Exactly! IF YOUR DREAMS DO NOT FRIGHTEN YOU THEN THEY ARE NOT BIG ENOUGH! I totaly believe in you! You will give us a life we deserve! Aaaaaaaaaaaw!huwezi kuwa nyani mzee bila kukwepa mishale mingi, starehe ya mwanaume kuhonga ila ukishapita foolish age unawaza zaidi uwekezaji unaandaa uzee wako uzeeke vizuri siyo kukaa barazani kulazimisha shikamoo za wapita njia.
navutiwa sana na maisha ya sir George kahama na binti yake, mzee ameshazeeka anakuja ofisini anasoma magazeti anapata na kahawa saa 6 mchana huyo anatimuwa zake kukutana na wazee wenzanke kwenye misele town, binti ndio anaendesha ofisi, natamani our future daughter awe kama huyu binti wa mzee kahama.
aiseeeeeeeeee perfect match mahaba mahabani kula raha kwa kujinafasi lol
Hapana huruhusiwi kwa kweli! I take 0 chance!
habari ndio hiyo, tatizo nikifikiria venue ya wedding party ndio inanipa shida maana kwa estimate za haraka uwanja wa taifa hautoshi sasa inabidi kufanya plan b wahudhurie wageni 100 tu hotel, 50 Lara 1 family and 50 my family.
kwa sababu hatuna shida ya vyombo kitchen party hakuna sijaona kungwi wa kumfundisha lolote jipya my sweet heart.
Punguza huo utamu wa asalii watu humu watauana, au ndio wapenda halaf huna mpango hata na mmoja umewafanya matumizi tu kua na huruma Vin
Ungejua lara 1 anakuinjoi hapa ili kupunguza msusuru ungemchapa vibao.
hahahahahaa laleni angalia matola asifie kifuani maana alivyokolea hadi vin d kaingia mitini kama namuona hapa anaomba last chance
too late, no last chance always play ur part kama hakuna kesho, mimi niwazimu mtoto mkari kama huyu aniteleze? no way, hapa ni ndoa tu ndio kifuatacho itv.
Ungejua lara 1 anakuinjoi hapa ili kupunguza msusuru ungemchapa vibao.
anahitaji darsaaa huyo bado najitolea bureeeee kumfumdisha siku ukigeuka lazy bill asikukimbie lol
Matola and Vin Diesel maneno matupu hayavunji mfupa hebu pimaneni ubavu hapa hapa lol
hivi unajuwa mwenzio nimezaliwa ocean road na yeye kazaliwa muhimbili medical center, do you know meaning of this.
anahitaji darsaaa huyo bado najitolea bureeeee kumfumdisha siku ukigeuka lazy bill asikukimbie lol
what do you mean? do you wanna know my berreta how is powerful?
mla mla leo bwashee mla jana kala nini? k haina makombo na ili kuwaonesheni thamani ya mwanamke mimi siyo hit n run hapa ni kigoma mwisho wa reli mahaba niuwe, nimeshajivika mabomu najilipuwa tum
maneno yenu hata kwenye kanga yapo, subili invitation card yako tu. naomba uheshimu maamuzi yake she is mine now.
Hivi wewe hujasikia my bebito ni entrepreneur? Atakiwa lazy billy saa ngapi wakati anajua kuhustle? Na hata akiwa lazy billy namlea tu! Mtoto mtamu kam huyu, namlea mwenyewee kwani kitu gani?
Afu mi matola namjua beyond mnavomjua nyie jf hapa!
Baby correct me if i am wrong, ila kwao yuko mvulana peke yake na dada zake! So kazoea kuwa loved! Pili he is in It business. 3, he is such a humble person, ndo maana alikutetea coz moto uliouwasha no one dared kukuooa, but iregardless watu wangemtukana vipi he did the right tjing kukuokoa wewe! And he might be acting as a beastbut he is sweet too! Ushamuona anmtukana mwanake humu? Such a gentleman! My sweet beast!
Nimewaambia hivi ili mkae ae mbali, sio kutokwa na udenda wa kummendea oooooh! Nitaloga mtu hapa!
Cc miss neddy, Heaven on Earth, Khantwe, Vaislay, nawengineo mnaomtolea macho my love!
yes sir
Hiiiiiiiiii! Wapimane nini waki kutesa kwa zamu! Vin aliniona wa nini kumbe Matola alikuwa anawaza atanipata lini! Matola understands my true worth and he appreciates me! Aaaaaaaaw! I Love Matola So Much!Matola and Vin Diesel maneno matupu hayavunji mfupa hebu pimaneni ubavu hapa hapa lol