Yesu Kristo awaaibisha wanasayansi wakubwa!

Yesu Kristo awaaibisha wanasayansi wakubwa!

Upuuzi mtupu
Your remark, devoid of substantive analysis or logical exposition, contributes nothing to an intellectually rigorous discourse. If you possess a cogent argument or a well-reasoned critique, I invite you to elucidate it with precision. Otherwise, your comment remains a vacuous assertion, bereft of any meaningful engagement.
 
ajira mpya zimetoka huko ajiraportal, haya mchangamke sasa sio kupiga soga tu humu....
Uliwahi shuhudia tajiri aliyetokana na kuajiriwa akilipwa mshahara?

Jikite kwenye mada 🙏
 
Je yesu ni MUNGU?, na yeye mwenyewe anasemaje kuhusu MUNGU?,
 
wa taalam wa theology wana jua na kukubali yakwamba bibilia ina vitabu ambavyo haijulikani nani ka viandika
Issue sio nani kaviandika...
2 Timotheo 3:16-17 BHN
Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha ya adili...
 
We dada huwezi itetea bibilia kamwe, bibilia ni kitabu usicho kiweza, kitakuwacha dilemma,na huta kaa uka amini, mimi niki anza kutoa ushahidi from bibilia uta nikimbia hapa , wa taalam wa theology wana jua na kukubali yakwamba bibilia ina vitabu ambavyo haijulikani nani ka viandika na lengo lake ni nini,
Hapo tayari inakupasa ustukie mchezo MUNGU hawezi ruhusu hilo litokee, dada yangu huko siko,

Hivi yesu kweli ali jiita MUNGU?, au ni nyinyi ndio mnao muita MUNGU (kumpachika uungu)?,;

Yesu wa bibilia alisema mumuite MUNGU?, kama jibu lako ni ndio basi bibilia imejaa uongo na yesu hamkumuelewa,

Sasa ngoja nianze kuweka kambi hapa
"yesu ana semaje kuhusu MUNGU"
Yohana 10:30 (BHN)
"Mimi na Baba, tu mmoja.” (I and the Father are one)
 
We utakuwa umetoka kwenye mafundisho ya jioni ya Hawa madabii feki tu, wasio na anwani maalum.

Siku mwanao akiwa anafanya mtihini wa physics mwambie akikutana na maswali yanayo husu hizo kanuni ajibu kama ulivyotuekeza hapo juu, ndio tutaanini unachokiamini.
 
Yakobo 1:17 MUNGU habadiliki (andiko lina pinga utatu mtakatifu ku kitu hicho hakipo
Aliyekuambia Mungu anabadilika ni nani? Andiko hilo halipingi Utatu. Andiko linalothibitisha Utatu hili hapa:
Mathayo 28:19 SRUV
Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu
Zaburi 121:1-4 MUNGU halali usingizi (swali je yesu alikua ana lala usingi?, kama jibu ndio basi huyo sio MUNGU
Yesu alipokuja duniani alivaa mwili wa binadamu ndio sababu alilala usingizi
Yohana 1:14 SRUV
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake...
Yohana 5:37 sauti ya MUNGU haijasikika ( swali je ikiwa yesu ndio MUNGU kweli hivi sauti yake watu hawa jawahi kuisikia?
Yohana 5:37 inamzungumzia Mungu Baba, ambaye sauti yake haijasikiwa directly na wanadamu. Lakini Yesu, Mungu Mwana, alikuja kumfunua Mungu Baba (Yohana 1:18). Kwakuwa Yesu alikuwa amevaa mwili wa kibinadamu, waliosikia sauti yake walisikia sauti ya Mwana, sio ile ya Baba directly.
Timotheo 6:16 MUNGU haonekani wala hafi (swali je yesu hakufa?, na hakuonekana?
1 Timotheo 6:16 inamzungumzia Mungu katika asili yake ya Uungu, ambaye hawezi kufa wala kuonekana kikamilifu na wanadamu. Lakini Mungu Mwana(Yesu) alifanyika mwili (Yohana 1:14), ndio sababu alionekana na alikufa katika ubinadamu wake, lakini Uungu wake haukufa (Yohana 10:17-18)..
 
