YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!

YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!

afu Matola namkubali kimtindo kuna siku niliwekwa kwenye kona celeb kule akawa teamyangu bureeeeeeee

Aaaaaaaaaaw! My man is so sweet! I am so proud of him! My piko wa moyo wangu!

Back to business ADMIRATION ZIISHIE HAPO HAPO! Dont you dare think the unthikable! Oooooooh! Mnaanzaga hivo hivo, kaniteta, sijui msweet! Mmmmh! Uishie hapo hapo!
 
uliniita wapi mamy bando za mawazo hizi lol
hivi unaamini kabisaaaaa kabanwa anatuchuuza huyu hapa kuna namna si bure
Hahaaaaaa! Namna gani tena yakheeeeee! Ushaanza uchimvi wako! Acha zako kabisa!
 
Aaaaaaaaaaw! My man is so sweet! I am so proud of him! My piko wa moyo wangu!

Back to business ADMIRATION ZIISHIE HAPO HAPO! Dont you dare think the unthikable! Oooooooh! Mnaanzaga hivo hivo, kaniteta, sijui msweet! Mmmmh! Uishie hapo hapo!

hahahaha si afadhali mi nasema kweupe na yeye shahidi afu ahsante sikumpa lol sijui ndo chance ya dhahabu hii nivunje goti la kisukuma kushukuru lol
 
hivi unaamini ubwabwa utalika hahahaha utasubiri sana usikute matola mifuko imetuna anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa lol
HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAA,! Mtoto mbaya wewe! Embu ishia kwenye hii thread usinitilie kitumbua changu mchanga! Ukiendelea hivi utakuwa hutoi maoni hapa! Hahahaaaaaaaaaaaaa!

And the fool solved the equation and outsmarted them all! Hiki kisa wakijua weye?
 
hahahaha si afadhali mi nasema kweupe na yeye shahidi afu ahsante sikumpa lol sijui ndo chance ya dhahabu hii nivunje goti la kisukuma kushukuru lol
Mwana umetumwaaaaa wewe! Ohoooooo! Uvunje hoti wapi wakati ninae hapa kitandani tunasoma hizi comment tunakuchora tu! Weeee! Nakaba mpaka PENALTY!
 
lara 1 hana huo ubavu, hapa ni kisima cha mahaba.
Gusa unate at your own risk miss neddy

hahahahaha ndo ushaachwa endelea kujipa moyo kama samaki nje ya bahari anapaparika akiamini atarudishwa majini kumbe ndo kimoja mwenzio Matola yuko nae kweye sita kwa sita sa hizi msome lara hapo juu lol
 
Last edited by a moderator:
Mwana umetumwaaaaa wewe! Ohoooooo! Uvunje hoti wapi wakati ninae hapa kitandani tunasoma hizi comment tunakuchora tu! Weeee! Nakaba mpaka PENALTY!

hahahaha eti leo ndo nataka anijuze siku ile ilikuwaje akanitetea kule celeb afu baada ya mpambano huyooooooo akadisapea hakusubiri hata ahsante na takrima lol
 
mshamfilisi ndo uniachie mie never
Hahaaaaaaaa! Hizi mambo hazina makombo! Mbona Matola kapiti kwingi si ajabu alikuwa anachunwa huko hadi mifupa!

Ila mi nimekutana nae, nimempenda IREGRDLESS ya kasoro yoyote aliyo nayo, nimeridhika nae, nalisongesha! Kuridhika tu ndo muhimu!
 
Last edited by a moderator:
hahahaha eti leo ndo nataka anijuze siku ile ilikuwaje akanitetea kule celeb afu baada ya mpambano huyooooooo akadisapea hakusubiri hata ahsante na takrima lol
Asante nimeipokea nitamfikishia! I THE ONLY WIFE AM PROUD ALSO OF MY MAN! Taratibu hio asante na my love! Ohooooooo!
 
hivi unaamini ubwabwa utalika hahahaha utasubiri sana usikute matola mifuko imetuna anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa lol

hizi fitina zenu haziwezi kufuwa dafu hata, sasa chapaa yako usipospend na mtu wako unataka nispend na nani?

Lara 1 anajuwa kujiongeza mimi sasa sipo kwenye umri wa kutafuta maisha bali naishi, mahitaji yote muhimu ya kifamilia yako under control and mind u kwa sababu my beibii upstairs yuko vizuri yeye automatically anakuwa my business partner na system analyst.
 
hizi fitina zenu haziwezi kufuwa dafu hata, sasa chapaa yako usipospend na mtu wako unataka nispend na nani?
O
Lara 1 anajuwa kujiongeza mimi sasa sipo kwenye umri wa kutafuta maisha bali naishi, mahitaji yote muhimu ya kifamilia yako under control and mind u kwa sababu my beibii upstairs yuko vizuri yeye automatically anakuwa my business partner na system analyst.

Aaaaaaaaw! Thank you my love! I am so lucky to have you in my life! CC miss neddy utuwache tulale na bebito wangu!
 
Last edited by a moderator:
hizi fitina zenu haziwezi kufuwa dafu hata, sasa chapaa yako usipospend na mtu wako unataka nispend na nani?

Lara 1 anajuwa kujiongeza mimi sasa sipo kwenye umri wa kutafuta maisha bali naishi, mahitaji yote muhimu ya kifamilia yako under control and mind u kwa sababu my beibii upstairs yuko vizuri yeye automatically anakuwa my business partner na system analyst.

aiseeeeeeeeee perfect match mahaba mahabani kula raha kwa kujinafasi lol
 
Hahaaaaaaaa! Hizi mambo hazina makombo! Mbona Matola kapiti kwingi si ajabu alikuwa anachunwa huko hadi mifupa!

Ila mi nimekutana nae, nimempenda IREGRDLESS ya kasoro yoyote aliyo nayo, nimeridhika nae, nalisongesha! Kuridhika tu ndo muhimu!

huwezi kuwa nyani mzee bila kukwepa mishale mingi, starehe ya mwanaume kuhonga ila ukishapita foolish age unawaza zaidi uwekezaji unaandaa uzee wako uzeeke vizuri siyo kukaa barazani kulazimisha shikamoo za wapita njia.

navutiwa sana na maisha ya sir George kahama na binti yake, mzee ameshazeeka anakuja ofisini anasoma magazeti anapata na kahawa saa 6 mchana huyo anatimuwa zake kukutana na wazee wenzanke kwenye misele town, binti ndio anaendesha ofisi, natamani our future daughter awe kama huyu binti wa mzee kahama.
 
Last edited by a moderator:
Aaaaaaaaw! Thank you my love! I am so lucky to have you in my life! CC miss neddy utuwache tulale na bebito wangu!

hahahahahaa laleni angalia matola asifie kifuani maana alivyokolea hadi vin d kaingia mitini kama namuona hapa anaomba last chance
 
Last edited by a moderator:
Asante nimeipokea nitamfikishia! I THE ONLY WIFE AM PROUD ALSO OF MY MAN! Taratibu hio asante na my love! Ohooooooo!

hahahaha siruhusiwi kumfikishia face 2face hata mie sina madhara wanihofia???
 
magoodwill na opportunity cost ha ha ha Lala moja umenichekesha sana.
 
Back
Top Bottom