Yericko Nyerere adai kuingiza zaidi ya Tsh milioni 220 kwa kuuza vitabu Amazon

Yericko Nyerere adai kuingiza zaidi ya Tsh milioni 220 kwa kuuza vitabu Amazon

Pesa haingopi banah.
Screenshot_2019-08-19-21-57-35.jpeg
 
Mwanadam bhana ,, unemsemea mwenzio na kuwaponda wanalumumba lakini umesahau wewe kutuambia nje ya umbea , kipato chako kikoje tujue hayo maneno yako ya mwisho yameakisi umbea au nn!
 
Anza taratibu ..kuandika page moja leo ..kesho mbili keshokutwa tatu..by 2020 una publish kitabu chako. ...
Mkataba wangu wa kuchambua mada JF unaishilia October 2020! Soon nitamjoin kwenye utunzi wa vitabu ili nipige pesa...
Sijui nianze kuandika kwenye maswala ya Betting ambayo nina uwelewa nayo mkubwa wa kiwango cha PhD... Nikiweza ku over come some 'ethical dilema', I will one day write about this!
 
mara nyingi vitabu havina tofauti sana na cinema nikimaanisha KNOWN STARRING IS A ONE WHO SALE./ 100,000 U.S $ hata wazungu huiheshimu na si hela ya kimchezo mchezo kuitamka.
 
Back
Top Bottom