Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama naye anahatarisha vipi huo uwekezaji?Yerico pamoja na kuandika vitabu vya ujasusi kweli ameshindwa kuelewa mantiki ya Mo?Mo amewekeza mabilioni anatokea mtu anahatarisha uwekezaji huo,je utakaa kimya ?
Manara anataka kuingiza mgogoro ndani ya club kwa maana nyingine anahatarisha uwekezaji,je uachwe.
Mo ana tabia za kike😅Mwanzo niliona Manara kakosea, ila sasa naona alikua sawa 200%.
Yote kwa yote Mo pekee anachangia 3.5% ya pato la taifa.
Basi tufanye hivi Mo haiache timu tumkabidhi Yeriko kama ataweza kuihudumia kwa ile kazi yake ya kulima bamia na kutengeneza umeme wa majumbani
Yericko hangaika na mwenyekiti wako ana kesi ya ugaidi, hii burudani ya Soka tuachie sie.
Au ndo mshamsahau mwenyekiti wenu? Na mbona na wewe mwanachama mwenzio akigombana na Mbowe wewe utamwita msaliti tu!!
Je wewe utaweza kumsifia mgomvi wa babako aliyemtukana kumdhalilisha babako mbele yake? Nakuapia hutakula siku hiyo utaishia kunawa.
Nimecheka kichizi,mauzo yake yote ya vitabu vyake vya kutunga tunga+bamia+ufundi umeme hayawezi sajili hata mchezaji mmoja wa Simba.
Ila mhindi Ni mhindi tu aiseee,Mo kazingua anakuaga na utoto.
Chama naye anahatarisha vipi huo uwekezaji?
Mo anakera sana anaishi tabia za kiswahili, abehave like a billionaire.
Kwa hadhi yake aonekane anafollow page, like au kucomment post za marais/viongozi wa nchi mbalimbali, mabilionaire wenzake.
Aache uswahili.
Sijajua Bakharesa unamchukuliaje.
Chama naye anahatarisha vipi huo uwekezaji?