Yericko Nyerere: Nyumba aliyoshambuliwa Lissu ni ya mbowe

Yericko Nyerere: Nyumba aliyoshambuliwa Lissu ni ya mbowe

msovero

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
863
Reaction score
1,534
Jana katika kipindi cha medani za siasa kinachorushwa Star TV chini ya matayarishaji Chief Odemba, bw. Yericko Nyerere ambaye ni Kada wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) akiweka wazi kuwa, nyumba aliyoshambuliwa Mh. TUNDU LISSU haikuwa yake Bali ilikuwa ya Mh. FREEMAN MBOWE ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho.

Ikumbukwe kuwa, TUNDU LISSU alishambuliwa maeneo ya Area D jijini Dodoma na CCTV camera za Eneo Hilo ziliondolewa Hadi Leo haifahamiki Nani aliziondoa na Kwa malengo gani

Pia soma,

 
Yericko hoja zake ni dhaifu Sana .

Nyumba ni ya Mbowe au Nyumba ni ya serikali ?

Hiyo Nyumba amewahi kukaa Lwakatare kipindi hicho yupo chama cha CUF.

Serikali huwa Ina provide Nyumba na gari Kwa kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani.
 
Jana katika kipindi cha medani za siasa kinachorushwa Star TV chini ya matayarishaji Chief Odemba, bw. Yericko Nyerere ambaye ni Kada wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) akiweka wazi kuwa, nyumba aliyoshambuliwa Mh. TUNDU LISSU haikuwa yake Bali ilikuwa ya Mh. FREEMAN MBOWE ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho.
Umeelewa vibaya. Alichosema Yeriko ni kwamba ile nyumba ilitolewa na Serikali kwa ajili ya Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni na technically kiongozi huyo alipaswa kuwa Mbowe

Sio kwamba ile nyuma ni mali halali ya Mh. FA Mbowe

Ila Yeriko kaongea pumba nyingi sana. Sikuwahi kuwaza huyu jamaa ni kiazi kwa kiwango kile
 
Umeelewa vibaya. Alichosema Yeriko ni kwamba ile nyumba ilitolewa na Serikali kwa ajili ya Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni na technically kiongozi huyo alipaswa kuwa Mbowe

Sio kwamba ile nyuma ni mali halali ya Mh. FA Mbowe

Ila Yeriko kaongea pumba nyingi sana. Sikuwahi kuwaza huyu jamaa ni kiazi kwa kiwango kile
Yericko njaa imehamia kichwani
 
Ni kweli. Sisi tunachotaka ni hiyo nafasi ya mwenyekiti sio nyumba yake.
 
Umeelewa vibaya. Alichosema Yeriko ni kwamba ile nyumba ilitolewa na Serikali kwa ajili ya Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni na technically kiongozi huyo alipaswa kuwa Mbowe

Sio kwamba ile nyuma ni mali halali ya Mh. FA Mbowe

Ila Yeriko kaongea pumba nyingi sana. Sikuwahi kuwaza huyu jamaa ni kiazi kwa kiwango kile
Huyu kifaduro Yericko ni zero brain kabisa
 

Attachments

  • GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
    GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
    58.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom