Yericko Nyerere amchana Mo Dewji

Yericko Nyerere amchana Mo Dewji

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Yaani ugomvi wako na Manara unataka wanasimba wote waununue?? Noooo nooo hii haikubaliki duniani hadi mbinguni, Acha maisha binafsi ya Wachezaji yawe huru, ilimradi hawavunji mikataba yao.
Mkataba wa Chama hausemi asimsifie Manara badala yake akusifie wewe, Izingatiwe kuwa Wachezaji ni waajiliwa wa Simba na sio Mohamed Dewji. Ni aibu katika taifa kwa mtu mwenye haiba ya bilionea kama Mohamed Dewji kuwa na tabia ya aina hii.

Lini uliwahi kuona Abromovic akishobokea post za wachezaji wa Chelsea? Lini uliwahi kuona Stan Kroenke anashobokea post za Instagram za wachezaji wa Arsenal? Lini umewahi kuona Sheikh Mansor akishobokea post za Instagram za wachezaji wa Man City?

Ndugu tajiri Mohamed Dewji jifunze kuishi kama Taijiri uliyewekeza katika soka, usishi maisha ya Yericko wala ya Mzee Mpili. Mpira sio chuki uliyoikumbatia hiyo dhidi ya Haji Manara, Kwenye tasnia ya Soka watu huja na kupita, Manara alikuwepo na amepita, Ondoa hiyo roho ya korosho uliyo nayo kwa Manara mpira usonge mbele. Simba tunakabiliwa na Klabu Bingwa Afrika, Wekeza muda na akili yako huko, achana na tabia ya kushinda Instagram.

CHAMA1.jpg


CHAMA2.jpg


CHAMA3.jpg
 
Yericko hangaika na mwenyekiti wako ana kesi ya ugaidi, hii burudani ya Soka tuachie sie.
Au ndo mshamsahau mwenyekiti wenu? Na mbona na wewe mwanachama mwenzio akigombana na Mbowe wewe utamwita msaliti tu!!
Je wewe utaweza kumsifia mgomvi wa babako aliyemtukana kumdhalilisha babako mbele yake? Nakuapia hutakula siku hiyo utaishia kunawa.
 
Mo ameleta mabadiliko makubwa sana ya soka Tanzania katika kipindi cha miaka minne.
Kumpiga vita Mo ni kurudisha nyuma soka letu!
Tuache kuwaonea matajiri wivu!
Huyu mtu anaetukanwa na haji kaweka 20bilion simba, hakuna muwekezaji yoyote Tz aliyethubutu kufanya kama Mo.
Mimi kama mwanasimba namheshimu sana Mo, ameifanya simba ijulikane Africa,
Simba sasa ni timu ya 13 Africa, Tanzania sasa inaingiza timu nne katika michuano ya kimataifa, hii yote ni mafanikio ya simba yaliyotokana na jitihada za Mo.
 
Basi tufanye hivi Mo haiache timu tumkabidhi Yeriko kama ataweza kuihudumia kwa ile kazi yake ya kulima bamia na kutengeneza umeme wa majumbani
Nimecheka kichizi,mauzo yake yote ya vitabu vyake vya kutunga tunga+bamia+ufundi umeme hayawezi sajili hata mchezaji mmoja wa Simba.

Ila mhindi Ni mhindi tu aiseee,Mo kazingua anakuaga na utoto.
 
