Zile tuhuma za kuungaunga story na kuiba mada za watu sasa naanza kuziaminiHuyu jamaa kumbe ni kil.aza hivi? Kumbe mjinga akiwa kimya anaonekana mwerevu!!
Hàta Mbowe na LISSU wakati wamekaa kimya hawajaanza kuparurana kuhusu uenyekiti walikuwa wanaonekana werevu, kumbe hawana tofauti na yeriko.Huyu jamaa kumbe ni kil.aza hivi? Kumbe mjinga akiwa kimya anaonekana mwerevu!!
Mkuu uliingia chaka ukanunua kitabu chake?Kumbe huyu mwana hakuna kitu kabisa upstairs
Lissu kaja kutusanua wengiHiki chama nilishakishtukia tokea 2010.
Lissu sasa ndo amewaacha wazi ili hadi vilaza waelewe hakuna chama hapo.
Ndio unamjua Leo?Kumbe huyu mwana hakuna kitu kabisa upstairs
Yericko Nyerere ni mweupe Sana kichwani, Hana hoja zaidi ya uchawaWakuu,
Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti.
“Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba yetu siku Mbowe akisema hataki kugombea na tunambeba kwenye machela ndio tutamuweka benchi…”
=========================================================
Swali: Kwa kauli hizI, Yeriko Nyerere ana tofauti gani na wale watu wanaojiita "chawa wa mama" ?
View attachment 3192743
Tulishasema zamani humu tukaonekana wanoko.Lile ni bumunda jinginge mjiniKumbe huyu mwana hakuna kitu kabisa upstairs
It's not about Chama. Hili lipo kila mahala kuwa kuna watu wanapewa hadi nafasi ya kuzungumza kumbe ni vilaza kwelikweli na mfano ndio huo wa Yericko na huyo Ntobi.Hiki chama nilishakishtukia tokea 2010.
Lissu sasa ndo amewaacha wazi ili hadi vilaza waelewe hakuna chama hapo.