Kitendo cha Mbowe kumtumia Yeriko Nyerere Ili kujipatia Utukufu siyo kizuri na ni dharau Kubwa kwa waasisi wa Chadema
Kwamba Mbowe ni Alfa na Omega hii ni kufuru na Uchuro kwa Mbowe family
Mbowe amejishusha sana kwa kutumia Wahuni akiamini ni Majasusi
Bure Kabisa 😄
Naona umeacha kuuza Uduvi sasa unabunya fedha za Balozi Michael 😂😂😂Ukweli ni kuwa hata wana CHADEMA wenye akili Timamu na wanaojitambua wanatambua ukweli kuwa hakuna CHADEMA pasipo Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini na ukanda huu wa Afrika mashariki Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Hii nchi kuna watu Wana Laana za ajabu 🐼
Wahuni washatia dola mfuko wa shati pale waliende kukamilisha mchongo,Kitendo cha Mbowe kumtumia Yeriko Nyerere Ili kujipatia Utukufu siyo kizuri na ni dharau Kubwa kwa waasisi wa Chadema
Kwamba Mbowe ni Alfa na Omega hii ni kufuru na Uchuro kwa Mbowe family
Mbowe amejishusha sana kwa kutumia Wahuni akiamini ni Majasusi
Bure Kabisa 😄
Kumbe huyu mwana hakuna kitu kabisa upstairs
Wamepelekwa na Mchungaji MsigwaWahuni washatia dola mfuko wa shati pale waliende kukamilisha mchongo,
Mi nilikua najiuliza kweli Akina Lissu na Mbowe walikua na taarifa na watu walioenda kuwawakilisha
Yaani hii takataka, ndio hujiita Jasusi mbobezi! Full of shitWakuu,
Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti.
“Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba yetu siku Mbowe akisema hataki kugombea na tunambeba kwenye machela ndio tutamuweka benchi…”
=========================================================
Swali: Kwa kauli hizI, Yeriko Nyerere ana tofauti gani na wale watu wanaojiita "chawa wa mama" ?
View attachment 3192743
It's not about Chama. Hili lipo kila mahala kuwa kuna watu wanapewa hadi nafasi ya kuzungumza kumbe ni vilaza kwelikweli na mfano ndio huo wa Yericko na huyo Ntobi.
Waliyosema ni mawazo yao ya hovyo na sio ya Chadema ndio maana wale wakina Lyaenda na Gwamaka wamewajibu kwa akili sana na very politely.
Kusema hakuna chama hapo ni kukikosea maana wenye akili wameonekana hapohapo.
Ungesema wafuasi wa Mbowe wamejivua nguo hapo sawa.
🤣🤣🤣Hàta Mbowe na LISSU wakati wamekaa kimya hawajaanza kuparurana kuhusu uenyekiti walikuwa wanaonekana werevu, kumbe hawana tofauti na yeriko.
Tumbo tumbo tumbo na njaaa njaaa hvi vitu vilisababisha hata mababu zetu wakauzana kwa wakoloni miaka hiyoWakuu,
Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti.
“Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba yetu siku Mbowe akisema hataki kugombea na tunambeba kwenye machela ndio tutamuweka benchi…”
=========================================================
Swali: Kwa kauli hizI, Yeriko Nyerere ana tofauti gani na wale watu wanaojiita "chawa wa mama" ?
View attachment 3192743
Walizoezwa kutukana, Sasa hawana wa kumtukana wameamua watumane wao kwa wao!Chadema mmepatwa na masaibu gani..?😂😂
Itakuwa anatumia TUMBOSijui anatumia kiungo gani kufikiri
Hilo lijamaa kumbe bure kabisaWakuu,
Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti.
“Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba yetu siku Mbowe akisema hataki kugombea na tunambeba kwenye machela ndio tutamuweka benchi…”
=========================================================
Swali: Kwa kauli hizI, Yeriko Nyerere ana tofauti gani na wale watu wanaojiita "chawa wa mama" ?
View attachment 3192743