We utakuwa umetoka kwenye mafundisho ya jioni ya Hawa madabii feki tu, wasio na anwani maalum.
Ningekuwa nimetoka kwa manabii feki nisingepost uzi huu:
Siku mwanao akiwa anafanya mtihini wa physics mwambie akikutana na maswali yanayo husu hizo kanuni ajibu kama ulivyotuekeza hapo juu, ndio tutaanini unachokiamini.
Kukueleza kwamba Yesu alizivunja sheria na kanuni za fizikia sio kusema kwamba sheria hizo hazifanyi kazi, bali ni kuthibitisha kwamba Yesu ana mamlaka juu ya sheria zote za asili. Mwanangu akifanya mtihani atatumia formulas hizo hizo. Mada hii ni ya kuwajulisha watu kwamba Yesu alizifanya formulas hizo kuwa batili kwakuwa ni Mungu. Ndio sababu alitembea juu ya maji kinyume na sheria hizo. Lakini mwanadamu wa kawaida hawezi kutembea juu ya maji, sawasawa na kanuni ya Archimedes. Kumbuka Petro alijaribu kutembea juu ya maji akaanza kuzama:
Mathayo 14:28-31.
Hapo, Petro alipomuona Yesu anatembea juu ya maji na yeye alitamani afanye hivyo, akamwambia Yesu:
"Bwana, ikiwa ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji." Yesu akamwambia "Njoo!" Petro akaanza kutembea juu ya maji, lakini alipoona upepo akaogopa, akaanza kuzama na akamwomba Yesu amuokoe. Imani haitakiwi kuchanganywa na hofu. Petro angeweza kuivunja pia hiyo kanuni ya Archimedes lakini hofu ilimuharibia.

Sayansi inaeleza jinsi ulimwengu unavyofanya kazi; Mungu anaonyesha jinsi alivyo juu ya sheria na kanuni zote za kisayansi. Tuko pamoja?
 
Issue sio nani kaviandika...
2 Timotheo 3:16-17 BHN
Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha ya adili...
Cha kushangaza Allah anacopy maandiko hayo hayo ambayo haijulikani nani kayaandika,kama haitoshi Allah mwenyewe anaitambua Biblia ila nyie watu wa mbwinde mnajifanya hamuitambui.."Ukiwa na shaka juu ya tuliyokuteremshia, basi waulize wale wasomao kitabu kabla yako.
 
Screenshot_20250310-122138.png
 
Kama yesu ni MUNGU wakati yupo tumboni kwa mama yake 🤣🤣🤣 , je Dunia ilikua chini ya nani?
Hapo unajicheka mwenyewe kuonyesha Maandiko huyajui.
Mt 22:29 SUV
"...Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu"

Uwepo wa Yesu tumboni mwa Mariamu haukumaanisha kuwa ulimwengu haukuwa na anayeuangalia. Mungu sio kiumbe anayezuiliwa na eneo au mahali. Kumbuka nimeishakuambia, Mungu Mwana alifanyika mwili(alivaa mwili wa kibinadamu), lakini Uungu wake haukupunguzwa (Wakolosai 2:9). Wakati huo huo, Mungu Baba na Mungu Roho Mtakatifu waliendelea kutenda kazi (Waebrania 1:3). Hii ni siri kubwa ya Utatu Mtakatifu—Mungu mmoja katika nafsi tatu, asiyezuiliwa na mipaka ya kibinadamu.
 
Kina nani hao? Amewaaibishaje? Ntakueleza, ngoja kidogo niwasaidie wale waliokimbia masomo ya sayansi, hasa hasa Fizikia. Ulimwengu wa kisayansi umejengwa juu ya sheria na kanuni zinazoelezea mienendo ya vitu. Miongoni mwa sheria/kanuni hizo ni:
  1. The Law of Universal Gravitation: Hii sheria inaelezwa na mwanasayansi mahiri Isaac Newton. Kwa maneno rahisi, sheria hii inasema kwamba kila kitu chenye uzito huvutwa kuelekea kwenye kitu kingine kwa nguvu ya uvutano.

  2. Archimedes' Principle: Kanuni hii inaelezwa na mwanasayansi Archimedes. Hii inasema kwamba kitu kinachoelea majini hupata msukumo unaolingana na uzito wa maji yaliyoachwa (displaced water).
Yesu Kristo, ambaye ni Bwana wa vitu vyote, aliwaaibisha wanasayansi hao kwa kuzivunja sheria/kanuni hizo hadharani.

Yesu alitembea juu ya maji – na kuvunja kanuni ya kuelea (Buoyancy)
Kulingana na kanuni hiyo ya Archimedes, ili mtu aweze kuelea, lazima nguvu ya msukumo iwe kubwa au sawa na uzito wake. Sasa kwa kuwa uzito wa mwanadamu ni mkubwa kuliko msukumo wa maji, haiwezekani mtu akatembea juu ya maji bila kuzama. Lakini Biblia inasema:

"...Saa nne usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari." (Mathayo 14:25)

Kama tulivyoona, kisayansi mtu kutembea juu ya maji ni jambo lisilowezekana, lakini kwakuwa Yesu ni Mungu, hakuna linaloshindikana kwake.

Yesu alipaa mbinguni – na kuvunja Sheria ya Uvutano
Kulingana na Sheria ya Uvutano, Newton alieleza kwamba kitu chochote chenye uzito lazima kivutwe na mvuto wa dunia. Ndiyo maana mtu akiruka juu, lazima arudi chini.

Lakini Biblia inasema:
"Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni..." (Marko 16:19)

“Akiisha kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao wasimwone tena.”(Matendo 1:9)

Yesu alipaa mbinguni bila kuvutwa na gravitational force! Tukio hili linathibitisha tena kuwa Yesu ni Mungu na yuko juu ya laws of nature. Wanasayansi wa kisasa wanahitaji makombora yenye nguvu nyingi kufanikisha safari za kwenda katika anga za juu, lakini Yesu alipaa kwa uwezo wake mwenyewe bila msaada wa makombora!

Kwa kuvunja sheria/kanuni hizi za kisayansi, Yesu anaonyesha kuwa Yeye hakuwa mwanadamu wa kawaida bali ni Mungu mwenye nguvu(Isaya 9:6).

Tumsifu Yesu Kristo. Milele Amina! 🙏🔥
Free Mind.
 
Hilo somo la yesu kutembea juu ya maji lilifunzwa mafundisho yapi,

I tell my people, science will do the same, subject will create form and my people as usual will worship this form of body in flesh, kama wanachofanya Kwa yesu,
Dhambi ya sasa ni ujinga, debate ya uongo na ukweli ilishapita kando,

Msalimie yule mjinga mwenzako aliyedai mbele ya uma kuwa hana muda na mzungu anayemfananisha na nyani..
Mafundisho ya miaka 2000 nyuma inafika Africa after 1800 years ni lazima uone mtu anatembea juu ya maji au malaika mwenye mabawa akipaa... affected with form look for the subject to kill illusion
Ngozi nyeupe iliyoleta science ilijifunza wapiii? Ngozi nyeupee iliyoeneza dini haina formular ngumu, haihitaji saana elimu Ili kumjua Mungu muumba, kinachosisitizwa ni Imani tuu.
 
Kina nani hao? Amewaaibishaje? Ntakueleza, ngoja kidogo niwasaidie wale waliokimbia masomo ya sayansi, hasa hasa Fizikia. Ulimwengu wa kisayansi umejengwa juu ya sheria na kanuni zinazoelezea mienendo ya vitu. Miongoni mwa sheria/kanuni hizo ni:
  1. The Law of Universal Gravitation: Hii sheria inaelezwa na mwanasayansi mahiri Isaac Newton. Kwa maneno rahisi, sheria hii inasema kwamba kila kitu chenye uzito huvutwa kuelekea kwenye kitu kingine kwa nguvu ya uvutano.

  2. Archimedes' Principle: Kanuni hii inaelezwa na mwanasayansi Archimedes. Hii inasema kwamba kitu kinachoelea majini hupata msukumo unaolingana na uzito wa maji yaliyoachwa (displaced water).
Yesu Kristo, ambaye ni Bwana wa vitu vyote, aliwaaibisha wanasayansi hao kwa kuzivunja sheria/kanuni hizo hadharani.

