Yesu aliumba Mbingu na Nchi

Yesu aliumba Mbingu na Nchi

Ili uweze kupata uelewa mpana zaidi lazima ujue ya kwamba Muumba ni mmoja na hagawanyiki wala hana dini wala dhehebu (sio mkristo wa muislam etc)

Dunia inafahamu ilo ndo maana kukawa na Mungu wengi ili iwe rahisi kucontrol uumbaji (divide and rule principle).

Jiulize Je Allah ni Yesu au Yesu ni Allah?
Ukipata jibu jiulize tena huyo uliyejua ndie Mungu je akija atamchagua nani? aliyekuwa anamfata Yesu au Allah au Jah au Bhudda,Shiva etc.

Usitumie akili ya mapokeo tumia utashi wa Muumba ndani yako.
Mkuu, unataka kutuaminisha kwamba Mungu yupo lkn sio huyu wa uislam na ukristo. Sasa huyo unaemjua wewe tupe habari zake tumjue.
 
Mkuu, unataka kutuaminisha kwamba Mungu yupo lkn sio huyu wa uislam na ukristo. Sasa huyo unaemjua wewe tupe habari zake tumjue.
Je wajua Nyoka(dragon au dagon) nae alikuwa Mungu na kuna baadhi ya mataifa wanamuabudu mfn China,

Mungu mke nae alikuwa Mungu na aliabudiwa na ulimwengu wote kwa kujua ama kutojua.

Matendo 19:27
Si kwamba kazi hii yetu ina hatari ya kudharauliwa tu; bali na hekalu la mungu mke aliye mkuu, Artemi, kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa utukufu wake, ambaye Asia yote pia na walimwengu wote humwabudu.

Muumba ni mmoja nae ndio the real Source hana mwanzo wala mwisho Kama wengi walivyofundishwa.

Sio mkristo wala muislam o bhudda yeye ni wa wote.
 
hekaya za Mashariki ya kati
1739228761374.png
 
Je wajua Nyoka(dragon au dagon) nae alikuwa Mungu na kuna baadhi ya mataifa wanamuabudu mfn China,

Mungu mke nae alikuwa Mungu na aliabudiwa na ulimwengu wote kwa kujua ama kutojua.

Matendo 19:27
Si kwamba kazi hii yetu ina hatari ya kudharauliwa tu; bali na hekalu la mungu mke aliye mkuu, Artemi, kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa utukufu wake, ambaye Asia yote pia na walimwengu wote humwabudu.

Muumba ni mmoja nae ndio the real Source hana mwanzo wala mwisho Kama wengi walivyofundishwa.

Sio mkristo wala muislam o bhudda yeye ni wa wote.
Hujajibu , muumba ni mmoja lkn yupi? Tupe habari zake.
Kibiblia inatanabaisha habari za miungu kuwa ipo mingi baada ya kutupwa duniani walijenga himaya zao na kuabudiwa. Kuna ashera, dagon nk. Yote Ni miungu, hata Yale mapigo kumi misri ilikuwa Ni miungu kumi ya misri iliyopigwa na Mungu muumba.

Hatutishwi na uwingi wa miungu, tunatishwa na sifa za Mungu mwenye uweza mbabe anayeweza kutamka na miungu yote ikafyata mkia. Hao ma artemi hushika baadhi ya maeneo madogo lkn hawana uwezo wa kumudu dunia yote Wala kujitangaza Kama afanyavyo Mungu wetu.
 
Imani logic yake ni imani.
Hapa ndo unapoanza kuhalalisha kisicho sawa, hata wewe mwenyewe unaona wazi kuwa hicho unachokiamini ni illogical.

Imani sio kuamini tu kibubusa! ... otherwise wewe unaamini vp kama kuabudu ng'ombe ni imani potofu? .... ukiona unashindwa ku-justify imani yako basi we jua huna tofauti na yule anayeamini ng'ombe kuwa ndo mungu na mwokozi wake.
 
