Yesu aliumba Mbingu na Nchi

Yesu aliumba Mbingu na Nchi

Kwanza ujui maana ya kafiri wala ujui maana ya kusilimu.....kama muhammad alisilimu basi alikuwa ametoka upotevuni ...mngesema muhammad hajawai kusilimu kidogo mgekuwa na hoja .....tatizo lipo hapo kwanini muhammad alitakiwa kusilimu au alisilimu elewa swali ?
Kunactofauti hapa
1) muhammad ni muislamu lakini ajawai kusilimu
2) muhammad ni muislamu aliye silimu.

Tumia Akili kujua maswali wewe ujaelewa maswali hata moja
Unajiita genius alafu mgumu kuelewa.. uliwasumbua sana walimu wako itakua..

Haya basi kamsome yuda 1:14

Utaelewa maana yake alafu uniletee hyo hadithi ya Muhammad kusilimishwa
 
Kwahyo ninakuelezea vyote bado haelewi

Hajawahi kuslimu na hakuna hyo hadithi kama unayo ilete hapa..

Usichukue ule ubatizwaji wa yesu ndo uweke hapo unachanganya story
Kwa hiyo iie sura ambayo Allah mwenyewe ana mwambia muhammad awe wa kwanza kusilimu ni ya kihuni tu😁😁😁😁😁😁
FaizaFoxy adriz Bwana Utam Malaria 2 ...mkuje huku kumbe mudi boy ajawai kusilimu hata baada ya kuamriwa na Allah kuwa awe wa kwanza kusilimu kati wa waislamu
 
Kwa hiyo iie sura ambayo Allah mwenyewe ana mwambia muhammad awe wa kwanza kusilimu ni ya kihuni tu😁😁😁😁😁😁
Unabisha kitoto sana weka aya hapo inayo mwambia aslimu au ulisikia kijiweni kwenu?
 
Unabisha kitoto sana weka aya hapo inayo mwambia aslimu au ulisikia kijiweni kwenu?
Nilikuwa nasubiri ubishe au uonyeshe kuwa ujui aya ili nijue ujinga wako
 

Attachments

  • Screenshot_20250212-122615_Lite.jpg
    Screenshot_20250212-122615_Lite.jpg
    88.8 KB · Views: 3
Ok sawa, sijui tatumia lugha gani ili uweze nielewa acha nijaribu.
Lengo la mungu ilikuwa kuishi na mwanadamu kwa ukaribu Kama ilivyokuwa edeni kwenda kuwatembelea wakati wa jua kupunga. Lkn pia mawazo ya mwanadamu wakati huo ilikuwa Ni kuwaza mema tu hapakuwa na mawazo mabaya. Kumfikiria Mungu kumpenda na kumsifu kwa kazi yake.

Dhambi ilipoingia tulibadilika kabisa kutoka utukufu na kuwa chini ya dhambi yaani watumwa wa dhambi, akili na mawazo yote yalitawaliwa na dhambi hivyo kila tuwazalo na tufanyalo inakuwa kwa ajili yakumkosea Mungu kwakuwa ndivyo dhambi inavyohitaji tufanyalo.
Kwa hiyo Sasa Mungu akawa amebaki kuduwaa na kutushangaa namna tulivyo mtenga badala yakupata sifa kutoka kwetu badala yake anapata machukizo. Dhambi ikabadili kabisa mfumo wa maisha ambao Mungu alikuwa ameupanga na kwakuwa tayari alikuwa ameshaweka adhabu yakifo aliacha tuendelee kufa Hadi pale alipoandaa mpango wa wokovu.

Tukirudi kwako kuwa baada ya mpango wa wokovu dhambi zilipungua?

Dunia baada ya dhambi ililaaniwa Sasa Mungu hawezi kuilaani alafu Tena awake maisha ya milele kwenye eneo lenye laana hapana. Anasema hajipingi. Kama alivyombariki adamu hakuweza kumlaani Tena baada ya anguko la dhambi badala yake aliilaani ardhi. Hivyo Basi aliandaa eneo la maisha mengine mapya ya utakatifu kwa wateule watakaoshinda baada yakuishi kwa kumcha Mungu kwenye dunia iliyo chini ya utumwa wa dhambi.

