Yericko Nyerere adai kuingiza zaidi ya Tsh milioni 220 kwa kuuza vitabu Amazon

Yericko Nyerere adai kuingiza zaidi ya Tsh milioni 220 kwa kuuza vitabu Amazon

Kuna ukakasi mkubwa kuamini

Siamini kama first atempts unaweza kufanya sells ya dola laki moja

Kuna waandishi mashuhuri wameweka nakala zao amazon hawajafikisha hiyo

Hongerea kwake kama kweli
Sasa hao wengi ni uyo ??
 
Back
Top Bottom