Yesu Kristo awaaibisha wanasayansi wakubwa!

Well done, Nita toa aya alafu wewe uta thibitisha hapa bila ya kona kona kutoka Ktk bibilia, upo tayari na mada

Je yesu ni MUNGU?, na yeye mwenyewe anasemaje kuhusu MUNGU?, note hili mkuu sitaki lawama
Ipo kichwani
 
Well done, Nita toa aya alafu wewe uta thibitisha hapa bila ya kona kona kutoka Ktk bibilia, upo tayari na mada

Je yesu ni MUNGU?, na yeye mwenyewe anasemaje kuhusu MUNGU?, note hili mkuu sitaki lawama
Ok
 
Anza kutoa huo ushahidi.
 
Je yesu ni MUNGU?
Yakobo 1:17 MUNGU habadiliki (andiko lina pinga utatu mtakatifu ku kitu hicho hakipo

Zaburi 121:1-4 MUNGU halali usingizi (swali je yesu alikua ana lala usingi?, kama jibu ndio basi huyo sio MUNGU

Yohana 5:37 sauti ya MUNGU haijasikika ( swali je ikiwa yesu ndio MUNGU kweli hivi sauti yake watu hawa jawahi kuisikia?


Timotheo 6:16 MUNGU haonekani wala hafi (swali je yesu hakufa?, na hakuonekana?

Niendelee?, narudia according to bibilia yesu si MUNGU,
 
Unatumia sayansi kueleza stori za kusadikika
Yeah, stori za kusadikika maana yake ni za kuaminika.
"Kusadikika" in English translates to "believable" or "credible".
Hahaa, pause for a moment before hitting "Post reply"!
 
Reactions: Cyb
Tomaso alimwambia Yesu, ‘Bwana wangu na Mungu wangu!’ (Yohana 20:28). Kama Yesu si Mungu, mbona hakumkemea Tomaso?
 
Mzee ukileta hizi hoja utajifunga mwenyewe
Tufanye Yesu sio Mungu ila ni mwanadamu kama unavyotaka
Je kuna binadamu anaweza funga siku 40 bila kula
Je kuna binadamu ameshawahi kutembea juu ya maji
Je kuna binadamu anaumba na kupulizia pumzi ya uhai
Je kuna binadamu anasamehe dhambi?
Je kuna binadamu ana anapaswa kutoa hukumu
Je kuna binadamu yoyote aliyekaribishwa kwa Mungu kama quran inavyosema
Je kuna binadamu ana heshima duniani mpaka Akhera kama quran onavyosema
Kaa ukumbuke kuwa Yesu hajaumbwa(Quran inathibitisha hili) imesema ni neno lililoshuka kutoka kwake na pia ni roho ya Mungu
Mnasema yesu ni mtume tu wala si chochote ,ila quran yenyewe inasema yesu alikuwa na wanafunzi 12 (Yaani wale mitume wake 12)..JE mtume ambaye ni binadamu anaweza kujifanyia mitume wake?
 
Tafadhali k290 kopi hayo maswali yako uyapesti kwenye huu uzi👇 utajibiwa!
Hapa tunamsifu Yesu kwa jinsi alivyowaaibisha wanasayansi waliojiona wanajua sana kumbe hawajui.
 
Ndege na wale mijusi wa amazon tunawaelezaje?
Basilisk lizards wanaitwa pia Jesus lizards kwa sababu wanaweza kutembea juu ya maji. Lakini utembeaji wao sio kama wa Yesu. Hao Basilisk sio mijusi wa kawaida. Mungu aliwaumba na kuwapa uwezo huo wa kutembea juu ya maji. Kwa sehemu wanafuata kanuni ya Archimedes. Mijusi hao wana miguu maalum yenye vidole virefu na vifundo vinavyowawezesha kutoa nguvu za kupunguza uzito wao kwenye maji.
 
1. Wakati Yesu anasulubiwa msalabani, je, alisulibiwa kama Mungu au alisulubiwa kama mwanadamu?
2. Naomba majina matatu ya Yesu kama yalivyoandikwa kwenye cheti chake cha kuzaliwa.
 
Hata Kuzaliwa kwake kumevunja Sheria za kisayansi,

Maana imeandikwa, Yusufu alikuwa baba mlezi tu wa Yesu,

Bikra alichukua mimba na kuzaa bila Yusufu kuhusika.

Mungu ni MMOJA, na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…