Yericko Nyerere: Siku Mbowe akiwa kwenye machela hawezi kutembea, ndio tutamuweka benchi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti.

“Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba yetu siku Mbowe akisema hataki kugombea na tunambeba kwenye machela ndio tutamuweka benchi…”


=========================================================

Swali: Kwa kauli hizI, Yeriko Nyerere ana tofauti gani na wale watu wanaojiita "chawa wa mama" ?



Your browser is not able to display this video.
 
Huyu jamaa kumbe ni kil.aza hivi? Kumbe mjinga akiwa kimya anaonekana mwerevu!!
Hàta Mbowe na LISSU wakati wamekaa kimya hawajaanza kuparurana kuhusu uenyekiti walikuwa wanaonekana werevu, kumbe hawana tofauti na yeriko.
 
Yericko Nyerere ni mweupe Sana kichwani, Hana hoja zaidi ya uchawa
 
Hiki chama nilishakishtukia tokea 2010.

Lissu sasa ndo amewaacha wazi ili hadi vilaza waelewe hakuna chama hapo.
It's not about Chama. Hili lipo kila mahala kuwa kuna watu wanapewa hadi nafasi ya kuzungumza kumbe ni vilaza kwelikweli na mfano ndio huo wa Yericko na huyo Ntobi.
Waliyosema ni mawazo yao ya hovyo na sio ya Chadema ndio maana wale wakina Lyaenda na Gwamaka wamewajibu kwa akili sana na very politely.
Kusema hakuna chama hapo ni kukikosea maana wenye akili wameonekana hapohapo.
Ungesema wafuasi wa Mbowe wamejivua nguo hapo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…