King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
- #81
Mcheck Yericko ana uzoefu Mkuu.Niambie mkuu..
Ili kifike Amazon unafanyaje?
Je lazima kitafsiriwe au unakiacha hvo hvo na lugha yake ya kiswahili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mcheck Yericko ana uzoefu Mkuu.Niambie mkuu..
Ili kifike Amazon unafanyaje?
Je lazima kitafsiriwe au unakiacha hvo hvo na lugha yake ya kiswahili?
Jiwe na udokta wake ameshawahi kuandika kitabu?Awagawie kiasi kidogo chadema wafanye ukarabati wa jengo la ufipa. Atakuwa amefanya jambo jema.
Tunazungumzia kuhusu kamanda jasusi wewe unaanza oh jiwe sijui nini, upuuzi mtupu.Jiwe na udokta wake ameshawahi kuandika kitabu?
Kuhusu hili usibishe mkuu. Huko duniani kuna watu hobby yao ni kusoma vitabu hiyo dola laki moja naona pia kama ni ndogo. Ina maana kwa kitabu cha dola 20 ukifanikiwa kuuzia watu 5000 ni hiyo dola laki moja unaisemea.
sawa yekoNa sio kila mtu ana kipaji cha kuandika vitabu
Wakati mwingine usilete ubishi wa kijinga ili mradi uonekane na ww unajua kubisha
wameacha kuficha account number wameficha pesa. kweli kazi ipoNajua hio ni account number ya hio bank ya Well Fargo Bank na routing number yake, suala langu kwanini ifichwe amount ya hela na kuionesha account number?( kama amelipwa hio laki tuone haina madhara kwa security reasons)
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
ukiuza amazon yenye duka lake uingereza (ambako ndio pengine watakuwa makao makuu), unalipaje kodi tz? si wameshakukata kodi kulekule UK? utalipaje kodi mara mbili? hapo hudaiwi kitu na hao TRA.Kesho TRA utawasikia wameitisha media wanamtumia bili ya kodi yake .
Mtu anaishi kiujanja ujanja kwa kufake fake tu, sijui mpaka lini.hiki kitabu kwa mwezi kinauza copy moja hiyo laki mbili ilipatikanaje?
nilidhani ni mtoto wa NyerereMtu anaishi kiujanja ujanja kwa kufake fake tu, sijui mpaka lini.
Kwanza mtu ambaye kakataa jina la baba yake na kujichomeka surname nzito ili atapeli watu anaaminikaje.
Nadhani hawa ndio wale wa FAKE IT Till, You Make it.
Mwenyewe najipanga Mungu akijalia mwaka kesho mwanzoni niachie na mimi kitabu changu. Hopeful kitauza sana maana ni kitu chenye mvuto kwa watu