Yaani ugomvi wako na Manara unataka wanasimba wote waununue?? Noooo nooo hii haikubaliki duniani hadi mbinguni, Acha maisha binafsi ya Wachezaji yawe huru, ilimradi hawavunji mikataba yao.
Mkataba wa Chama hausemi asimsifie Manara badala yake akusifie wewe, Izingatiwe kuwa Wachezaji ni waajiliwa wa Simba na sio Mohamed Dewji. Ni aibu katika taifa kwa mtu mwenye haiba ya bilionea kama Mohamed Dewji kuwa na tabia ya aina hii.
Lini uliwahi kuona Abromovic akishobokea post za wachezaji wa Chelsea? Lini uliwahi kuona Stan Kroenke anashobokea post za Instagram za wachezaji wa Arsenal? Lini umewahi kuona Sheikh Mansor akishobokea post za Instagram za wachezaji wa Man City?
Ndugu tajiri Mohamed Dewji jifunze kuishi kama Taijiri uliyewekeza katika soka, usishi maisha ya Yericko wala ya Mzee Mpili. Mpira sio chuki uliyoikumbatia hiyo dhidi ya Haji Manara, Kwenye tasnia ya Soka watu huja na kupita, Manara alikuwepo na amepita, Ondoa hiyo roho ya korosho uliyo nayo kwa Manara mpira usonge mbele. Simba tunakabiliwa na Klabu Bingwa Afrika, Wekeza muda na akili yako huko, achana na tabia ya kushinda Instagram.

View attachment 1883697

View attachment 1883698

View attachment 1883699
Aiseee, yaani Yericko naye eti ana chawa 🤣🤣🤣
 
Mo ameleta mabadiliko makubwa sana ya soka Tanzania katika kipindi cha miaka minne.
Kumpiga vita Mo ni kurudisha nyuma soka letu!
Tuache kuwaonea matajiri wivu!
Huyu mtu anaetukanwa na haji kaweka 20bilion simba, hakuna muwekezaji yoyote Tz aliyethubutu kufanya kama Mo.
Mimi kama mwanasimba namheshimu sana Mo, ameifanya simba ijulikane Africa,
Simba sasa ni timu ya 13 Africa, Tanzania sasa inaingiza timu nne katika michuano ya kimataifa, hii yote ni mafanikio ya simba yaliyotokana na jitihada za Mo.
Kwenye hii kesi tajiri aonewi wivu Bali yeye ndo anaona wivu?
 
Yaani ugomvi wako na Manara unataka wanasimba wote waununue?? Noooo nooo hii haikubaliki duniani hadi mbinguni, Acha maisha binafsi ya Wachezaji yawe huru, ilimradi hawavunji mikataba yao.
Mkataba wa Chama hausemi asimsifie Manara badala yake akusifie wewe, Izingatiwe kuwa Wachezaji ni waajiliwa wa Simba na sio Mohamed Dewji. Ni aibu katika taifa kwa mtu mwenye haiba ya bilionea kama Mohamed Dewji kuwa na tabia ya aina hii.
Lini uliwahi kuona Abromovic akishobokea post za wachezaji wa Chelsea? Lini uliwahi kuona Stan Kroenke anashobokea post za Instagram za wachezaji wa Arsenal? Lini umewahi kuona Sheikh Mansor akishobokea post za Instagram za wachezaji wa Man City?
Ndugu tajiri Mohamed Dewji jifunze kuishi kama Taijiri uliyewekeza katika soka, usishi maisha ya Yericko wala ya Mzee Mpili. Mpira sio chuki uliyoikumbatia hiyo dhidi ya Haji Manara, Kwenye tasnia ya Soka watu huja na kupita, Manara alikuwepo na amepita, Ondoa hiyo roho ya korosho uliyo nayo kwa Manara mpira usonge mbele. Simba tunakabiliwa na Klabu Bingwa Afrika, Wekeza muda na akili yako huko, achana na tabia ya kushinda Instagram.

View attachment 1883697

View attachment 1883698

View attachment 1883699
Yerico pamoja na kuandika vitabu vya ujasusi kweli ameshindwa kuelewa mantiki ya Mo?Mo amewekeza mabilioni anatokea mtu anahatarisha uwekezaji huo,je utakaa kimya ?
Manara anataka kuingiza mgogoro ndani ya club kwa maana nyingine anahatarisha uwekezaji,je uachwe.
 
Back
Top Bottom