Yericko Nyerere: Siku Mbowe akiwa kwenye machela hawezi kutembea, ndio tutamuweka benchi

Yericko Nyerere: Siku Mbowe akiwa kwenye machela hawezi kutembea, ndio tutamuweka benchi

Kitendo cha Mbowe kumtumia Yeriko Nyerere Ili kujipatia Utukufu siyo kizuri na ni dharau Kubwa kwa waasisi wa Chadema

Kwamba Mbowe ni Alfa na Omega hii ni kufuru na Uchuro kwa Mbowe family

Mbowe amejishusha sana kwa kutumia Wahuni akiamini ni Majasusi

Bure Kabisa 😄

Kwamba ni Mheshimiwa Mungu!

GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg
 
Ukweli ni kuwa hata wana CHADEMA wenye akili Timamu na wanaojitambua wanatambua ukweli kuwa hakuna CHADEMA pasipo Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini na ukanda huu wa Afrika mashariki Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Naona umeacha kuuza Uduvi sasa unabunya fedha za Balozi Michael 😂😂😂
 
Kitendo cha Mbowe kumtumia Yeriko Nyerere Ili kujipatia Utukufu siyo kizuri na ni dharau Kubwa kwa waasisi wa Chadema

Kwamba Mbowe ni Alfa na Omega hii ni kufuru na Uchuro kwa Mbowe family

Mbowe amejishusha sana kwa kutumia Wahuni akiamini ni Majasusi

Bure Kabisa 😄
Wahuni washatia dola mfuko wa shati pale waliende kukamilisha mchongo,
Mi nilikua najiuliza kweli Akina Lissu na Mbowe walikua na taarifa na watu walioenda kuwawakilisha
 
Wahuni washatia dola mfuko wa shati pale waliende kukamilisha mchongo,
Mi nilikua najiuliza kweli Akina Lissu na Mbowe walikua na taarifa na watu walioenda kuwawakilisha
Wamepelekwa na Mchungaji Msigwa
 
Kuna mtu kabisa amekaa kitako anasoma Kitabu cha huyu Jasusi Uchwara?

Mbona anaongea kama mwehu halafu hana hata logical coherence, point zake za kitoto toto tu, hawezi hata kujenga propaganda yenye nguvu!

Halafu anafanana na Lucas Mwashambwa
 
Wakuu,

Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti.

“Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba yetu siku Mbowe akisema hataki kugombea na tunambeba kwenye machela ndio tutamuweka benchi…”


=========================================================

Swali: Kwa kauli hizI, Yeriko Nyerere ana tofauti gani na wale watu wanaojiita "chawa wa mama" ?



View attachment 3192743
Yaani hii takataka, ndio hujiita Jasusi mbobezi! Full of shit
 
It's not about Chama. Hili lipo kila mahala kuwa kuna watu wanapewa hadi nafasi ya kuzungumza kumbe ni vilaza kwelikweli na mfano ndio huo wa Yericko na huyo Ntobi.
Waliyosema ni mawazo yao ya hovyo na sio ya Chadema ndio maana wale wakina Lyaenda na Gwamaka wamewajibu kwa akili sana na very politely.
Kusema hakuna chama hapo ni kukikosea maana wenye akili wameonekana hapohapo.
Ungesema wafuasi wa Mbowe wamejivua nguo hapo sawa.

Chama kina shida. Kutoka mwenyekiti kuzungukwa na mtu kama Prof. Safari hadi kuzungukwa na huyo Ntobi na Yericko unaweza kuona chama kimeharibika kiasi gani.

Na isingekuwa Lissu kugombania hiyo nafasi ya mwenyekiti msingekaa muelewe haya tuliyoyapigia makelele humu miaka yote.
 
Wakuu,

Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti.

“Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba yetu siku Mbowe akisema hataki kugombea na tunambeba kwenye machela ndio tutamuweka benchi…”


=========================================================

Swali: Kwa kauli hizI, Yeriko Nyerere ana tofauti gani na wale watu wanaojiita "chawa wa mama" ?



View attachment 3192743
Tumbo tumbo tumbo na njaaa njaaa hvi vitu vilisababisha hata mababu zetu wakauzana kwa wakoloni miaka hiyo
 
Huyu Yeriko kabisa ni graduate? Vitabu vyake ana plagiarise kutoka vitabu vya warusi na kuleta kwenye kiswahili
 
Wakuu,

Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti.

“Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba yetu siku Mbowe akisema hataki kugombea na tunambeba kwenye machela ndio tutamuweka benchi…”


=========================================================

Swali: Kwa kauli hizI, Yeriko Nyerere ana tofauti gani na wale watu wanaojiita "chawa wa mama" ?



View attachment 3192743
Hilo lijamaa kumbe bure kabisa
 
Back
Top Bottom