Ambaye hataangamia ni yule tu atakaye mwamini Yesu Kristo kwamba alichukua dhambi zake na kufa msalabani kwaajili yake.
Una maanisha mtu aamini tu kibubusa? how do u reconcile the correctness ya upande mmoja ikiwa kuna dini nyengine na yenyewe inasema wokovu ni kupitia imani hiyo tu? tufanye "ana ana doo" ama?

Hata Musa alipotaka kuthibitisha kuwa imani yake ni superior kwa wale makuhani wa kichawi alidondosha fimbo yake chini na ikageuka nyoka mkubwa na kuwameza wale nyoka wa kichawi ... hakuna blaa blaa katika imani.
 
Amen, Yesu Kristo ni Mungu mkuu
Maandiko haya yote yanathibitisha nafasi ya Yesu Kristo katika kazi ya uumbaji.

Yohana 1:1-3
"Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwa kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika."
  1. Wakolosai 1:15-17
    "Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo duniani... vitu vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake."
  2. Waebrania 1:2
    "...kwa njia yake aliuumba ulimwengu."
  3. Waebrania 1:10
    "Wewe, Bwana, hapo mwanzo uliutia misingi ya nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako."
  4. Ufunuo 3:14
    "Yeye ni mwanzo wa kuumba kwa Mungu."
  5. 1 Wakorintho 8:6
    "...Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwa yeye vitu vyote vimekuwapo."
  6. Yohana 1:10
    "Ulimwengu ulifanyika kwa yeye, wala ulimwengu haukumtambua."
  7. Mika 5:2
    "Kutoka kwako kitatoka kwake atakayekuwa mtawala katika Israeli, ambaye asili zake zimekuwa za tangu milele."
    • Inahusisha Yesu na milele, akionyesha uhusiano wake na uumbaji.
  8. Zaburi 102:25 (iliyorejelewa katika Waebrania 1:10)
    "Hapo mwanzo uliutia misingi ya nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako."
  9. Isaya 9:6
    "...naye ataitwa... Baba wa milele, Mfalme wa amani."
  • Yesu akiwa Baba wa milele, anahusiana na kazi ya kuumba.
  1. Waefeso 3:9
    "...Mungu aliyeumba vitu vyote kwa Yesu Kristo."
  2. Zaburi 33:6
    "Kwa neno la Bwana mbingu zilifanyika."
  • Yesu ni Neno la Mungu.
  1. Mithali 8:22-31
    "Bwana alinipata mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo yake ya kale."
  • Inahusisha Hekima na Yesu kama mshiriki wa uumbaji.
  1. Warumi 11:36
    "Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, na kwa yeye, na kwa ajili yake."
  2. Ufunuo 4:11
    "...kwa kuwa wewe ndiwe uliumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako vilikuwako na kuumbwa."
  3. Yohana 17:5
    "Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja na wewe mwenyewe kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako."
  • Yesu alikuwa na Mungu kabla ya uumbaji.
  1. Ayubu 38:4-7
    "...Nilipoiweka misingi ya dunia... nyota za asubuhi ziliimba pamoja."
  • Yesu, akiwa Neno, alihusika.
  1. 1 Petro 1:20
    "Alijulikana tangu kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu."
  2. Yohana 8:58
    "Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."
  • Yesu ni wa milele, na uumbaji unamhusu.
  1. Mathayo 28:18
    "Yesu akaja kwao, akasema, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani."
  • Kama Muumbaji, Yesu ana mamlaka juu ya vitu vyote.
BWANA YESU ATUKUZWE


Principles for reading the Bible
  • Prayer: Start and continue with prayer
  • Context: Read the Bible in its historical and cultural context
  • Unity: Read the Bible as a whole, paying attention to its unity
  • Gospel approach: Read each passage as part of the overarching storyline that leads to Jesus
  • Interpretation: Allow the Bible to interpret itself
  • Application: Apply the Bible to your life
  • Reason: Use reason to understand the Bible
  • Author's intent: Understand the author's purpose in the context
  • Love: Read the Bible through the lens of love
  • Themes: Look for biblical-theological themes
Steps of reading the Bible

  1. Observe the passage
  2. Interpret the passage
  3. Apply the passage to your life
  4. Read the passage multiple times
  5. Clarify any questions you have
 
