Yericko Nyerere amchana Mo Dewji

Tatizo watu hawataki ukweli Muddy anakera na kunyima uhuru wa mchezaji kitendo cha kumwambia mchezaji kwamba Manara ndiye aliyekulipia fee ni unyanyashaji na kubishana
Mo ni binadamu, imagine we ungekua Mo, umeweka 20 b afu anakuja mtu kushawishi watu kuwa wewe hufanyi kitu ni tapeli tu.
Mo amevurugwa, tumuelewe position yake, hawezi kujibizana na haji lakini anapoona hata wale wanaotegemea ufadhili wake wanasifia hasimu wa club lazima areact. Japo kakosea, lakini Chama kakosea zaidi.
 
Basi tufanye hivi Mo haiache timu tumkabidhi Yeriko kama ataweza kuihudumia kwa ile kazi yake ya kulima bamia na kutengeneza umeme wa majumbani
Mwishoni tutamsikia Yericko '' Nunua vitabu vyangu''
 
Huo ndo ubaya wa kuwa billionea kwa kurithishwa. Angekuwa billionea kuanzia zero angeshtuka mapema but amekuja kuendeleza ubillionea wa baba
 
Hajitambui hiyo b20 kaweka pesa au bango we huwajui wahindi wanaroho mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…