Nimekusoma! Kwanza inabidi uelewe kwa nini apartments?
Vertical development imetoka na uhaba wa ardhi hasa kwa mijini kushindwa ku-accommodate the growing population, then kupata highest and best use ya land, wataalamu wa mipango miji waka-adopt vertical development! In this case unakuwa na units nyingi, and so familia nyingi zaidi kutegemea how much you want to go vertically katika ardhi ambayo mtu angejenga nyumba ya familia moja au mbili!
Huo ndio msingi wa kuwa na apartments na wa si suala la nchi gani eti watu wanapenda apartments zaidi ya standalone units! Ndio maana nikasema je, ni mikoa yote tunahiyaji hizo apartment na kibiashara zinalipa?
Ni kwasababu hiyo ya apartments kuendelea kuwa nyingi zaidi na kuwa rahisi kuishi ulinganisha na standalone kwa Europe na USA kwa mfano, unakuta zinakuwa na classes tofauti, some are normal apartments and some are executive apartments! Some have a gated community with a lock-up and go environment, and some have all the facilities under one roof, and that people can develop socialization!