Yericko Nyerere anadhani Israel ni Tanzania

Yericko Nyerere anadhani Israel ni Tanzania

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
 
Mwambie Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambie Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambie Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambie Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
Uzi tayari.
 
Ingawa waisrael watamchukulia Yericko kama punguani ila inashangaza na yeye anavyowashambulia mabeberu huku akitumia mitandao yao (Insta, Facebook na X)... ilibidi huyu jasusi pori wa Ufipa atafute mitandao ya kirusi ndo aitumie.
 
Ujinga tu hiyo Facebook, twiter , Instagram, Gmail, ATM kadi na simu anayotumia na internet vyote vya mabeberu

Unakuta Rais wa nchi ya mtu mweusi anatoka mbele na kuanza kuwatukana babeberu wakati hata mike anayotumia na boxer aliyovaa vinatoka kwa hao hao mabeberu!!!

Mifumo ya fedha na mabenki yote duniani yako chini ya Israel !!!
 
Ujinga tu hiyo Facebook, twiter , Instagram, Gmail, ATM kadi na simu anayotumia na internet vyote vya mabeberu

Waafrika bwana akili hamna kabisa

Unakuta Rais wa nchi ya mtu mweusi anatoka mbele na kuanza kuwatukana babeberu wakati hata mike anayotumia na boxer aliyovaa unatoka kwa hao hao mabeberu!!!

Mifumo ya fedha na mabenki yote duniani yako chini ya Israel !!!
waajabu zaidi ni wanadamu,wanatumia,uhai,pumzi vyote vya Mungu,alafu hawataki kufuata sheria zake,na kuzivunja kwa makusudi.
 
Ujinga tu hiyo Facebook, twiter , Instagram, Gmail, ATM kadi na simu anayotumia na internet vyote vya mabeberu

Waafrika bwana akili hamna kabisa

Unakuta Rais wa nchi ya mtu mweusi anatoka mbele na kuanza kuwatukana babeberu wakati hata mike anayotumia na boxer aliyovaa unatoka kwa hao hao mabeberu!!!

Mifumo ya fedha na mabenki yote duniani yako chini ya Israel !!!
Hata Girlfriend wanamilikiwa na Mabeberu
 
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
sasa wewe wadhani Yericko akiandika anachokiandika ana impact gani kwa Israel haadi waanze kuhangaika naye.
Nenda YT japo ni platform ya Google ambayo ni kampuni ya Kimarekani, zimejaa video kibao za kuikandia Youtube na wachambuzi mpaka leo wapo tu wanaishi.
Si kila kitu unafaa kupambana nacho. Yericko hana impact yoyote internationally kiasi kwamba wahangaike naye.
 
Ujinga tu hiyo Facebook, twiter , Instagram, Gmail, ATM kadi na simu anayotumia na internet vyote vya mabeberu

Waafrika bwana akili hamna kabisa

Unakuta Rais wa nchi ya mtu mweusi anatoka mbele na kuanza kuwatukana babeberu wakati hata mike anayotumia na boxer aliyovaa unatoka kwa hao hao mabeberu!!!

Mifumo ya fedha na mabenki yote duniani yako chini ya Israel !!!
Si amenunua hivyo vitu kwa fedha lakini?
 
Ingawa waisrael watamchukulia Yericko kama punguani ila inashangaza na yeye anavyowashambulia mabeberu huku akitumia mitandao yao (Insta, Facebook na X)... ilibidi huyu jasusi pori wa Ufipa atafute mitandao ya kirusi ndo aitumie.
Anajifanya mtu wa mizimu ila vitabu vyake haandiki kwa lugha ya kabila lake , jamaa mnafiki kiwango cha lami ...Mda huo kala suti hajavaa ngozi za fisi kama utamaduni wa kwao .
 
Back
Top Bottom