Yericko Nyerere anadhani Israel ni Tanzania

Yericko Nyerere anadhani Israel ni Tanzania

Yericko ni mtu mkubwa. Huwa anapata taarifa kutoka kwenye intelligence cables kabla hata wengine hawajazipata.
 
Uyo yeriko ni mtoto wa nyerere au nae ndio wale ambao familia inataka wasitembelee kiki ya jina la baba yao?
 
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
Huwa mnazingatia huyu mtu mfupi kama stuli?

Eti kuna watu wanunua na vitabu kabisa haha
 
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
Ache mikwara wewe muisrael wa Ccm
 
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kkk

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Mwachen ayakanyage
 
Israel 🇮🇱 🇮🇱 haiwezekani ikahangaika na vitu vya kipuuzi kama Yericko Nyerere wako busy ni vitisho kutoka kwa wavaa vipedo ☪️ 🕋 🕌
 
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
Acha kutishia watu wewe!....
 
Ingawa waisrael watamchukulia Yericko kama punguani ila inashangaza na yeye anavyowashambulia mabeberu huku akitumia mitandao yao (Insta, Facebook na X)... ilibidi huyu jasusi pori wa Ufipa atafute mitandao ya kirusi ndo aitumie.
Aaahaa
 
Back
Top Bottom