Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
hizi mbinu zenu zinawanasa warugaruga kama mume wa frola mbasha unategwa unapelekwa lupango huku anabanduliwa mkeo tu, matola ni born here here mjanja kitambo.
una habari huyu mbasha yuko segerea prison behind the bars this night?
Hivi wewe hujasikia my bebito ni entrepreneur? Atakiwa lazy billy saa ngapi wakati anajua kuhustle? Na hata akiwa lazy billy namlea tu! Mtoto mtamu kam huyu, namlea mwenyewee kwani kitu gani?
Afu mi matola namjua beyond mnavomjua nyie jf hapa!
Baby correct me if i am wrong, ila kwao yuko mvulana peke yake na dada zake! So kazoea kuwa loved! Pili he is in It business. 3, he is such a humble person, ndo maana alikutetea coz moto uliouwasha no one dared kukuooa, but iregardless watu wangemtukana vipi he did the right tjing kukuokoa wewe! And he might be acting as a beastbut he is sweet too! Ushamuona anmtukana mwanake humu? Such a gentleman! My sweet beast!
Nimewaambia hivi ili mkae ae mbali, sio kutokwa na udenda wa kummendea oooooh! Nitaloga mtu hapa!
Cc miss neddy, Heaven on Earth, Khantwe, Vaislay, nawengineo mnaomtolea macho my love!
Jamani jamani! Vindiesel kwanini unataka kunivunjia bond yangu na Matola? Tumeachana kiutu uzima, umenioneshalive umenichoka, sitakowi tena, nimejikongoja alihamdullilah nimempata kijana mwenzangu Matola, karidhika na mimi sas kwanini wantilia mchanga kitumbua changu?Ungejua lara 1 anakuinjoi hapa ili kupunguza msusuru ungemchapa vibao.
Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mwaaaaaaaaaaa! Baby yangu mwenyewe!
Uzuri asali haichachi my dear.....karibu sana
Matola bhana mi siwezi kukutega hebu acha uwoga wa kunguru
hivi mbasha yuko nyuma ya nondo,?,??
Umalaya had I kwenye social media!!!Aipedeziii.But may be your over 18.
Hahaaaaaaaaaaa! Dinazarde ID mpya zimeanza kazi! Unaonaaaa? Hahaaaa! KANTANGAZEEEEEEEEEEE!
mimi ndio kama waniongezea speed ya kukupenda honey, wala wasikusumbuwe, ngoja niingie maabara kwanza niifanyie screening hii id mpya.
Baby goodnight me nalala! Mwaaaaaaaaah!
Umeamka?
Hahaaaaaaa! Kwa upambe tu!? Huna mpinzani!
Kilichokuwa kinasubiriwa si Mda ni Matola tu atokeee! Sijui umenisoma? And mimi si kama wanawake wengine i am my own woman! I make my own rules sio wale wa kufata katiba ya bibi na bibi.
Hata usingemjua kamanda I NEVER MAKE A MISTAKE! Age might have slipped me but i still got my game, those rummors abt gold diggin can qualify me to spot PURE GOLD from a mile!
Hivi wewe hujasikia my bebito ni entrepreneur? Atakiwa lazy billy saa ngapi wakati anajua kuhustle? Na hata akiwa lazy billy namlea tu! Mtoto mtamu kam huyu, namlea mwenyewee kwani kitu gani?
Afu mi matola namjua beyond mnavomjua nyie jf hapa!
Baby correct me if i am wrong, ila kwao yuko mvulana peke yake na dada zake! So kazoea kuwa loved! Pili he is in It business. 3, he is such a humble person, ndo maana alikutetea coz moto uliouwasha no one dared kukuooa, but iregardless watu wangemtukana vipi he did the right tjing kukuokoa wewe! And he might be acting as a beastbut he is sweet too! Ushamuona anmtukana mwanake humu? Such a gentleman! My sweet beast!
Nimewaambia hivi ili mkae ae mbali, sio kutokwa na udenda wa kummendea oooooh! Nitaloga mtu hapa!
Cc miss neddy, Heaven on Earth, Khantwe, Vaislay, nawengineo mnaomtolea macho my love!