Kuelewa nafasi ya Yesu Kristo katika Ukristo kunahitaji kuangalia maandiko kwa upana wake. Yesu hakuja tu kama nabii bali kama Mwana wa Mungu, na hili linathibitishwa na mafundisho yake, maisha yake, na ufufuo wake. Kuomba msaada kwa Mungu hakuondoi uungu wake, bali kunaonyesha unyenyekevu wake kama Mwana wa Adamu aliyechukua mwili ili kutimiza mpango wa wokovu. Ikiwa unataka mjadala wa kina kuhusu jambo hili, tunaweza kuchunguza maandiko pamoja.
Yani ajabu yenu nyinyi ni kuwa mnaziacha verses zilizo clear na kujichanganya na zile zilizo ambiguous. Mfano mzuri ni hiyo verse hapo chini

John 17:3 "Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent."
 
Yesu alipokuwa tumboni mwa Maria, Uungu wake haukupunguzwa wala haukukomea. Katika Ukristo, Yesu ana asili mbili—Uungu (100% Mungu) na Ubinadamu (100% mwanadamu). Hii inamaanisha kwamba alipokuwa duniani, hakuwa ameacha uungu wake, bali alikuwa ameuchukua mwili wa kibinadamu kwa hiari yake.

Katika Wakolosai 1:17, Biblia inasema:
"Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye."

Hii inaonyesha kuwa hata alipokuwa tumboni mwa Maria, Yesu hakupoteza mamlaka yake ya kimungu. Mungu Baba na Roho Mtakatifu waliendelea kushikilia mpango wa mbingu na ulimwengu, kwa sababu Mungu ni Mmoja katika nafsi tatu—Baba, Mwana (Yesu), na Roho Mtakatifu (Mathayo 28:19).

Yesu mwenyewe alisema katika Yohana 10:30:
"Mimi na Baba tu umoja."

Kwa hiyo, hata alipokuwa tumboni mwa Maria kama mwanadamu, Uungu wake haukupunguzwa, na mamlaka ya Mungu juu ya ulimwengu uliendelea bila shida yoyote. Hili ni fumbo la kiimani ambalo linahitaji kueleweka kwa kutambua kwamba Mungu si kama wanadamu, anaweza kuwa mahali popote na kufanya mambo yote kwa wakati mmoja.
Ubarikiwe sana
 
Maandiko haya yote yanathibitisha nafasi ya Yesu Kristo katika kazi ya uumbaji.

Yohana 1:1-3
"Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwa kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika."
  1. Wakolosai 1:15-17
    "Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo duniani... vitu vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake."
  2. Waebrania 1:2
    "...kwa njia yake aliuumba ulimwengu."
  3. Waebrania 1:10
    "Wewe, Bwana, hapo mwanzo uliutia misingi ya nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako."
  4. Ufunuo 3:14
    "Yeye ni mwanzo wa kuumba kwa Mungu."
  5. 1 Wakorintho 8:6
    "...Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwa yeye vitu vyote vimekuwapo."
  6. Yohana 1:10
    "Ulimwengu ulifanyika kwa yeye, wala ulimwengu haukumtambua."
  7. Mika 5:2
    "Kutoka kwako kitatoka kwake atakayekuwa mtawala katika Israeli, ambaye asili zake zimekuwa za tangu milele."
    • Inahusisha Yesu na milele, akionyesha uhusiano wake na uumbaji.
  8. Zaburi 102:25 (iliyorejelewa katika Waebrania 1:10)
    "Hapo mwanzo uliutia misingi ya nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako."
  9. Isaya 9:6
    "...naye ataitwa... Baba wa milele, Mfalme wa amani."
  • Yesu akiwa Baba wa milele, anahusiana na kazi ya kuumba.
  1. Waefeso 3:9
    "...Mungu aliyeumba vitu vyote kwa Yesu Kristo."
  2. Zaburi 33:6
    "Kwa neno la Bwana mbingu zilifanyika."
  • Yesu ni Neno la Mungu.
  1. Mithali 8:22-31
    "Bwana alinipata mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo yake ya kale."
  • Inahusisha Hekima na Yesu kama mshiriki wa uumbaji.
  1. Warumi 11:36
    "Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, na kwa yeye, na kwa ajili yake."
  2. Ufunuo 4:11
    "...kwa kuwa wewe ndiwe uliumba vitu vyote, na kwa mapenzi yako vilikuwako na kuumbwa."
  3. Yohana 17:5
    "Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja na wewe mwenyewe kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako."
  • Yesu alikuwa na Mungu kabla ya uumbaji.
  1. Ayubu 38:4-7
    "...Nilipoiweka misingi ya dunia... nyota za asubuhi ziliimba pamoja."
  • Yesu, akiwa Neno, alihusika.
  1. 1 Petro 1:20
    "Alijulikana tangu kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu."
  2. Yohana 8:58
    "Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."
  • Yesu ni wa milele, na uumbaji unamhusu.
  1. Mathayo 28:18
    "Yesu akaja kwao, akasema, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani."
  • Kama Muumbaji, Yesu ana mamlaka juu ya vitu vyote.
BWANA YESU ATUKUZWE


