Yericko Nyerere: Siku Mbowe akiwa kwenye machela hawezi kutembea, ndio tutamuweka benchi

Yericko Nyerere: Siku Mbowe akiwa kwenye machela hawezi kutembea, ndio tutamuweka benchi

Kwamba ni Mheshimiwa Mungu!

View attachment 3192949
Watu waliokuwa wanaamini huyu mnyalukolo ana akili nzuri nawapa pole sana.
Angalau Sasa ukweli umebainika.Zile taasisi ambazo huwa anasema zimempatia tuzo za ushindi wa uandishi bora wa vitabu Afrika hakuna hata moja ambayo huwa inafanya hizo shughuli.Zote taasisi hizo hujihusisha na mambo ya muziki.
 
Watu waliokuwa wanaamini huyu mnyalukolo ana akili nzuri nawapa pole sana.
Angalau Sasa ukweli umebainika.Zile taasisi ambazo huwa anasema zimempatia tuzo za ushindi wa uandishi bora wa vitabu Afrika hakuna hata moja ambayo huwa inafanya hizo shughuli.Zote taasisi hizo hujihusisha na mambo ya muziki.

J*nga sana hili jamaa
 
Kati ya huyo yeriko mengele na mwijaku nani ana akili?
 
Lissu akiwa mwenyekiti basi chadema imeisha live
Uenyekiti unahitaji busara,subira,unyenyekevu,maridhiano,kuheshimiana nk. Vitu TUNDU hanaa
 
Chama kina shida. Kutoka mwenyekiti kuzungukwa na mtu kama Prof. Safari hadi kuzungukwa na huyo Ntobi na Yericko unaweza kuona chama kimeharibika kiasi gani.

Na isingekuwa Lissu kugombania hiyo nafasi ya mwenyekiti msingekaa muelewe haya tuliyoyapigia makelele humu miaka yote.
Kutoka kwa Prof. Safari na Prof. Baregu mpaka Yeriko na Ntobi.

Inasikitisha sana!
 
Yericko Nyerere ameathirika vibaya na Apedomia anahitaji maombi🐼
 
Ukweli ni kuwa hata wana CHADEMA wenye akili Timamu na wanaojitambua wanatambua ukweli kuwa hakuna CHADEMA pasipo Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini na ukanda huu wa Afrika mashariki Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Kwa hiyo mwamba akifa leo na CHADEMA inakufa? Hii ni taasisi au kampuni ya mtu binafsi?😳
 
Ni ngumu sana kusimama na kumsemea mbowe kwa sasa , hata angekua mtu smart lazima ungemwona kopo tu.
Ana typical tabia za waliowengi hapa Tanzania.
1. Ubabaishaji 2. Kuabudu Bosi 3. Kunyenyekea ujinga 4. Kuuza UTU wake kwa vipande vya fedha 5. Kujifanya Jasusi la Usalama haswa akiwa amelewa 6. Utwana na kujiona yuko chini ya Tajiri 7. Kujichekesha chekesha mbele ya Bosi 8. Mtu wa hovyo hovyo na Mchawi Mchawi.9.hawezi kudhibiti matamanio yake.
 
Ukweli ni kuwa hata wana CHADEMA wenye akili Timamu na wanaojitambua wanatambua ukweli kuwa hakuna CHADEMA pasipo Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini na ukanda huu wa Afrika mashariki Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Mwamba huyu huyu?
chrome_screenshot_22 Dec 2024 12_26_57 GMT+03_00.png
 
Back
Top Bottom