Yericko Nyerere: Tofauti ya Usalama wa Taifa, CID na Military Intelligence

(Qur'an49:12) Believers, avoid being excessively suspicious, for some suspicion is a sin. Do not spy, nor backbite one another. Would any of you like to eat the flesh of his dead brother?

12. Enyi mlio amini! Jiepusheni na dhana nyingi, kwani baadhi ya dhana ni dhambi. Wala msipelelezane, wala msisengenyane nyinyi kwa nyinyi. Je! Yupo katika nyinyi anaye penda kuila nyama ya nduguye aliye kufa? Mnalichukia hilo! Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba, Mwenye kurehemu. 12
 

[emoji706]
 
Hapo naona hujamuelewa,,,
Kasome kitabu alichokuelezea ndo utajua,,hapa katoa robo au introduction tuu
 
Hilo ndilo tatizo letu,,,angekuwa mzungu tungesema Yuko right,,,,,ivi mnafikiri kajiokotea tuu?
Kafanya utafiti na kwa taarifa yenu hicjo kitabu kimeandaliwa ndani ya miaka 7 mpk 10
Mnaopinga mnawapotosha watu ili wasijue mifumo yetu na ya dunia ya ulinzi na usalama
 
Nimeishia Kusoma pale panaposema CID (Criminal investigation Department) ya Tanzania na FBI (Federal Bureau of Investigation) ya Marekani zinafanana..

Tunapenda sana stori za ujasusi ila hilo Tango pori hapana kwakweli
Ebu tueleze FBI inafanyaje kazi na imetobolewa wapi?
CID inafanyaje kazi na imetobolewa wapi?
Ukijibu Hilo ndo tutajua hapo
 
Kumbe TISS Wana report ikuru Moja Kwa Moja ndio maana Magufuli aliwatumia vizuri sana

Mama na wewe watumie hao hi nchi ukitaka umfurahishe Kila mtu itakushinda unatakiwa uwe unafinya
 
Mkuu, kwa upande wa jeshi kama sikosei kuna kitengo kinaitwa "INT" ama " INTI " kuna jamaa yangu aliwahi kua jeshini ila sijui nini kilimkumba ila kwa story alizonisimulia kuhusu kitengo hicho nilivutiwa nacho sana, ana story nyingi za kuvutia na kusisimua hua natamani kujua kiundani
 
Ungempata atueleze kwa undani, ingependeza tuongeze maarifa zaidi.
 
Ungempata atueleze kwa undani, ingependeza tuongeze maarifa zaidi.

Ana story nyingi sana ila ndio anaacha gapes sana! Na ukipata swali la kumuuliza majibu yake anaingila huku anatokea upande wa pili na story ingine nzuri, ndio maana nikataka kumuuliza mzee wa ujasusi wa kidola kama ana taharifa na hii
 
Wazi afande..
 
Ana story nyingi sana ila ndio anaacha gapes sana! Na ukipata swali la kumuuliza majibu yake anaingila huku anatokea upande wa pili na story ingine nzuri, ndio maana nikataka kumuuliza mzee wa ujasusi wa kidola kama ana taharifa na hii
Hata wewe ungeweza kuandika kitabu unaweza kuandika yote uliyofundwa ? Au mnalaumu msichokijua ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…