Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe amezungukwa na majangili tupuView attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Very sad. Siku zote wanahubiri amani na kukomesha utekaji but what is this?View attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Na leo atatangaza kutogombea, ili kuunganisha chama, sijui hawa watu aina ya Nyerere wataenda wapi.Mbowe amezungukwa na majangili tupu
CHADEMA kumbe ni genge la wahuni tupuNa leo atatangaza kutogombea, ili kuunganisha chama, sijui hawa watu aina ya Nyerere wataenda wapi.
Tulichelewa kumjua yerico Nyerere ni mtu wa namna gani aisee! Muda ndiyo kila kitu aiseeView attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Mbowe amezungukwa na wajinga tupu.View attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Hapana, afadhali ya CDM kuliko CCM. Mbowe kazungukwa na wahuni kama akina Yerico, kishagunduaCHADEMA kumbe ni genge la wahuni tupu
"Tutawatambua kwa matunda yao"View attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Inaogopesha mkuu, sema tumechelewa kulitambua hili genge linalopigana kufa kupona kumpitisha Mbowe.Mbowe amezungukwa na majangili tupu
Huyu ndiye yule wa makaratasi auView attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.