Principles for reading the Bible
  • Prayer: Start and continue with prayer
  • Context: Read the Bible in its historical and cultural context
  • Unity: Read the Bible as a whole, paying attention to its unity
  • Gospel approach: Read each passage as part of the overarching storyline that leads to Jesus
  • Interpretation: Allow the Bible to interpret itself
  • Application: Apply the Bible to your life
  • Reason: Use reason to understand the Bible
  • Author's intent: Understand the author's purpose in the context
  • Love: Read the Bible through the lens of love
  • Themes: Look for biblical-theological themes
Steps of reading the Bible

  1. Observe the passage
  2. Interpret the passage
  3. Apply the passage to your life
  4. Read the passage multiple times
  5. Clarify any questions you have
Unatumia mistari ya Biblia kuthibitisha Imani ya Biblia hiyo hiyo, huo sio usomi.
Sawa na kusema wewe Mungu kisha ila uthibitisho wako no kitabu ulicho andika mwenyewe
Stupidity
 
Unatumia mistari ya Biblia kuthibitisha Imani ya Biblia hiyo hiyo, huo sio usomi.
Sawa na kusema wewe Mungu kisha ila uthibitisho wako no kitabu ulicho andika mwenyewe
Stupidity
Majibu yote yapo ndani ya biblia. Biblia ndio funga kazi.
 
Yani ajabu yenu nyinyi ni kuwa mnaziacha verses zilizo clear na kujichanganya na zile zilizo ambiguous. Mfano mzuri ni hiyo verse hapo chini

John 17:3 "Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent."
Chukua aya nzima ya 17
 
Yesu si mungu na hajawahi kuwa mungu
Hata ROHO MTAKATIFU ni mungu tumia akili kutambua uwezo wa utendaji wa mungu ...musa aliona mti unawaka moto ule mti na moto vilikuwa ni mungu.

Mungu anaweza kujigeuza kitu chochote ila hakuna aliye wahi kuiona nafsi ya mungu ...maana hata sisi binadamu hatujawai kuziona nafsi zetu....tatizo lenu waislamu na wakristo mmeshindwa kujua MUNGU NA YESU NA ROHO MTAKATIFU NI NINI..!?🤔🤔
ndiyo maana wakristo wapumbavu wanapotosha kuwa mungu ana nafsi tatu ....Kusema mungu ana nafsi tatu ni upumbavu....
💥Sasa nitaeleza Mungu na Yesu na Roho mtakatifu ni nini ? hadi vyote hivyo viwe ni 👉 Mungu mmoja Nafsi moja.

1) MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI
2) YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA MWANADAMU
3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU ( yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja) ....

Kitu kingine ni kutambua Yesu anapo sema "MWANA" umaanisha mwili wake...na anapo sema "BABA" umaanisha Nafsi yake ambayo ndiyo Mungu Mwenyezi.
Sasa baada ya fafanuzi hii nakushaurini kasome Injili yote upya kwa kutumia fafanuzi hii kisha mtajua nini ni nini.... kisha tumieni fafanuzi hii kujibu maswali yote ya mashehe wanayo hoji kuhusu yesu utapata majibu kamili ...

