ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Wewe kweli Mr. ZERO!! Hivi dunia ya leo utaongelea Real Estate Investment tena kwenye apartments bila kuongelea Dubai? Wewe si uko exposed, vipi tena? Hujui hao wazungu unaowakubali sana wanakwenda Dubai na Hong Kong kushangaa ultra-modern buildings???
Kwa sababu unapenda sana wazungu, jaribu kumsoma Thorsten Botz-Bornstein (a German philosopher specializing in aesthetics and intercultural philosophy) anavyoyaongelea hayo majiji!
"Both cities possess port locations that are central to trade and both cities have attracted massive international capital as well as large expat communities. Furthermore, both cities have been submitted to spectacular developments transforming them within a few decades from fishing villages deprived of any urban history into hubs linking the East and the West."
Sijawahi kuona mwehu zaidi yako. Wewe ndiye uliyeanzisha thread ya kuhusu apartments, sasa jijibu mwenyewe kwenye thread post yako umetaja Dubai? Kama hujataja Dubai, huu wehu unaoandika sasa umetoka wapi?
Yaani dogo una KIFAFA cha hoja ambacho kuna uwezekano kimesabaishwa na ulevi.