Yesu alitembea juu ya maji – na kuvunja kanuni ya kuelea (Buoyancy)
Kulingana na kanuni hiyo ya Archimedes, ili mtu aweze kuelea, lazima nguvu ya msukumo iwe kubwa au sawa na uzito wake. Sasa kwa kuwa uzito wa mwanadamu ni mkubwa kuliko msukumo wa maji, haiwezekani mtu akatembea juu ya maji bila kuzama. Lakini Biblia inasema:

"...Saa nne usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari." (Mathayo 14:25)

Kama tulivyoona, kisayansi mtu kutembea juu ya maji ni jambo lisilowezekana, lakini kwakuwa Yesu ni Mungu, hakuna linaloshindikana kwake.

Yesu alipaa mbinguni – na kuvunja Sheria ya Uvutano
Kulingana na Sheria ya Uvutano, Newton alieleza kwamba kitu chochote chenye uzito lazima kivutwe na mvuto wa dunia. Ndiyo maana mtu akiruka juu, lazima arudi chini.

Lakini Biblia inasema:
"Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni..." (Marko 16:19)

“Akiisha kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao wasimwone tena.”(Matendo 1:9)

Yesu alipaa mbinguni bila kuvutwa na gravitational force! Tukio hili linathibitisha tena kuwa Yesu ni Mungu na yuko juu ya laws of nature. Wanasayansi wa kisasa wanahitaji makombora yenye nguvu nyingi kufanikisha safari za kwenda katika anga za juu, lakini Yesu alipaa kwa uwezo wake mwenyewe bila msaada wa makombora!

Kwa kuvunja sheria/kanuni hizi za kisayansi, Yesu anaonyesha kuwa Yeye hakuwa mwanadamu wa kawaida bali ni Mungu mwenye nguvu(Isaya 9:6).

Tumsifu Yesu Kristo. Milele Amina! 🙏🔥
Pascal Mayalla
 
Hapo unajicheka mwenyewe kuonyesha Maandiko huyajui.
Mt 22:29 SUV
"...Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu"

Uwepo wa Yesu tumboni mwa Mariamu haukumaanisha kuwa ulimwengu haukuwa na anayeuangalia. Mungu sio kiumbe anayezuiliwa na eneo au mahali. Kumbuka nimeishakuambia, Mungu Mwana alifanyika mwili(alivaa mwili wa kibinadamu), lakini Uungu wake haukupunguzwa (Wakolosai 2:9). Wakati huo huo, Mungu Baba na Mungu Roho Mtakatifu waliendelea kutenda kazi (Waebrania 1:3). Hii ni siri kubwa ya Utatu Mtakatifu—Mungu mmoja katika nafsi tatu, asiyezuiliwa na mipaka ya kibinadamu.
Niki kuita chizi uta kataa?, au nikisema wewe ni mpumbavu tena wa mwisho uta kataa?, wewe ni chizi+mpumbavu+mwehu una hisi nakutukana?, lah hiyo ni sifa yako iliyo wazi, ndio maana nikasema huwezi itetea bibilia kamwe



Kama wewe kweli una akili timamu andiko hili hapa chini lipo au halipo na kasema nani haya maneno

Yakobo 1:17 .... Mungu habadiliki


Anayesema MUNGU habadiliki ni nani?, ikiwa wewe unaijua bibilia


Na si hilo litokee tu, maandiko yanayo mpwekesha MUNGU (MUNGU mmoja) Ktk bibilia ni mengi huwezi kuficha

HOJA ZINAZO KATAA UUNGU WA YESU

1) MUNGU haonekani wala hafi
2) MUNGU halali
3) sauti ya MUNGU haijasikika

Sasa we bint hivi unahisi wewe na hiyo bibilia yako na zaidi?, ni wewe mkubwa au bibilia ni kubwa kukuzidi wewe?, nipe jibu hapo usifikiri eti maandiko yanayo mkataa yesu kama MUNGU yameisha lah utaomba po, na huta kaa uka amini

Note dada njoo ktk dini ya kweli tena ni buree, njoo Ktk uislamu inshallah, hizo akili zako lau ungelikua una pambania ukweli basi ungekua mbali sana na ungekua unashinda asubuhu tu ila kwa huko, never
 
Back
Top Bottom