Mfano waislamu wanasema 👉Hakuna aliye muona mungu duniani na biblia inasema hivyo hivyo je kama Yesu nini Mungu mbona kaonekana? Jibu ni kuwa 👉Yesu ni Nafsi ya mungu ndani ya mwili wa mwanadamu hivyo bado hakuna aliye muona mungu ....

Swali lingine la waislamu ni hili 👉je Mungu anakufa hata sekunde moja ? Jibu ni👉 hapana Mungu awezi kufa hata sekunde moja ...waislamu watakuuliza sasa mbona Mungu yesu kafa na kufufuka siku ya 3 je huyo ni Mungu gani anaye kufa ? ...hapa kwa kutumia fafanuzi za yesu ni nani na ukienda msalabani tunamsikia Yesu akimwaidi yule mtu waliye sulibiwa naye kuwa 👉leo hii utakuwa pamoja nami pema peponi ...hapa waislamu watakuambia biblia inajichanganya 🤕 kwa sababu wakristo mmesema yesu alikufa msalabani na kufufuka siku ya 3 sasa hapa mbona inasema yesu alikuwa pema peponi siku ile ile...jibu 👉 kilicho kufa na kufufuka siku ya tatu ni MWILI WA YESU SIYO NAFSI YA YESU KWA SABABU NAFSI YA YESU NDIYO NAFSI YA MUNGU MWENYEZI...ndiyo maana msalabani anamwambia yule mtu leo utakuwa pamoja nami pema peponi ...hivyo Mungu akufa msalabani bali alitoka ndani ya mwili na kufanya mwili kuwa mfu kwa sababu mwili ulibaki bila ya nafsi ...huko ndiyo kufa kwa yesu....sasa utajua kuwa nikweli mungu hawezi kufa hata sekunde moja ...
Kisha siku ya tatu Nafsi ya mungu ikarejea ndani ya mwili wa Yesu kaburini na mwili ukafufuka.

Bwana Rabbon Bwana Utam FaizaFoxy adriz ...njoeni mjifunze injili ya kweli mumjue kwanini kristo anaitwa mfalme
 
Hata roho mtakatifu ni mungu tumia akili kutambua uwezo wa utendaji wa mungu ...musa aliona mti unawaka moto ule mti na moto vilikuwa ni mungu.

Mungu anaweza kujigeuza kitu chochote ila hakuna aliye wait kuiona nafsi ya mungu ...maana hata sisi binadamu hatujawai kuziona nafsi zetu....tatizo lenu waislamu na wakristo mmeshindwa kujua MUNGU NA YESU NA ROHO MTAKATIFU NI NINI..!?🤔🤔
ndiyo maana wakristo wapumbavu wanapotosha kuwa mungu ana nafsi tatu ....Kusema mungu ana nafsi tatu ni upumbavu....
💥Sasa nitaeleza Mungu na Yesu na Roho mtakatifu ni nini ? hadi vyote hivyo viwe ni Mungu mmoja Nafsi moja

1) MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI
2) YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA MWANADAMU
3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU ( yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja) ....Sasa baada ya fafanuzi hii nakushauri kasome injili yote upya kwa kutumia fafanuzi hii kisha utajua nini ni nini....kisha tumia fafanuzi hii kujibu maswali yote ya mashehe wanayo hoji kuhusu yesu utapata majibu kamili ...

Mfano waislamu wanasema 👉Hakuna aliye muona mungu duniani na biblia inasema hivyo hivyo je kama Yesu nini Mungu mbona kaonekana? Jibu ni kuwa 👉Yesu ni Nafsi ya mungu ndani ya mwili wa mwanadamu hivyo bado hakuna aliye muona mungu ....

