YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!

YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!

Matola na lara 1
Happy for u buddies!
Perfect match

umeona heeh!! ila nijiandae na fitna za vitimbakwiri vikiongozwa na mods wenye wivu, maana mtoto mkali kama Lara 1 humu alikuwa anazengewa hadi na mods, sasa wanashangaa ni tekiniki gani nilizotumia to win her love.
 
Last edited by a moderator:
umeona heeh!! ila nijiandae na fitna za vitimbakwiri vikiongozwa na mods wenye wivu, maana mtoto mkali kama Lara 1 humu alikuwa anazengewa hadi na mods, sasa wanashangaa ni tekiniki gani nilizotumia to win her love.
ahahahahaha nipigie nikwambie siri ya mtungi!
 
I love you Piko wa moyo wangu
Lara ngoja nikafungukie mtu na hako kasentensi
 
Ila huu msemo wa free p unaumiza watu Hebu upige ban
Hahahaaaaaaaaaaaa!

Huu msemo nimeutoa mbali sanaaaaa!

Kuna mtu mumewe aliacha kazi, saivi kadata flani hivi, kila siku anasoma chuo, mkew ndo anamuweka mjini. Mkewe alikuwa anajitahidi kasave 10m bank, aanze kwenda Zambia, mume kaiba password kakomba zoteeeeee kulipia ada na mazaga mengine! Alidata yule dada akahamia mwanza, badae akaja kuitwa arudi na wakwe!

Akamkuta mume hana hata sumni! BASI NDO ANATUAMBIAGA SALUNI, PALE SINA MUME MIE! Siondoki sina pa kwenda!
Yule bwana aajua sina kazi, kodi namlopia, nikipika kuku anapakua vizuri, haulizi katoka wapi, nakula nashiba hta nikitaka ANIPIGE FREE P aaaaaah! Ananipiga vizuri, fresh kabisaa, mpaka niridhike! HAHAHAAAAAA!

Ukimwambia namtega bwana wako, atakujibu wewe kama unataka kupigwa FREE P una ugwadu hapo sawa, ila labda ufaidi shower ya hoteli utayoga na chips atazo kununulia! Hana hata 100!

Basi huo msemo ndo saluni tukaushika! Ukipita saluni utasikia mbona husalimii? Umetoka kupigwa FREE P basi roho imeridhika! Hahahahaaaaaaa!

Ukisema sina hela utasikia we endekeza tu FREE P hela utaziona kwa wenzio tu! Kitu kidogo FREE P! Mpaka limenikaa mdomoni!
 
huu ndio unaitwa uchachozi sasa, yeye alishakuwa muumini wa siasa hizo sasa amesema basi wewe unamletea mawazo ya lucifer sasa.

first of all anavyosema money is not everything si kwamba she fall in love kwangu eti labda mimi karubandika, hapana mimi niko middle class she is safe with me with all support she deserve as a woman not a bitch.

hivi mpo siriazi kweli?...ubwabwa liniii tunakula
 
hata matola akisomeka kwenye rada za warembo wengine jiandae kubanana tu hakuna cha peke yako lol

Kama kwa vin d kama mabehewa ta treni vile
Nilikuita hukuja kumbe ulikua unasoms unapita tu we kajanjaa
Muachieni tu lara 1 kachoka kubanwaaa
 
