Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahahaha nipigie nikwambie siri ya mtungi!umeona heeh!! ila nijiandae na fitna za vitimbakwiri vikiongozwa na mods wenye wivu, maana mtoto mkali kama Lara 1 humu alikuwa anazengewa hadi na mods, sasa wanashangaa ni tekiniki gani nilizotumia to win her love.
Hahahaaaaaaaaaaaa!Ila huu msemo wa free p unaumiza watu Hebu upige ban
Ukisema ivo nakumbuka lile tukio la west get Kenya.Walokua na ela mle ndani wangetumiaje ela zao kuninasua.
the so called Vin Diesel kaachwa kwenye mataa amah
Habari ndo hio! Nina kitu kipyaaaaaa!
huu ndio unaitwa uchachozi sasa, yeye alishakuwa muumini wa siasa hizo sasa amesema basi wewe unamletea mawazo ya lucifer sasa.
first of all anavyosema money is not everything si kwamba she fall in love kwangu eti labda mimi karubandika, hapana mimi niko middle class she is safe with me with all support she deserve as a woman not a bitch.
hata matola akisomeka kwenye rada za warembo wengine jiandae kubanana tu hakuna cha peke yako lol
Mmmmmmmmmmh! We mwana weeeee! Utabiri gani huo? Acha mambo zako kabisaaa! Utamu wa matola naujua mimi na nimesema vipo vya kushea ila sio dushe la Matola! Tfadhalini kabisaaaaa! Nitaloga mtu mda si mda!hata matola akisomeka kwenye rada za warembo wengine jiandae kubanana tu hakuna cha peke yako lol
Mmmmmmmmmmh! We mwana weeeee! Utabiri gani huo? Acha mambo zako kabisaaa! Utamu wa matola naujua mimi na nimesema vipo vya kushea ila sio dushe la Matola! Tfadhalini kabisaaaaa! Nitaloga mtu mda si mda!
Hapo warembo mnashauriana na halmshauri za vichwa vyenu, huyu kubwa la aadui anatuchuuza, kweli kabisa apigwe FREE P, kirahisi rahisi hivi hivi? Hahaaaaaaa! Kama nawaona! MJINI MIPANGO! Ila jua tu KUOKOTA FUO LA HELA KWENYE MAANDAMANO KWAHITAJI TECHNIC, INSIDER TRADING NA ESPIONAGE MDA MWINGINE!
Mniwache ilegeze kiuno kabla hatuja lala! Hahaaaaaaaaa!
Tuko serious! Ooooh! Ubwabwa stay tuned kwanza, maana drama lake kabla ya huo ubwabwa maji hayatonyweka jamvini humu! Aaaaaah! I am so happy and lucky! Laiti mngejua dhahabu niliyookota kwenye maandamano mngeanza kunipindua sasa hivi! Hahaaaaa!hivi mpo siriazi kweli?...ubwabwa liniii tunakula
Tuko serious! Ooooh! Ubwabwa stay tuned kwanza, maana drama lake kabla ya huo ubwabwa maji hayatonyweka jamvini humu! Aaaaaah! I am so happy and lucky! Laiti mngejua dhahabu niliyookota kwenye maandamano mngeanza kunipindua sasa hivi! Hahaaaaa!
Nakuzingua mwayeho, hamna cha dhahabu wala silver, napigwa tu FREE P, ataejipendekeza ajue ataisha kufaidi shower tu ya lodge! Ooooooooh! Bora mniachie mwenyewe nimejrizikia na khali!
Mmmmmmmmmmh! We mwana weeeee! Utabiri gani huo? Acha mambo zako kabisaaa! Utamu wa matola naujua mimi na nimesema vipo vya kushea ila sio dushe la Matola! Tfadhalini kabisaaaaa! Nitaloga mtu mda si mda!
Hapo warembo mnashauriana na halmshauri za vichwa vyenu, huyu kubwa la aadui anatuchuuza, kweli kabisa apigwe FREE P, kirahisi rahisi hivi hivi? Hahaaaaaaa! Kama nawaona! MJINI MIPANGO! Ila jua tu KUOKOTA FUO LA HELA KWENYE MAANDAMANO KWAHITAJI TECHNIC, INSIDER TRADING NA ESPIONAGE MDA MWINGINE!
Mniwache ilegeze kiuno kabla hatuja lala! Hahaaaaaaaaa!
Kama kwa vin d kama mabehewa ta treni vile
Nilikuita hukuja kumbe ulikua unasoms unapita tu we kajanjaa
Muachieni tu lara 1 kachoka kubanwaaa
hivi mpo siriazi kweli?...ubwabwa liniii tunakula