Swali lingine la waislamu ni hili 👉je Mungu anakufa hata sekunde moja ? Jibu ni👉 hapana Mungu awezi kufa hata sekunde moja ...waislamu watakuuliza sasa mbona Mungu yesu kafa na kufufuka siku ya 3 je huyo ni Mungu gani anaye kufa ? ...hapa kwa kutumia fafanuzi za yesu ni nani na ukienda msalabani tunamsikia Yesu akimwaidi yule mtu waliye sulibiwa naye kuwa 👉leo hii utakuwa pamoja nami pema peponi ...hapa waislamu watakuambia biblia inajichanganya 🤕 kwa sababu wakristo mmesema yesu alikufa msalabani na kufufuka siku ya 3 sasa hapa mbona inasema yesu alikuwa pema peponi siku ile ile...jibu kilicho kufa na kufufuka siku ya tatu ni MWILI WA YESU SIYO NAFSI YA YESU KWA SABABU NAFSI YA YESU NDIYO NAFSI YA MUNGU MWENYEZI...ndiyo maana msalabani anamwambia yule mtu leo utakuwa pamoja nami pema peponi ...hivyo Mungu akufa msalabani bali alitoka ndani ya mwili na kufanya mwili kuwa mfu kwa sababu mwili ulibaki bila ya nafsi ...huko ndiyo kufa kwa yesu....sasa utajua kuwa nikweli mungu hawezi kufa hata sekunde moja ...
Kisha siku ya tatu Nafsi ya mungu ikarejea ndani ya mwili wa Yesu kaburini na mwili ukafufuka.

Bwana Rabbon Bwana Utam FaizaFoxy adriz ...njoeni mjifunze injili ya kweli mumjue kwanini kristo anaitwa mfalme
Mungu ni MMOJA NAFSI Moja.

Awapo KITI Cha enzi ni Mungu BABA.

Akija katika mwili wa mwanadamu kuokoa ni Mungu Mwana.

Aishipo ndani ya Mtu Ili kumsaidia kujitakasa aitwa Mungu Roho mtakatifu.

Na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.

Ubarikiwe 🙏
 
Hata roho mtakatifu ni mungu tumia akili kutambua uwezo wa utendaji wa mungu ...musa aliona mti unawaka moto ule mti na moto vilikuwa ni mungu.

Mungu anaweza kujigeuza kitu chochote ila hakuna aliye wait kuiona nafsi ya mungu ...maana hata sisi binadamu hatujawai kuziona nafsi zetu....tatizo lenu waislamu na wakristo mmeshindwa kujua MUNGU NA YESU NA ROHO MTAKATIFU NI NINI..!?🤔🤔
ndiyo maana wakristo wapumbavu wanapotosha kuwa mungu ana nafsi tatu ....Kusema mungu ana nafsi tatu ni upumbavu....
💥Sasa nitaeleza Mungu na Yesu na Roho mtakatifu ni nini ? hadi vyote hivyo viwe ni Mungu mmoja Nafsi moja

1) MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI
2) YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA MWANADAMU
3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU ( yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja) ....
Kitu kingine ni kutambua Yesu anapo sema "MWANA" umaanisha mwili wake...na anapo sema "BABA" umaanisha Nafsi yake ambayo ndiyo Mungu mwenyezi.
Sasa baada ya fafanuzi hii nakushauri kasome injili yote upya kwa kutumia fafanuzi hii kisha utajua nini ni nini....kisha tumia fafanuzi hii kujibu maswali yote ya mashehe wanayo hoji kuhusu yesu utapata majibu kamili ...

Mfano waislamu wanasema 👉Hakuna aliye muona mungu duniani na biblia inasema hivyo hivyo je kama Yesu nini Mungu mbona kaonekana? Jibu ni kuwa 👉Yesu ni Nafsi ya mungu ndani ya mwili wa mwanadamu hivyo bado hakuna aliye muona mungu ....

