YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!


No! Trust me nilienda capetown fiah market na wasela wangu tunapigana donee, ado ado tukala msosi wa 350,000 watu 3, za mawazo, na vijembe mwanzo mwisho, but we had a very good time! Mpaka kurudi its a night to remember.

Nikaja kwenda na mtu mwingine very rich, but extremely COLD, hata appettite sikuwa nayo tena! I just missesd the girls!

Afu ukiwa na hela HONESTY INAISHA WATU WANAKUWA WANAKUFANYIA VITU ILI WAPATE KITU! Kama now rafiki tu mshikaji akikwamba twende Zanzibar, nakulipa maskini mkubwa wewe, na mkaenda ITS PRICELESS, coz hakuna expectations.
 
kama kawaida kwenye jumuiko la wastaarabu wavuta bangi huwa hawakosekani, dawa ni kumuacha mvuta bangi na miwivu yake afe kwa stress na kushindwa maisha.

my beibii Lara 1 come and kiss me I mis u ujuwe?
 
Unaupako gani wewe pi.mbi...Au ni mbwebwe tu za uvulana zinakusumbua we dv5.
Saaaaaaaaaaay Whaaaaaat? CAREFUL BOY! CAREFUL! DONT DISRESPECT MY MAN INFRONT OF ME! THIS IS MY THREAD MY BABY CAN SAY ANYTHING! Nimemruhusu! Kama unakwazika thread ziko nyingi!
 
kama kawaida kwenye jumuiko la wastaarabu wavuta bangi huwa hawakosekani, dawa ni kumuacha mvuta bangi na miwivu yake afe kwa stress na kushindwa maisha.

my beibii Lara 1 come and kiss me I mis u ujuwe?
Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mwaaaaaaaaaaa! Baby yangu mwenyewe!
 
Sina lakuongezea zaidi ya kukushukuru kwa kueleza ukweli
 
Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mwaaaaaaaaaaa! Baby yangu mwenyewe!

thanks I appreciate, that's why I feel so blessed, unajuwa why siku hizi sipendi kwenda lile jukwaa lililojaa wavuta bangi na wastaarabu wachache? nimegunduwa wengi ni walioshindwa maisha wanaishi chini ya dollar moja sasa stress zake mtu anataka azilete kwako, akwendreee akafie uyole.
 

Hahaaaaaaa! Kwa upambe tu!? Huna mpinzani!

Kilichokuwa kinasubiriwa si Mda ni Matola tu atokeee! Sijui umenisoma? And mimi si kama wanawake wengine i am my own woman! I make my own rules sio wale wa kufata katiba ya bibi na bibi.

Hata usingemjua kamanda I NEVER MAKE A MISTAKE! Age might have slipped me but i still got my game, those rummors abt gold diggin can qualify me to spot PURE GOLD from a mile!
 
Hela si kila kitu but hela ni vitu vingi
Yule dogo aliyejilipua kule markani alikuwa anaendesha classic BMW but akafa bikra!!!
Anyway, wengine hatuna confidence ATM ikiwa haisomi tarakimu 7 na kuendelea... wacheni tuzisake bana...
 

kamanda wala hakuna tabu unajuwa unapopewa kazi inatakiwa uache kazi ufanye kazi hakuna mambo ya tamthilia hapa.

yaani hii ni mwanamke kapata mwanaume na mwanaume kapata mwanamke, hivi kubwa la maadui leo utamdanganya nini jipya kwake? kama ulikuwa unasikiaga wife material ndio huyu, kama ni vimeo ameshamalizana navyo mavi ya kale hayanuki.
 
Last edited by a moderator:
Hela si kila kitu but hela ni vitu vingi
Yule dogo aliyejilipua kule markani alikuwa anaendesha classic BMW but akafa bikra!!!
Anyway, wengine hatuna confidence ATM ikiwa haisomi tarakimu 7 na kuendelea... wacheni tuzisake bana...

People waste timw ku focus on money wakati precious moments zinawapita unnoticed to come to rwalose it too late!
Somw of my best memories in life haikutumika hata 10. Ni ushkaji tu na loyality! Utashangaa ulivokuwa huna hela kabisaa you were much happier!
 
Hongera mkuu Matola..naona kila kiboko ina kiboko yake...naona changes kwa lara 1 already...all the best
 
Last edited by a moderator:
Hongera mkuu Matola..naona kila kiboko ina kiboko yake...naona changes kwa lara 1 already...all the best

thanks mkuu, am proud of her, ngoja niingie YouTube kwanza nimdedicate song all my life by kci & Jojo.
 
Last edited by a moderator:

Pesa ni kama insurance tu fulani... nikiwa sina pesa mfukoni, hata kupiga misele mtaani sithubutu (ukikanyaga nyanya za mtu ukaambiwa lipa je...lol).
Kwa siye walevi ukiwa huna ela hata uelekeo wa baa huthubutu kutizama. But unaweza kuwa nazo ukifika baa ukakosa ham ya monde ukaishia kufurahi na chupa ya maji ya Kili ya buku swaafi na ukaenjoy. More often ni kuwa siku ukiwa na hela mfukoni wala gari haipati pancha, ukifika baa unazungushiwa round hadi unachoka mwenyewe. ..
But ela zikiisha tu. .. ukinyoosha mguu shuka linachanika, ukirudi huku umevunja chupa ya chai...
 
fiancee na kula kichwa ni vitu viwili tofauti, hakuna free p wala mlupo ni husband and wife to be. hii ni clear and loud.

I announce officially Maxence Melo ndio atakuwa bestman wangu.

Baba Paroko Eiyer tangaza hii ndoa ASAP
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…