njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Baada ya simba kuonyesha jezi kwenye mkataba wa m-bet wana utopolo wakiongozwa na kubwa la ma NINCOMPOOPS Alhaji sope takadini zeru square waliwasikitikia sana wanasimba kwamba wametapeliwa kwa kuwa hawakuonyeshwa mkataba wakaishia kuonyeshwa jezi
Sasa ukishangaa ya Pwaguzi albino shangaa ya Pwagu Hersi, leo badala ya wana utopolo kuonyeshwa mkataba wameambulia kuonyeshwa jezi , jingaz kabisa
Sasa ukishangaa ya Pwaguzi albino shangaa ya Pwagu Hersi, leo badala ya wana utopolo kuonyeshwa mkataba wameambulia kuonyeshwa jezi , jingaz kabisa