Sasa baada ya yesu kuondoa kiambaza kilichotutenga, ndipo Sasa tunakufa karibu na Mungu kwa kuongea nae, na kuwa karibu nae. Hapa Ni kwa wale waliookoka ndio wanaelewa vizuri, kwa mtu ambaye bado anaishi dhambini hawezi kunielewa.

Dhambi zinapungua kwa watu wanaoishi utakatifu. Wewe huwezi kujua sababu bado hujaanza kuishi utakatifu.
Katika majira zote saba zilizopita hakuna mtakatifu aliwahi kuvuka na kumfikia Muumba hata mmoja.Ikabidi aje yeye mwenywe kuishi nasi.Rejea

Luka 16:19-26
Hata lazaro alipokufa alifikia kifuani mwa Ibrahim kufarijiwa na sio kwa Muumba wake.

Daniel 7:21
Nikatazama, na pembe iyo hiyo ilifanya vita na watakatifu, ikawashinda;

Ufunuo 11:7
Hata watakapoumaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika kuzimu atafanya vita nao, naye atawashinda na kuwaua.

Muumba alilazimika kuja kuishi nasi na kututoa kwenye utumwa baada ya waliotumwa wote kushindwa hata baada ya kumtuma Yesu maana kusudi lake halikuwa sisi kufa bali kuishi umilele naye.Rejea

Ufunuo 21:3
Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.

Isaya 57:15
Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na moyo uliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.

Hosea 13:14
Nitawakomboa na nguvu za kaburi; nitawaokoa na mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Kujuta kutafichwa na macho yangu.

1Korintho 15:51
Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala(kufa) sote, lakini sote tutabadilika,

Mhubiri 3:11
Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho.

Yesu mwenywe alisema Muumba(aliyemtuma) asipofupisha siku hakuna mtu angepona hata ile damu yake iliyomwagika kuna fumbo dunia ilificha ya walivyoiba alivyokuja navyo katika efeso 1:21-23 ndo maana akasema katika

Mathayo 26:29
Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.

Alisema hayo akijua Muumba atakuja na damu yake mwenywe kutukomboa maana yake waliiba na kuchukua kila alichokuja nacho. (lilikuwa fumbo la imani)
 
Kweli tatizo sio lako tatizo ni kukosa utulivu tu..

Quran haina mafumbo naamini ungeendelea kusoma pia ungeelewa ok acha nikutafunie..

Hyo sio sura iliyo shuka kumpa amri Mtume Muhammad s.a.w Bali ni kwa watu wote wa kitabu thus why inaendelea na kusema

Sema: Mimi naogopa adhabu ya Siku kubwa hiyo ikiwa nitamuasi Mola wangu Mlezi”

hyo ni dedication kwako wewe na sio Muhammad Lwiva
 
Kweli tatizo sio lako tatizo ni kukosa utulivu tu..

Quran haina mafumbo naamini ungeendelea kusoma pia ungeelewa ok acha nikutafunie..

Hyo sio sura iliyo shuka kumpa amri Mtume Muhammad s.a.w Bali ni kwa watu wote wa kitabu thus why inaendelea na kusema

Sema: Mimi naogopa adhabu ya Siku kubwa hiyo ikiwa nitamuasi Mola wangu Mlezi”

hyo ni dedication kwako wewe na sio Muhammad Lwiva
Leo utaruka ruka sana hadi utaiva yani hapa sija anza kukuuliza hata swali moja hii ni Chemsha bongo tu 😁😁😁huo mwendelezo haubadili hoja ya muhammad kuambiwa awe wa kwanza kusilimu hapa leo utabishana na hadi waislamu wenzio sasa niruhusu nianze maswali kama upo tayari
 
Leo utaruka ruka sana hadi utaiva yani hapa sija anza kukuuliza hata swali moja hii ni Chemsha bongo tu 😁😁😁huo mwendelezo haubadili hoja ya muhammad kuambiwa awe wa kwanza kusilimu hapa leo utabishana na hadi waislamu wenzio sasa niruhusu nianze maswali kama upo tayari
Hauna hoja
 
Katika majira zote saba zilizopita hakuna mtakatifu aliwahi kuvuka na kumfikia Muumba hata mmoja.Ikabidi aje yeye mwenywe kuishi nasi.Rejea

Luka 16:19-26
Hata lazaro alipokufa alifikia kifuani mwa Ibrahim kufarijiwa na sio kwa Muumba wake.

Daniel 7:21
Nikatazama, na pembe iyo hiyo ilifanya vita na watakatifu, ikawashinda;

Ufunuo 11:7
Hata watakapoumaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika kuzimu atafanya vita nao, naye atawashinda na kuwaua.

Muumba alilazimika kuja kuishi nasi na kututoa kwenye utumwa baada ya waliotumwa wote kushindwa hata baada ya kumtuma Yesu maana kusudi lake halikuwa sisi kufa bali kuishi umilele naye.Rejea

Ufunuo 21:3
Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.

Isaya 57:15
Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na moyo uliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.

Hosea 13:14
Nitawakomboa na nguvu za kaburi; nitawaokoa na mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Kujuta kutafichwa na macho yangu.

1Korintho 15:51
Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala(kufa) sote, lakini sote tutabadilika,

Mhubiri 3:11
Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho.

Yesu mwenywe alisema Muumba(aliyemtuma) asipofupisha siku hakuna mtu angepona hata ile damu yake iliyomwagika kuna fumbo dunia ilificha ya walivyoiba alivyokuja navyo katika efeso 1:21-23 ndo maana akasema katika

Mathayo 26:29
Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.

Alisema hayo akijua Muumba atakuja na damu yake mwenywe kutukomboa maana yake waliiba na kuchukua kila alichokuja nacho. (lilikuwa fumbo la imani)
Waliiba na kuchukua kila alichokuja nacho, Ni kipi hicho kilichoibiwa?
 
Waliiba na kuchukua kila alichokuja nacho, Ni kipi hicho kilichoibiwa?
Efeso 1:21-22
21 juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia;

22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa.

Hivyo hapo juu ndo alikuja navyo vikachukuliwa vikawa duniani.
 
Efeso 1:21-22
21 juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia;

22 akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa.

Hivyo hapo juu ndo alikuja navyo vikachukuliwa vikawa duniani.
Alikuja navyo vikachukuliwa na Nani Tena?
 
Aliuliwa ili apate kubeba dhambi zetu tupate kusamehewa. Mpaka hivi sasa tumesha samehewa dhambi zetu kupitia yeye. Ni swala la kumwamini ya kwamba ni BWANA NA MWOKOZI WETU. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE MILELE. AMINA
Ikiwa ni hivyo kanisani mnaenda kufanya nini nanyi ni watakatifu msiyo na dhambi?
 
Una uelewa finyu Sana kuhusu maandiko.

Ufalme, enzi, mamlaka, kuwa juu ya vyote, usultani vyote unataka kusema yesu aliviacha duniani?
Ukitaka kujua Ni kwamba jina la shetani Ni chukizo kwa watu wote duniani. Hata wewe hapo ukiambiwa wewe Ni shetani unaweza kupigana amini kwamba. Yule alilaaniwa kwa hivyo jina lake Ni chukizo kwa wanadamu. Lakini jina la yesu angalia linavyotrend vizazi na vizazi.

Huna maarifa ya neno wewe, laiti Kama ingelikuwa Ni hivyo Basi hata wachawi wangeroga hadharani, watu wangetenda dhambi kweupe, wange bakana hadharani ili kudhihirisha ufalme wao. Lkn wanajificha.
 
Una uelewa finyu Sana kuhusu maandiko.

Ufalme, enzi, mamlaka, kuwa juu ya vyote, usultani vyote unataka kusema yesu aliviacha duniani?
Ukitaka kujua Ni kwamba jina la shetani Ni chukizo kwa watu wote duniani. Hata wewe hapo ukiambiwa wewe Ni shetani unaweza kupigana amini kwamba. Yule alilaaniwa kwa hivyo jina lake Ni chukizo kwa wanadamu. Lakini jina la yesu angalia linavyotrend vizazi na vizazi.

Huna maarifa ya neno wewe, laiti Kama ingelikuwa Ni hivyo Basi hata wachawi wangeroga hadharani, watu wangetenda dhambi kweupe, wange bakana hadharani ili kudhihirisha ufalme wao. Lkn wanajificha.
Nyoka alikuwepo kabla ya kerubi kuangushwa naye na kuwa shetani au ibilisi.
 
Nyoka alikuwepo kabla ya kerubi kuangushwa naye na kuwa shetani au ibilisi.
Fafanua vizuri nyoka Ni Nani. Na ibilisi Ni Nani tukuelewe, na sijui wewe Ni dini gani hayo unayatoa kitabu gani
 
Fafanua vizuri nyoka Ni Nani. Na ibilisi Ni Nani tukuelewe, na sijui wewe Ni dini gani hayo unayatoa kitabu gani
Uzuri nakuwekea mistari kabisa ukasome ila we unatumia akili ya mapokeo bila reference.

Iko ivi kuna miduara mitatu ambayo ilikuwa machipukizi yasio na mbegu wala kiini ndiyo iliyoteka uumbaji baada tu ya
mwanzo1:1
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

Ukienda ule mstari wa pili unasema nchi ilikuwa ukiwa, utupu na giza.

Huo mstari ndo unawapa mamlaka falme na mamlaka kusema giza ndo lilitangulia hivyo majira ianze saa 6 usku,nguvu za giza na falme na mamlaka ndo zikawa na udhihirisho kuliko ufalme wa nuru,rejea miziki ya kidunia,matajiri wa kidunia, etc.

Miduara hiyo mitatu ni

1.Malkia wa mbinguni(kahaba mkuu na mama wa makahaba(ufunuo 17,18)
Matendo 19:27

Si kwamba kazi hii yetu ina hatari ya kudharauliwa tu; bali na hekalu la mungu mke aliye mkuu, Artemi, kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa utukufu wake, ambaye Asia yote pia na walimwengu wote humwabudu.

2.Joka ufunuo 12:3
Ikaonekana ishara nyingine mbinguni; na tazama, joka kubwa jekundu, alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na juu ya vichwa vyake vilemba saba.

3.Vita ufunuo 12
Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake;

Hiyo miduara mitatu hakuna mtakatifu aliyewahi kuivuka.

Ndo mana kuna mataifa yanaabudu Mungu mke (malkia wa mbinguni) haya yalimwita Mungu so wengi wanamwabudu wachache sana kwa kujua na wengi bila kujua.

Na mataifa mengine yanaabudu Joka (dragon,dagon) na kuna siku kabisa wanapitishwa mitaani kusherekea eg China.

Na kuna mataifa mengi kwao vita ni ibada.

Ilikuwa sio rahisi kuwavuka hao maana wote waliotangulia na utakatifu wao hawakuweza wavuka ndo maana ikaandikwa mateso ya mwenye haki ni mengi.

Sasa hao watatu ndio walimshawishi kerubi kuasi nakuja kuitwa ibilisi japo aliumbwa mkamilifu kuliko wote (utajiuliza uasi ulitoka wapi) ndo hawa majamaa wanaingia hapo.

So ibilisi au shetani ilikuwa level ndogo sana unapoongelea the real enemy of the creator.
 
Maandiko haya yote yanathibitisha nafasi ya Yesu Kristo katika kazi ya uumbaji.

Yohana 1:1-3
"Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwa kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika."
  1. Wakolosai 1:15-17
    "Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo duniani... vitu vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake."
  2. Waebrania 1:2
    "...kwa njia yake aliuumba ulimwengu."
  3. Waebrania 1:10
    "Wewe, Bwana, hapo mwanzo uliutia misingi ya nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako."
  4. Ufunuo 3:14
    "Yeye ni mwanzo wa kuumba kwa Mungu."
  5. 1 Wakorintho 8:6
    "...Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwa yeye vitu vyote vimekuwapo."
  6. Yohana 1:10
    "Ulimwengu ulifanyika kwa yeye, wala ulimwengu haukumtambua."
  7. Mika 5:2
    "Kutoka kwako kitatoka kwake atakayekuwa mtawala katika Israeli, ambaye asili zake zimekuwa za tangu milele."
    • Inahusisha Yesu na milele, akionyesha uhusiano wake na uumbaji.
  8. Zaburi 102:25 (iliyorejelewa katika Waebrania 1:10)
    "Hapo mwanzo uliutia misingi ya nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako."
  9. Isaya 9:6
    "...naye ataitwa... Baba wa milele, Mfalme wa amani."
  • Yesu akiwa Baba wa milele, anahusiana na kazi ya kuumba.
  1. Waefeso 3:9
    "...Mungu aliyeumba vitu vyote kwa Yesu Kristo."
  2. Zaburi 33:6
    "Kwa neno la Bwana mbingu zilifanyika."
  • Yesu ni Neno la Mungu.
  1. Mithali 8:22-31
    "Bwana alinipata mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo yake ya kale."
  • Inahusisha Hekima na Yesu kama mshiriki wa uumbaji.
  1. Warumi 11:36
    "Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, na kwa yeye, na kwa ajili yake."
  2. Ufunuo 4:11
    "...kwa kuwa wewe ndiwe uliumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako vilikuwako na kuumbwa."
  3. Yohana 17:5
    "Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja na wewe mwenyewe kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako."
  • Yesu alikuwa na Mungu kabla ya uumbaji.
  1. Ayubu 38:4-7
    "...Nilipoiweka misingi ya dunia... nyota za asubuhi ziliimba pamoja."
  • Yesu, akiwa Neno, alihusika.
  1. 1 Petro 1:20
    "Alijulikana tangu kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu."
  2. Yohana 8:58
    "Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."
  • Yesu ni wa milele, na uumbaji unamhusu.
  1. Mathayo 28:18
    "Yesu akaja kwao, akasema, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani."
  • Kama Muumbaji, Yesu ana mamlaka juu ya vitu vyote.
BWANA YESU ATUKUZWE


Principles for reading the Bible
  • Prayer: Start and continue with prayer
  • Context: Read the Bible in its historical and cultural context
  • Unity: Read the Bible as a whole, paying attention to its unity
  • Gospel approach: Read each passage as part of the overarching storyline that leads to Jesus
  • Interpretation: Allow the Bible to interpret itself
  • Application: Apply the Bible to your life
  • Reason: Use reason to understand the Bible
  • Author's intent: Understand the author's purpose in the context
  • Love: Read the Bible through the lens of love
  • Themes: Look for biblical-theological themes
Steps of reading the Bible

  1. Observe the passage
  2. Interpret the passage
  3. Apply the passage to your life
  4. Read the passage multiple times
  5. Clarify any questions you have
Wacha tuwashe misokoto yetu ya bangi wafia dini mkiwa mnabishana
 
Hauna hoja
Upo tayari kwa maswali?.. Sasa nataka kukuonyesha kuwa wewe ujui chochote hata majibu yako niya kuotea ... Mfano hapo nilipo kupa logic ya muhammad kuwa akutakiwa asilimu ndiyo na wewe ukaja na hoja kuwa Muhammad ajasilimu😏 ila ukisema hivi misikitini kuwa Muhammad ajasilimu watakutukana na kukupiga mawe, maana wenyewe wanakuambia kasilimishwa na Allah ...pia hii ya muhammad kuwa ndiyo muislamu wa kwanza kati ya umma wake ...hii nayo ni hadithi tu za mudi boy maana mudi boy mwenyewe kasema watoto uzaliwa hali ni waislamu ... tumieni akili zenu vizuri....kila siku watoto uzaliwa sasa imewezekanaje muhammad kuwa muislamu wa kwanza katika zama zake.....mudi boy ni muongo...aya hii hapa ipo wazi kabisa labda FaizaFoxy aje atueleweshe kiswahili fasaha cha hii sura😁😁...kumbukeni kuwa uwezi kusilimu bila ya kuwa kafiri 🤫🤫🤫 mudi boy alikuwa KAFIRI?????? adriz Bwana Utam Malaria 2 FaizaFoxy
 

Attachments

  • Screenshot_20250213-101207_Gallery.jpg
    Screenshot_20250213-101207_Gallery.jpg
    151.5 KB · Views: 4
Back
Top Bottom