa vile mchakato wa malipo unachelewa na kuwafanya wasitoe pesa upesi kama ambavyo wangefanya transfer?
Labda ni Safe kuliko Online/Transfer au Yericko ame prefer njia hiyo.
 
Wewe umefanya kitu gan mpaka uwaponde wenzio, usijekuwa na akili kama za wanasiasa wetu wanaowaambia vijana wajiajiri wakat wao hata nyanya hawajawahi kuuza
Nimewafungua akili wasijikite 100% kwenye siasa,wawe na shughuli nyingine inayowaingizia kipato ukiacha zile buku 7 za kusifia mautumbo.
 
Back
Top Bottom