YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!

YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!

hizi mbinu zenu zinawanasa warugaruga kama mume wa frola mbasha unategwa unapelekwa lupango huku anabanduliwa mkeo tu, matola ni born here here mjanja kitambo.

una habari huyu mbasha yuko segerea prison behind the bars this night?

Matola bhana mi siwezi kukutega hebu acha uwoga wa kunguru
hivi mbasha yuko nyuma ya nondo,?,??
 
Last edited by a moderator:
Hivi wewe hujasikia my bebito ni entrepreneur? Atakiwa lazy billy saa ngapi wakati anajua kuhustle? Na hata akiwa lazy billy namlea tu! Mtoto mtamu kam huyu, namlea mwenyewee kwani kitu gani?

Afu mi matola namjua beyond mnavomjua nyie jf hapa!

Baby correct me if i am wrong, ila kwao yuko mvulana peke yake na dada zake! So kazoea kuwa loved! Pili he is in It business. 3, he is such a humble person, ndo maana alikutetea coz moto uliouwasha no one dared kukuooa, but iregardless watu wangemtukana vipi he did the right tjing kukuokoa wewe! And he might be acting as a beastbut he is sweet too! Ushamuona anmtukana mwanake humu? Such a gentleman! My sweet beast!

Nimewaambia hivi ili mkae ae mbali, sio kutokwa na udenda wa kummendea oooooh! Nitaloga mtu hapa!

Cc miss neddy, Heaven on Earth, Khantwe, Vaislay, nawengineo mnaomtolea macho my love!

you nailed it, tena katika hawa wifi zako wawili mmoja mdogo anahudhuria driving school ili atolee macho mkweche wangu wahi wahi ziba kabisa ajuwe sasa mwenyewe upo siyo tena changu vyao.
 
Last edited by a moderator:
Ungejua lara 1 anakuinjoi hapa ili kupunguza msusuru ungemchapa vibao.
Jamani jamani! Vindiesel kwanini unataka kunivunjia bond yangu na Matola? Tumeachana kiutu uzima, umenioneshalive umenichoka, sitakowi tena, nimejikongoja alihamdullilah nimempata kijana mwenzangu Matola, karidhika na mimi sas kwanini wantilia mchanga kitumbua changu?

Mtu mzima mwenzangu rudi swaziland, ukatawale ufalme wako! Mi najaribu nguo za harusi hiku, babay Matola kashatangaza nia! Hahaaaaaaaaaaaaa!
 
Matola bhana mi siwezi kukutega hebu acha uwoga wa kunguru
hivi mbasha yuko nyuma ya nondo,?,??

amepandishwa leo kwa pilato hakutimiza masharti ya dhamana, wadhani wawili mmoja lazima mfanyakazi wa serikali na bond ya maandishi 5 m.

thread ipo jukwaa la habari na hoja mchanyiko.
lsiyo issue achana nao walokole uchwara kila siku kumtaya yesu kumbe bora beibii wangu alivyokuwa muwazi ufalme wa mbinguni ataona milango ya pepo ipo kwa ajili ya watu wakweli. sema amen.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaaaaaaa! Dinazarde ID mpya zimeanza kazi! Unaonaaaa? Hahaaaa! KANTANGAZEEEEEEEEEEE!

mimi ndio kama waniongezea speed ya kukupenda honey, wala wasikusumbuwe, ngoja niingie maabara kwanza niifanyie screening hii id mpya.
 
Last edited by a moderator:
mimi ndio kama waniongezea speed ya kukupenda honey, wala wasikusumbuwe, ngoja niingie maabara kwanza niifanyie screening hii id mpya.
Baby goodnight me nalala! Mwaaaaaaaaah!
 
Hahaaaaaaaaaaa! Dinazarde ID mpya zimeanza kazi! Unaonaaaa? Hahaaaa! KANTANGAZEEEEEEEEEEE!

Nimeona zimeanza uzuri wengine tushaota sugu za matusii halaf hayo yashapitwa na wakatii aje na mapya labda tushtuke angalau
 
Last edited by a moderator:

aaaaaaaaaww!! why not? dume zima kuwa unachapa usingizi hadi saa hizi kwa visingizio vyovyote vile ni dalili za mume mzigo.

nipo kamili tayari kuliendeleza libeneke nasikilizia taarifa za traffic kwanza ili nijuwe vichochoro vya kupenya maana mji wetu umekuwa tofauti si kama kipindi unaitwa mzizima.
 
Hahaaaaaaa! Kwa upambe tu!? Huna mpinzani!

Kilichokuwa kinasubiriwa si Mda ni Matola tu atokeee! Sijui umenisoma? And mimi si kama wanawake wengine i am my own woman! I make my own rules sio wale wa kufata katiba ya bibi na bibi.

Hata usingemjua kamanda I NEVER MAKE A MISTAKE! Age might have slipped me but i still got my game, those rummors abt gold diggin can qualify me to spot PURE GOLD from a mile!

Still your a woman,hiyo haikutofautishi na wanawake wengine japokuwa kila mwanamke ana sifa zake peke yake

Zipo kanuni ambazo zina apply kwa kila mwanamke kwasababu ya jinsia lakini kuna mambo ambayo sio kila mtu anayo

That's the reality!
 
Hivi wewe hujasikia my bebito ni entrepreneur? Atakiwa lazy billy saa ngapi wakati anajua kuhustle? Na hata akiwa lazy billy namlea tu! Mtoto mtamu kam huyu, namlea mwenyewee kwani kitu gani?

Afu mi matola namjua beyond mnavomjua nyie jf hapa!

Baby correct me if i am wrong, ila kwao yuko mvulana peke yake na dada zake! So kazoea kuwa loved! Pili he is in It business. 3, he is such a humble person, ndo maana alikutetea coz moto uliouwasha no one dared kukuooa, but iregardless watu wangemtukana vipi he did the right tjing kukuokoa wewe! And he might be acting as a beastbut he is sweet too! Ushamuona anmtukana mwanake humu? Such a gentleman! My sweet beast!

Nimewaambia hivi ili mkae ae mbali, sio kutokwa na udenda wa kummendea oooooh! Nitaloga mtu hapa!

Cc miss neddy, Heaven on Earth, Khantwe, Vaislay, nawengineo mnaomtolea macho my love!

ooh mama...
 
Mmh I never expected such a classic promotion 2 happen in here! Shkamoo lara1#
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom