Yesu aliumba Mbingu na Nchi

Yesu aliumba Mbingu na Nchi

Endeleeni kumuabudu huyo NABII ISA LAKINI siku ya kiama atawakana Live

QURAN 5: 116-117

116. Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa mwana wa Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.

117. Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipo kuwa nao. Na ulipo nifisha ukawa Wewe ndiye Muangalizi juu yao. Na Wewe ni shahidi juu ya kila kitu.


 
Uzuri nakuwekea mistari kabisa ukasome ila we unatumia akili ya mapokeo bila reference.

Iko ivi kuna miduara mitatu ambayo ilikuwa machipukizi yasio na mbegu wala kiini ndiyo iliyoteka uumbaji baada tu ya
mwanzo1:1
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

Ukienda ule mstari wa pili unasema nchi ilikuwa ukiwa, utupu na giza.

Huo mstari ndo unawapa mamlaka falme na mamlaka kusema giza ndo lilitangulia hivyo majira ianze saa 6 usku,nguvu za giza na falme na mamlaka ndo zikawa na udhihirisho kuliko ufalme wa nuru,rejea miziki ya kidunia,matajiri wa kidunia, etc.

Miduara hiyo mitatu ni

1.Malkia wa mbinguni(kahaba mkuu na mama wa makahaba(ufunuo 17,18)
Matendo 19:27

Si kwamba kazi hii yetu ina hatari ya kudharauliwa tu; bali na hekalu la mungu mke aliye mkuu, Artemi, kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa utukufu wake, ambaye Asia yote pia na walimwengu wote humwabudu.

2.Joka ufunuo 12:3
Ikaonekana ishara nyingine mbinguni; na tazama, joka kubwa jekundu, alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na juu ya vichwa vyake vilemba saba.

3.Vita ufunuo 12
Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake;

Hiyo miduara mitatu hakuna mtakatifu aliyewahi kuivuka.

Ndo mana kuna mataifa yanaabudu Mungu mke (malkia wa mbinguni) haya yalimwita Mungu so wengi wanamwabudu wachache sana kwa kujua na wengi bila kujua.

Na mataifa mengine yanaabudu Joka (dragon,dagon) na kuna siku kabisa wanapitishwa mitaani kusherekea eg China.

Na kuna mataifa mengi kwao vita ni ibada.

Ilikuwa sio rahisi kuwavuka hao maana wote waliotangulia na utakatifu wao hawakuweza wavuka ndo maana ikaandikwa mateso ya mwenye haki ni mengi.

Sasa hao watatu ndio walimshawishi kerubi kuasi nakuja kuitwa ibilisi japo aliumbwa mkamilifu kuliko wote (utajiuliza uasi ulitoka wapi) ndo hawa majamaa wanaingia hapo.

So ibilisi au shetani ilikuwa level ndogo sana unapoongelea the real enemy of the creator.
Ok naanza kukuelewesha lkn nijibu baadhi.

1. Hilo miduara mitatu iliumbwa na Nani?

2. Neno la biblia limetokana na falme ipi Kati ya Mungu na hao jamaa? Maana hata wewe umenakili vifungu vyake kuashiria unakubali kilichoandikwa.

3. Je Mungu anauweZo kuliko wote?

4. Ipi nafasi ya yesu mbinguni ukizingatia uwepo wa hao jamaa
 
Unajiita genius alafu mgumu kuelewa.. uliwasumbua sana walimu wako itakua..

Haya basi kamsome yuda 1:14

Utaelewa maana yake alafu uniletee hyo hadithi ya Muhammad kusilimishwa
Wewe Harage... rukaruka tu ...utaiva utake usitake 😏😏😏😏hiyo yuda 1:14 mbona haina kitu kwenye hii hoja au FaizaFoxy njoo unieleweshe hoja ya huyu shekh mandazi
 

Attachments

  • Screenshot_20250213-094544_Chrome.jpg
    Screenshot_20250213-094544_Chrome.jpg
    176.1 KB · Views: 4
Ok naanza kukuelewesha lkn nijibu baadhi.

1. Hilo miduara mitatu iliumbwa na Nani?

2. Neno la biblia limetokana na falme ipi Kati ya Mungu na hao jamaa? Maana hata wewe umenakili vifungu vyake kuashiria unakubali kilichoandikwa.

3. Je Mungu anauweZo kuliko wote?

4. Ipi nafasi ya yesu mbinguni ukizingatia uwepo wa hao jamaa
1.ukisoma vizuri hapo nmekwambia nimachipukizi yaliyoota bila mbegu wa kiini.

2.Neno limetokana baada ya Sauti ya Muumba kugeuzwa sabab Muumba alikuwa ng’ambo ya korongo la giza ambalo hamna mtu wala mtakatifu amewahi vuka.soma

Kutoka 20:21
Basi hao watu wakasimama mbali, naye Musa akalikaribia lile giza kuu Muumba alipokuwapo.

Ila Muumba anasema ukiitii sauti yake ndipo unakuwa tunu kuliko mataifa yote.soma

Kutoka 19:5
Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kulishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu kuliko makabila yote ya watu; maana dunia yote pia ni mali yangu,

Kumbukumbu 28:1-14
1. Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

Neno maana yake nini?
Neno ni roho,nafsi,mwili,mauti na asili.

Dunia au falme na mamlaka wanakijua kitabu(biblia) kuliko hata mwenye haki na ndo hapo wameweka misingi yao.

Ndo maana kuna msemo wanasema utahukumiwa kwa kanuni za Mungu wako.
Mfano waliposema heri mmoja afe kwa ajili ya wengi dunia ikagonga muhuri,makafara unayoona yanatolewa ni kwa msingi wa mstari huo au neno hilo.

3.
Ndio Muumba anauwezo kuliko wote ila kilichotokea walikuwa wanatumia nguvu alizoweka ndani ya uumbaji na walitumwa kumpinga maana falme na mamlaka zilitumia uumbaji au mwenye haki kama kuni ya jiko la dunia na ulimwengu,ilibidi Muumba asubiri majira yake ifike ili atimize alichosema Yesu katika

Mathayo 21:41
Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya; na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.

Maana Muumba yeye hufanya kazi kwa majira kama majira bado anakaa kimya.

Mfano mwengine,baada ya kaini kumuua abili kila alipotaka kumuadhibu kaini alikuwa anaona sura ya abili(mwenye haki) ndipo akamlaani asiguswe.

4.Yesu nafasi yake ilikua kuleta wokovu wa nafsi japo haikuwezekana maana alikuja na wokovu wa roho. Ambapo ulikuwa ukiokoka roho mauti inakimbilia kujificha kwenye nafsi.
 
Upo tayari kwa maswali?.. Sasa nataka kukuonyesha kuwa wewe ujui chochote hata majibu yako niya kuotea ... Mfano hapo nilipo kupa logic ya muhammad kuwa akutakiwa asilimu ndiyo na wewe ukaja na hoja kuwa Muhammad ajasilimu😏 ila ukisema hivi misikitini kuwa Muhammad ajasilimu watakutukana na kukupiga mawe, maana wenyewe wanakuambia kasilimishwa na Allah ...pia hii ya muhammad kuwa ndiyo muislamu wa kwanza kati ya umma wake ...hii nayo ni hadithi tu za mudi boy maana mudi boy mwenyewe kasema watoto uzaliwa hali ni waislamu ... tumieni akili zenu vizuri....kila siku watoto uzaliwa sasa imewezekanaje muhammad kuwa muislamu wa kwanza katika zama zake.....mudi boy ni muongo...aya hii hapa ipo wazi kabisa labda FaizaFoxy aje atueleweshe kiswahili fasaha cha hii sura😁😁...kumbukeni kuwa uwezi kusilimu bila ya kuwa kafiri 🤫🤫🤫 mudi boy alikuwa KAFIRI?????? adriz Bwana Utam Malaria 2 FaizaFoxy
Siku ukijua kupanga hoja na kufuatisha hoja kwa mada, Nitafute huenda uwezo wako wa kuelewa Upo kwenye kusikia
 
Sio kwamba hawana la kusema ila wanaona ni Nothing hauna unacho jua.. jua hilo
Nakuakikishia nikija na maswali wewe ndiyo utajua kwanini nakuambia hapa bado sijaanza kutoa maswali ....hizi ni Dondoo tu... cheki kiboko kingine chenye kudhibitisha kuwa Muhammad alikuwa kafiri 👉 Je muhamadi alikuwa ni mnaswara? 👈hapa usije kichwa kichwa kujibu utaumbuka
 
Aliuliwa ili apate kubeba dhambi zetu tupate kusamehewa. Mpaka hivi sasa tumesha samehewa dhambi zetu kupitia yeye. Ni swala la kumwamini ya kwamba ni BWANA NA MWOKOZI WETU. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE MILELE. AMINA
Kwahiyo we hauna dhambi zote kabeba yesu!!
 
1.ukisoma vizuri hapo nmekwambia nimachipukizi yaliyoota bila mbegu wa kiini.

2.Neno limetokana baada ya Sauti ya Muumba kugeuzwa sabab Muumba alikuwa ng’ambo ya korongo la giza ambalo hamna mtu wala mtakatifu amewahi vuka.soma

Kutoka 20:21
Basi hao watu wakasimama mbali, naye Musa akalikaribia lile giza kuu Muumba alipokuwapo.

Ila Muumba anasema ukiitii sauti yake ndipo unakuwa tunu kuliko mataifa yote.soma

Kutoka 19:5
Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kulishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu kuliko makabila yote ya watu; maana dunia yote pia ni mali yangu,

Kumbukumbu 28:1-14
1. Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

Neno maana yake nini?
Neno ni roho,nafsi,mwili,mauti na asili.

Dunia au falme na mamlaka wanakijua kitabu(biblia) kuliko hata mwenye haki na ndo hapo wameweka misingi yao.

Ndo maana kuna msemo wanasema utahukumiwa kwa kanuni za Mungu wako.
Mfano waliposema heri mmoja afe kwa ajili ya wengi dunia ikagonga muhuri,makafara unayoona yanatolewa ni kwa msingi wa mstari huo au neno hilo.

3.
Ndio Muumba anauwezo kuliko wote ila kilichotokea walikuwa wanatumia nguvu alizoweka ndani ya uumbaji na walitumwa kumpinga maana falme na mamlaka zilitumia uumbaji au mwenye haki kama kuni ya jiko la dunia na ulimwengu,ilibidi Muumba asubiri majira yake ifike ili atimize alichosema Yesu katika

Mathayo 21:41
Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya; na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.

Maana Muumba yeye hufanya kazi kwa majira kama majira bado anakaa kimya.

Mfano mwengine,baada ya kaini kumuua abili kila alipotaka kumuadhibu kaini alikuwa anaona sura ya abili(mwenye haki) ndipo akamlaani asiguswe.

4.Yesu nafasi yake ilikua kuleta wokovu wa nafsi japo haikuwezekana maana alikuja na wokovu wa roho. Ambapo ulikuwa ukiokoka roho mauti inakimbilia kujificha kwenye nafsi.
Nashukuru tunaendelea vizuri japo maelezo yako mafupi kueleweka Kama hadithi unabuni vile,

2.umesema sauti ya Mungu iligeuzwa na Nani? Pia fafanua why neno liwe roho, nafsi, mwili na mauti badala ya neno kuwa yesu.

3.sasa walitumwa na Nani kupinga?
4. Onyesha mahali umetoa maelezo yako Kama Ni biblia au Kuna kitabu kinaeleza habari za hai miduara watatu.

Kisha nambie yesu aliposhindwa kazi hatma yake Nini?
Pia naomba nishauri Ni imani gani njema ninayotakiwa kuifuata kwa Sasa.
 
Nashukuru tunaendelea vizuri japo maelezo yako mafupi kueleweka Kama hadithi unabuni vile,

2.umesema sauti ya Mungu iligeuzwa na Nani? Pia fafanua why neno liwe roho, nafsi, mwili na mauti badala ya neno kuwa yesu.

3.sasa walitumwa na Nani kupinga?
4. Onyesha mahali umetoa maelezo yako Kama Ni biblia au Kuna kitabu kinaeleza habari za hai miduara watatu.

Kisha nambie yesu aliposhindwa kazi hatma yake Nini?
Pia naomba nishauri Ni imani gani njema ninayotakiwa kuifuata kwa Sasa.
Ningekuwa nabuni nisingeweka mistari inayosapoti nachosema.

2.Ili upate uelewa zaidi lazima ujue maana ya Yesu,neno na mwili. Yesu maana yake ni neno lililovaa mwili.

Mwili maana yake ni uadui na Muumba,soma

Warumi 8:7
Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.

Na unajua tangu unazaliwa uliambiwa umegawanyika sehem tatu roho,nafsi na mwili,so Yesu ambaye ni neno lililovaa mwili alikuwa ni roho,nafsi na mwili ambao ni uadui na Muumba.

Ndo maana haikuwezekana kutuvusha.

4.nimekuwekea mistari ya hiyo miduara mitatu au walioteka nyara uumbaji labda kama hujasoma vzuri.

5.Ilikuwa lazima aliyemtuma Yesu aje ili kutimiza:-

1Korintho 15:24-28
24 Hapo ndipo mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.

25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini ya miguu yake.

26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

27 Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo.

28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe(Yesu) naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Muumba awe yote katika wote.

Ufunuo 21:3
Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.

Zekaria 14:9
Naye Bwana atakuwa Mfalme juu ya nchi yote; siku hiyo Bwana atakuwa mmoja, na jina lake moja.
 
YESU NDIYE MUNGU KWA SABABU NAFSI YA MUNGU NDIYO ILIYO KUWA NDANI YA YESU
Yesu sio Mungu. Mungu ni Mungu tuu. Yesu anapewa sifa ya uungu kwasababu kiroho na kiimani alishafikia level ya mwisho kabisa, ambayo ni Upendo wa Kweli.

Unapokua na upendo wa kweli Kwa nguvu za Mungu lolote jema waweza litenda na watu wakaona ni miujiza. Na wote walioifikia level hiyo ya mwisho ya upendo Mkuu wa Kweli, hawakufa na hawatakufa bali watatwaliwa.

Kunielewa ni hivi, yesu ni mmoja wa wanadamu walioishi vile Mungu anataka tuishi Kiroho, na ndio maana akatuambia yeye ni njia kweli na uzima. hapa ana maanisha yeye ndio kioo kwa atakaetaka kwenda peponi aweze kuishi kama yeye alivyoishi kwa ukaribu na Mungu Mkuu. Tuishie tuu kumuita ni Mwana wa Mungu, maana hata wewe na mimi tukiamua kumkataa shetani na kazi zake na tukajiweka karibu na Mungu kwa njia ya Upendo wa Kweli hakika tutakua wana wa Mungu kama Yesu tuu.

So Yesu Sio Mungu.
 
Ningekuwa nabuni nisingeweka mistari inayosapoti nachosema.

2.Ili upate uelewa zaidi lazima ujue maana ya Yesu,neno na mwili. Yesu maana yake ni neno lililovaa mwili.

Mwili maana yake ni uadui na Muumba,soma

Warumi 8:7
Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.

Na unajua tangu unazaliwa uliambiwa umegawanyika sehem tatu roho,nafsi na mwili,so Yesu ambaye ni neno lililovaa mwili alikuwa ni roho,nafsi na mwili ambao ni uadui na Muumba.

Ndo maana haikuwezekana kutuvusha.

4.nimekuwekea mistari ya hiyo miduara mitatu au walioteka nyara uumbaji labda kama hujasoma vzuri.

5.Ilikuwa lazima aliyemtuma Yesu aje ili kutimiza:-

1Korintho 15:24-28
24 Hapo ndipo mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.

25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini ya miguu yake.

26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

27 Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo.

28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe(Yesu) naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Muumba awe yote katika wote.

Ufunuo 21:3
Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.

Zekaria 14:9
Naye Bwana atakuwa Mfalme juu ya nchi yote; siku hiyo Bwana atakuwa mmoja, na jina lake moja.
Hujui unachoandika wewe unabahatisha tu.

Eti maana ya mwili Ni uadui na muumba Nani kakwambia? Mwili Ni mwili tu unapojumlishwa na roho ndiyo inakuwa nafsi hai. Na inapoondolewa roho linabaki jumba tu na ndio kifo chenyewe.

Nia ya mwili ndio chukizo kwa muumba kwa sababu mwili unataka furaha na kitu pekee ambacho kinaweza kuufanya mwili ufurahi zaidi ya vyote Ni ule utukufu wa Mungu ambao uliondolewa baada ya dhambi. Sasa kwakuwa haupo utukufu Basi vinavyobaki Ni viungo vya mwili ambavyo mwili hudhani kwamba furaha yake inapatikana kwa kuvitumia hivyo Jambo ambalo linakuwa Ni chukizo kwa Mungu. Na kumbe tulisahau kwamba furaha ya kweli ya mwili hupatikana ndani ya utukufu wa Mungu.
Kitendo Cha mwili kuwa na utukufu wa Mungu kinatosha kabisa kuishi kwa utakatifu pasipo kutamani mambo yote yanayoitwa dhambi.

Wewe unadanganya huna lolote una elimu ambayo haileweki Rudi kundini ufunzwe vizuri.
 
Yesu sio Mungu. Mungu ni Mungu tuu. Yesu anapewa sifa ya uungu kwasababu kiroho na kiimani alishafikia level ya mwisho kabisa, ambayo ni Upendo wa Kweli.

Unapokua na upendo wa kweli Kwa nguvu za Mungu lolote jema waweza litenda na watu wakaona ni miujiza. Na wote walioifikia level hiyo ya mwisho ya upendo Mkuu wa Kweli, hawakufa na hawatakufa bali watatwaliwa.

Kunielewa ni hivi, yesu ni mmoja wa wanadamu walioishi vile Mungu anataka tuishi Kiroho, na ndio maana akatuambia yeye ni njia kweli na uzima. hapa ana maanisha yeye ndio kioo kwa atakaetaka kwenda peponi aweze kuishi kama yeye alivyoishi kwa ukaribu na Mungu Mkuu. Tuishie tuu kumuita ni Mwana wa Mungu, maana hata wewe na mimi tukiamua kumkataa shetani na kazi zake na tukajiweka karibu na Mungu kwa njia ya Upendo wa Kweli hakika tutakua wana wa Mungu kama Yesu tuu.

So Yesu Sio Mungu.
Unaongea vema lkn huwezi kusema yesu sio Mungu hapana maandiko yanakataa.
Tunaweza kusema tu kwamba yesu Ni Mungu lkn hawezi kuwa Mungu baba Bali Mungu mwana kwa sababu aliumba hivyo Basi kwetu sisi wanadamu Ni Mungu japo na yeye ana Mungu wake ambaye Ni Mungu wetu.

By the way jibu lako la mwisho linapendeza zaidi kumwita mwana wa Mungu.
 
Unaongea vema lkn huwezi kusema yesu sio Mungu hapana maandiko yanakataa.
Tunaweza kusema tu kwamba yesu Ni Mungu lkn hawezi kuwa Mungu baba Bali Mungu mwana kwa sababu aliumba hivyo Basi kwetu sisi wanadamu Ni Mungu japo na yeye ana Mungu wake ambaye Ni Mungu wetu.

By the way jibu lako la mwisho linapendeza zaidi kumwita mwana wa Mungu.
Vyovyote iwavyo ila nikupotoshana tuu kama tutaendelea kuamini na kusema Yesu ni Mungu.
 
Vyovyote iwavyo ila nikupotoshana tuu kama tutaendelea kuamini na kusema Yesu ni Mungu.
Muundo ulivyo ndivyo unavyotaka tatizo lugha inagoma kuiweka kwa neno moja lililonyooka pasipo kupepesa.

Hakuna kupotosha hapa kikubwa Ni kuelewa kwa kina uungu wa yesu unatokana na Nini na Tena kwa ninavyofahamu uungu wa yesu Ni muhimu Sana Sana kwetu sisi wanadamu kwa sababu yeye ndiye chanzo Cha asili yetu.

Mimi kwa upande wangu mtu akiniuliza yesu Ni nani, jibu la kwanza nitasema Ni mwana wa mungu. Akiendelea kuniuliza kwanini mnamwita Mungu, nitamjibu tunamwita Mungu kwa sababu alituumba coz sio Mungu baba pekee mbinguni anayeweza kuumba.
 
Hujui unachoandika wewe unabahatisha tu.

Eti maana ya mwili Ni uadui na muumba Nani kakwambia? Mwili Ni mwili tu unapojumlishwa na roho ndiyo inakuwa nafsi hai. Na inapoondolewa roho linabaki jumba tu na ndio kifo chenyewe.

Nia ya mwili ndio chukizo kwa muumba kwa sababu mwili unataka furaha na kitu pekee ambacho kinaweza kuufanya mwili ufurahi zaidi ya vyote Ni ule utukufu wa Mungu ambao uliondolewa baada ya dhambi. Sasa kwakuwa haupo utukufu Basi vinavyobaki Ni viungo vya mwili ambavyo mwili hudhani kwamba furaha yake inapatikana kwa kuvitumia hivyo Jambo ambalo linakuwa Ni chukizo kwa Mungu. Na kumbe tulisahau kwamba furaha ya kweli ya mwili hupatikana ndani ya utukufu wa Mungu.
Kitendo Cha mwili kuwa na utukufu wa Mungu kinatosha kabisa kuishi kwa utakatifu pasipo kutamani mambo yote yanayoitwa dhambi.

Wewe unadanganya huna lolote una elimu ambayo haileweki Rudi kundini ufunzwe vizuri.
Muumba akupe ufahamu,mapokeo yamekufunga kuweza kuelewa mengi.
 
Back
Top Bottom