Swali lingine la waislamu ni hili 👉je Mungu anakufa hata sekunde moja ? Jibu ni👉 hapana Mungu awezi kufa hata sekunde moja ...waislamu watakuuliza sasa mbona Mungu yesu kafa na kufufuka siku ya 3 je huyo ni Mungu gani anaye kufa ? ...hapa kwa kutumia fafanuzi za yesu ni nani na ukienda msalabani tunamsikia Yesu akimwaidi yule mtu waliye sulibiwa naye kuwa 👉leo hii utakuwa pamoja nami pema peponi ...hapa waislamu watakuambia biblia inajichanganya 🤕 kwa sababu wakristo mmesema yesu alikufa msalabani na kufufuka siku ya 3 sasa hapa mbona inasema yesu alikuwa pema peponi siku ile ile...jibu kilicho kufa na kufufuka siku ya tatu ni MWILI WA YESU SIYO NAFSI YA YESU KWA SABABU NAFSI YA YESU NDIYO NAFSI YA MUNGU MWENYEZI...ndiyo maana msalabani anamwambia yule mtu leo utakuwa pamoja nami pema peponi ...hivyo Mungu akufa msalabani bali alitoka ndani ya mwili na kufanya mwili kuwa mfu kwa sababu mwili ulibaki bila ya nafsi ...huko ndiyo kufa kwa yesu....sasa utajua kuwa nikweli mungu hawezi kufa hata sekunde moja ...
Kisha siku ya tatu Nafsi ya mungu ikarejea ndani ya mwili wa Yesu kaburini na mwili ukafufuka.

Bwana Rabbon Bwana Utam FaizaFoxy adriz ...njoeni mjifunze injili ya kweli mumjue kwanini kristo anaitwa mfalme
Yani hakuna mtu aliyewahi kusikia concept ya utatu mpaka ukirsto ulivoenda Roma!
 
Mungu ni MMOJA NAFSI Moja.

Awapo KITI Cha enzi ni Mungu BABA.

Akija katika mwili wa mwanadamu kuokoa ni Mungu Mwana.

Aishipo ndani ya Mtu Ili kumsaidia kujitakasa aitwa Mungu Roho mtakatifu.

Na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.

Ubarikiwe 🙏
Nashusha injili ya kweli tofauti naya makanisani ndiyo maana wakina FaizaFoxy wamepoa baada ya kuwashushia nondo sahihi wanabaki kushangaa tu...mimi sikukubali mafundisho ya injili kuwa ni yakweli kwa kufuata mkumbo in short wazazi wangu walikuwa waislamu hivyo ninapo sema kuhusu dini siongei kishabiki ndiyo maana injili ninayo ijua mimi ni tofauti na injili ya makanisani iliyo potoshwa.
 
Nashusha injili ya kweli tofauti naya makanisani ndiyo maana wakina FaizaFoxy wamepoa baada ya kuwashushia nondo sahihi wanabaki kushangaa tu...mimi sikukubali mafundisho ya injili kuwa ni yakweli kwa kufuata mkumbo in short wazazi wangu walikuwa waislamu hivyo ninapo sema kuhusu dini siongei kishabiki ndiyo maana injili ninayo ijua mimi ni tofauti na injili ya makanisani iliyo potoshwa.
Sasa badili hiyo avatar ya zombie.

Umeijua Nuru, kuwa Nuru uangaze.
 
Nashusha injili ya kweli tofauti naya makanisani ndiyo maana wakina FaizaFoxy wamepoa baada ya kuwashushia nondo sahihi wanabaki kushangaa tu...mimi sikukubali mafundisho ya injili kuwa ni yakweli kwa kufuata mkumbo in short wazazi wangu walikuwa waislamu hivyo ninapo sema kuhusu dini siongei kishabiki ndiyo maana injili ninayo ijua mimi ni tofauti na injili ya makanisani iliyo potoshwa.
Ikikupendeza,

Uje utupe ushuhuda wa mapito Yako kiimani Hadi kuijua Kweli Toka huko kwenye dini Ile.
 
Yani hakuna mtu aliyewahi kusikia concept ya utatu mpaka ukirsto ulivoenda Roma!
Tapeli alipo kosa jibu la ukweli utumia uongo ...sasa siku jibu la ukweli likija yule tapeli ubaki anashangaa maana jibu huwa limenyoka kiasi awezi kulikanusha ndiyo hii habari ya nafsi tatu ....hapa wakristo wanaodai nafsi tatu na mitume yao feki kina mwamposa uwezi kuwaona wanakuja kutetea hoja zao mbele yangu... ninaijua injili yote ya kweli kwa asilimia 100 ni tofauti kabisa na hiyo ya makanisani kwenu
 
Back
Top Bottom