Last edited by a moderator:
hata matola akisomeka kwenye rada za warembo wengine jiandae kubanana tu hakuna cha peke yako lol
Mmmmmmmmmmh! We mwana weeeee! Utabiri gani huo? Acha mambo zako kabisaaa! Utamu wa matola naujua mimi na nimesema vipo vya kushea ila sio dushe la Matola! Tfadhalini kabisaaaaa! Nitaloga mtu mda si mda!
Hapo warembo mnashauriana na halmshauri za vichwa vyenu, huyu kubwa la aadui anatuchuuza, kweli kabisa apigwe FREE P, kirahisi rahisi hivi hivi? Hahaaaaaaa! Kama nawaona! MJINI MIPANGO! Ila jua tu KUOKOTA FUO LA HELA KWENYE MAANDAMANO KWAHITAJI TECHNIC, INSIDER TRADING NA ESPIONAGE MDA MWINGINE!
Mniwache ilegeze kiuno kabla hatuja lala! Hahaaaaaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmmmmmmh! We mwana weeeee! Utabiri gani huo? Acha mambo zako kabisaaa! Utamu wa matola naujua mimi na nimesema vipo vya kushea ila sio dushe la Matola! Tfadhalini kabisaaaaa! Nitaloga mtu mda si mda!
Hapo warembo mnashauriana na halmshauri za vichwa vyenu, huyu kubwa la aadui anatuchuuza, kweli kabisa apigwe FREE P, kirahisi rahisi hivi hivi? Hahaaaaaaa! Kama nawaona! MJINI MIPANGO! Ila jua tu KUOKOTA FUO LA HELA KWENYE MAANDAMANO KWAHITAJI TECHNIC, INSIDER TRADING NA ESPIONAGE MDA MWINGINE!
Mniwache ilegeze kiuno kabla hatuja lala! Hahaaaaaaaaa!

Kuna watu macho kunchuzii muda si mrefu utawaona mwenyeweee
 
Last edited by a moderator:
hivi mpo siriazi kweli?...ubwabwa liniii tunakula
Tuko serious! Ooooh! Ubwabwa stay tuned kwanza, maana drama lake kabla ya huo ubwabwa maji hayatonyweka jamvini humu! Aaaaaah! I am so happy and lucky! Laiti mngejua dhahabu niliyookota kwenye maandamano mngeanza kunipindua sasa hivi! Hahaaaaa!

Nakuzingua mwayeho, hamna cha dhahabu wala silver, napigwa tu FREE P, ataejipendekeza ajue ataisha kufaidi shower tu ya lodge! Ooooooooh! Bora mniachie mwenyewe nimejrizikia na khali!
 
Tuko serious! Ooooh! Ubwabwa stay tuned kwanza, maana drama lake kabla ya huo ubwabwa maji hayatonyweka jamvini humu! Aaaaaah! I am so happy and lucky! Laiti mngejua dhahabu niliyookota kwenye maandamano mngeanza kunipindua sasa hivi! Hahaaaaa!

Nakuzingua mwayeho, hamna cha dhahabu wala silver, napigwa tu FREE P, ataejipendekeza ajue ataisha kufaidi shower tu ya lodge! Ooooooooh! Bora mniachie mwenyewe nimejrizikia na khali!

hahhahaha nilikuwa nasinzia huku napost nmeamka tu kwa kicheko...
Hyo 'free P' veryy funny...
Matola muweke totoz ndani sio muumini wa free P kabisaaa mwenzako
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmmmmmmh! We mwana weeeee! Utabiri gani huo? Acha mambo zako kabisaaa! Utamu wa matola naujua mimi na nimesema vipo vya kushea ila sio dushe la Matola! Tfadhalini kabisaaaaa! Nitaloga mtu mda si mda!
Hapo warembo mnashauriana na halmshauri za vichwa vyenu, huyu kubwa la aadui anatuchuuza, kweli kabisa apigwe FREE P, kirahisi rahisi hivi hivi? Hahaaaaaaa! Kama nawaona! MJINI MIPANGO! Ila jua tu KUOKOTA FUO LA HELA KWENYE MAANDAMANO KWAHITAJI TECHNIC, INSIDER TRADING NA ESPIONAGE MDA MWINGINE!
Mniwache ilegeze kiuno kabla hatuja lala! Hahaaaaaaaaa!

afu Matola namkubali kimtindo kuna siku niliwekwa kwenye kona celeb kule akawa teamyangu bureeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Kama kwa vin d kama mabehewa ta treni vile
Nilikuita hukuja kumbe ulikua unasoms unapita tu we kajanjaa
Muachieni tu lara 1 kachoka kubanwaaa

uliniita wapi mamy bando za mawazo hizi lol
hivi unaamini kabisaaaaa kabanwa anatuchuuza huyu hapa kuna namna si bure
 
Last edited by a moderator:
Hongera, una part umeplay hadi amekuwa new Lara? Haya bandika na sticker basi kwenye hiyo laptop. Lol
Chezeyaa! lara 1 wa siku hizi simuelewi au party hizi za jf ndio majibu yake haya. Kweli kila mtu na mtue
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom