Yesu Kristo awaaibisha wanasayansi wakubwa!

Yesu Kristo awaaibisha wanasayansi wakubwa!

Nilikuambia wewe ni chizi pro,

ngoja great thinker waseme nini maana ya mabadiliko?

In short kutoka hali fulani (hali moja) kwenda hali nyingine, hii ndio maana yake

Eti YESU sijui alikua neno, naye neno alikua kwa bwana huko mbingu akaona aje Duniani kupitia mimba, tena avae nyama (mwili wa mwanadamu) eti ndio awaokoe watu,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Sasa hapo mabadiliko yametokea au hayakutokea??,

Huna hoja wewe, kwanza bibilia yenyewe unaipinga wazi wazi,


Eti YESU ni mwana wa MUNGU, haya huyo MUNGU alioa lini?, haya kwa hiyo huyo MUNGU alimuibia mchumba Yosef siyo?



Unajitia aibu bure,
Njoo ktk dini ya kweli uislamu
 
Kwa macho ya nyama ulionekana mwili aliouvaa.

Katika Roho hakuonekana, ndio maana walitaka kumwua alipowaambia I AND THE FATHER ARE ONE.

Na Mungu habadiliki Kweli, Mungu ni yule yule, ahadi zake ,kauli zake hazibadiliki.

Na kuchukua form mbalimbali na Majina mbalimbali kana Yahweh, Jehovah, NIKO AMBAYE NIKO ,Emmanuel, Melkizedeki, huko Si kubadilika, ni utendaji.

Upate uelewa uwe huru.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Huo ni utashi wako na si maneno ya mungu wala bibilia
 
Yohana 10:30 (BHN)
"Mimi na Baba, tu mmoja.” (I and the Father are one)
Kwani si tunavo muita Nyerere baba ni baba yetu?, au raisi akiwa wa kiume ktk mikutano akiongea tuna dakia "sema baba" ni baba yetu?, hebu stop hapa kwanza



MTume Muhammad maneno yake hayapingwi (wahyi) na lazima yafatwe, au tunaambiwa tuki mfuata mtume basi ndio tume mufuata MUNGU, je ndio tumuite MUNGU?

Hapana hapana hapana

Ili umjue MUNGU lazima umfuate mtume, MUSSA, ISSA, Yusuf, Muhammad etc kwa sababu ndani ya vifua vyao yapo maneno, amri nk za MUNGU

Note, wana damu wote baba yetu ni MUNGU why?, yeye ndie muangalizi,mlezi, mgawa riziki nk
 
Wewe ndio huna HOJA,

Ikiwa mchawi anaweza kwenda kuroga Dar na wakati huo huo nyumbani wanamwona yupo Shinyanga,

Iweje Mungu ashindwe kuwa ndani ya tumbo la Mary na Mbinguni akawapo KITI Cha Enzi.

Ikiwa unaamini uwepo wa Mungu, na unamuwekea mipaka juu ya uwezo wake, basi hujamjua Mungu.

Akili Yako ifunguliwe upate ufahamu.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Kama ni kukubali basi tukubaliane sote,

Kwanza mimi nakubali hoja yako na mfano wako kuwa mungu ana badilika na hashindwi

sasa na wewe nataka ukataae na useme haya

Yakobo 1:17 ........... MUNGU habadiliki
Ni maneno ya uongo yaliyo ktk bibilia na umkatae aliye andika hayo maneno, na ikiwa huyu muandishi wa "yakobo" ametia maneno ya uongo na wewe uka yagundua basi kitabu kizima ni cha uongo.

Uki kubali haya basi nami hoja yako naikubali 100%,

Note Kama unakataa hoja yangu basi unakataa" yakobo 1:17 "
 
Kama ni kukubali basi tukubaliane sote,

Kwanza mimi nakubali hoja yako na mfano wako kuwa mungu ana badilika na hashindwi

sasa na wewe nataka ukataae na useme haya

Yakobo 1:17 ........... MUNGU habadiliki
Ni maneno ya uongo yaliyo ktk bibilia na umkatae aliye andika hayo maneno, na ikiwa huyu muandishi wa "yakobo" ametia maneno ya uongo na wewe uka yagundua basi kitabu kizima ni cha uongo.

Uki kubali haya basi nami hoja yako naikubali 100%,

Note Kama unakataa hoja yangu basi unakataa" yakobo 1:17 "
WEWE ACHA POROJO, KWANZA TUAMBIE WALE WALIOMPA UTUME MUHAMMAD HALAFU ALLAH AKAWA SHAHIDI NI WAKINA NANI?
 
Ila walokole mnapendaga shari jamani! Sasa kawaabisha au kawaonesha kuwa yeye ni Mungu? Kama ni kuwaaibisha ina maana hizi kanuni ni za uongo!

Wewe ungesema tu Yesu ali prove kuwa yeye ni zaidi ya binadamu kisha ukaishia hapo
 
Ila walokole mnapendaga shari jamani! Sasa kawaabisha au kawaonesha kuwa yeye ni Mungu? Kama ni kuwaaibisha ina maana hizi kanuni ni za uongo!

Wewe ungesema tu Yesu ali prove kuwa yeye ni zaidi ya binadamu kisha ukaishia hapo
ANGALIA HIYO VIDEO YA JUU UTAJIFUNZA KITU
 
Kina nani hao? Amewaaibishaje? Ntakueleza, ngoja kidogo niwasaidie wale waliokimbia masomo ya sayansi, hasa hasa Fizikia. Ulimwengu wa kisayansi umejengwa juu ya sheria na kanuni zinazoelezea mienendo ya vitu. Miongoni mwa sheria/kanuni hizo ni:
  1. The Law of Universal Gravitation: Hii sheria inaelezwa na mwanasayansi mahiri Isaac Newton. Kwa maneno rahisi, sheria hii inasema kwamba kila kitu chenye uzito huvutwa kuelekea kwenye kitu kingine kwa nguvu ya uvutano.

  2. Archimedes' Principle: Kanuni hii inaelezwa na mwanasayansi Archimedes. Hii inasema kwamba kitu kinachoelea majini hupata msukumo unaolingana na uzito wa maji yaliyoachwa (displaced water).
Yesu Kristo, ambaye ni Bwana wa vitu vyote, aliwaaibisha wanasayansi hao kwa kuzivunja sheria/kanuni hizo hadharani.

Yesu alitembea juu ya maji – na kuvunja kanuni ya kuelea (Buoyancy)
Kulingana na kanuni hiyo ya Archimedes, ili mtu aweze kuelea, lazima nguvu ya msukumo iwe kubwa au sawa na uzito wake. Sasa kwa kuwa uzito wa mwanadamu ni mkubwa kuliko msukumo wa maji, haiwezekani mtu akatembea juu ya maji bila kuzama. Lakini Biblia inasema:

"...Saa nne usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari." (Mathayo 14:25)

Kama tulivyoona, kisayansi mtu kutembea juu ya maji ni jambo lisilowezekana, lakini kwakuwa Yesu ni Mungu, hakuna linaloshindikana kwake.

Yesu alipaa mbinguni – na kuvunja Sheria ya Uvutano
Kulingana na Sheria ya Uvutano, Newton alieleza kwamba kitu chochote chenye uzito lazima kivutwe na mvuto wa dunia. Ndiyo maana mtu akiruka juu, lazima arudi chini.

Lakini Biblia inasema:
"Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni..." (Marko 16:19)

“Akiisha kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao wasimwone tena.”(Matendo 1:9)

Yesu alipaa mbinguni bila kuvutwa na gravitational force! Tukio hili linathibitisha tena kuwa Yesu ni Mungu na yuko juu ya laws of nature. Wanasayansi wa kisasa wanahitaji makombora yenye nguvu nyingi kufanikisha safari za kwenda katika anga za juu, lakini Yesu alipaa kwa uwezo wake mwenyewe bila msaada wa makombora!

Kwa kuvunja sheria/kanuni hizi za kisayansi, Yesu anaonyesha kuwa Yeye hakuwa mwanadamu wa kawaida bali ni Mungu mwenye nguvu(Isaya 9:6).

Tumsifu Yesu Kristo. Milele Amina! 🙏🔥
Bado unaamini ngano?
 
Screenshot_20250315-125607_Chrome.jpg

Anakubashiria mwana kwa neno "LITOKALO KWAKE" ..zingatia neno litokalo kwake..kwa nini hakusema kwa neno lake?.Halafu akaendelea huyo mwana ambaye ni neno litokalo kwake jina lake ni Masihi Isa.Akaenda mbali zaidi kwa kusema ana heshima katika dunia na Akhera na amekaribishwa kwake..Unaweza kujiuliza inakuwaje amekaribishwa kwa Mungu na wakati hata kuzaliwa bado hajazaliwa?? mna la kujifunza hapa. (Think)
 
View attachment 3271177
Anakubashiria mwana kwa neno "LITOKALO KWAKE" ..zingatia neno litokalo kwake..kwa nini hakusema kwa neno lake?.Halafu akaendelea huyo mwana ambaye ni neno litokalo kwake jina lake ni Masihi Isa.Akaenda mbali zaidi kwa kusema ana heshima katika dunia na Akhera na amekaribishwa kwake..Unaweza kujiuliza inakuwaje amekaribishwa kwa Mungu na wakati hata kuzaliwa bado hajazaliwa?? mna la kujifunza hapa. (Think)
Nilikuonya mkuu, wewe ni mtoto mdogo tu, likikwambia niitie mwalimu wako wa Imani, yaani wewe hujui lolote,

Yaani Quran kariim unahisi inaweza kukutetea wewe Kaffir?, NO
Quran kariim inawatetea wa umini na waislamu tu

Hapa haja punje tu ya tafsiri hauijui

KAZI yako ni kukaza fuvu, sasa ikiwa bibilia yako hauijui je utaijua Quran kariim kitabu kisichokua na shaka
 
View attachment 3271177
Anakubashiria mwana kwa neno "LITOKALO KWAKE" ..zingatia neno litokalo kwake..kwa nini hakusema kwa neno lake?.Halafu akaendelea huyo mwana ambaye ni neno litokalo kwake jina lake ni Masihi Isa.Akaenda mbali zaidi kwa kusema ana heshima katika dunia na Akhera na amekaribishwa kwake..Unaweza kujiuliza inakuwaje amekaribishwa kwa Mungu na wakati hata kuzaliwa bado hajazaliwa?? mna la kujifunza hapa. (Think)
Duh! kama huu ndio ushahidi umefeli pabaya ..

Kuna Aya katika Qu'ran inayomzungumzia Nabii Adam (Peace be upon him) inasema Allaah alimpulizia roho kutoka kwake , hapo je , vipi ?
 
View attachment 3271177
Anakubashiria mwana kwa neno "LITOKALO KWAKE" ..zingatia neno litokalo kwake..kwa nini hakusema kwa neno lake?.Halafu akaendelea huyo mwana ambaye ni neno litokalo kwake jina lake ni Masihi Isa.Akaenda mbali zaidi kwa kusema ana heshima katika dunia na Akhera na amekaribishwa kwake..Unaweza kujiuliza inakuwaje amekaribishwa kwa Mungu na wakati hata kuzaliwa bado hajazaliwa?? mna la kujifunza hapa. (Think)
Kama una taka jibu moja tu basi kaombe tafsiri ya
surat "ikhilas"

Kama unataka maelezo Ktk Quran kariim basi si ISSA tu, Allah amewapa heshima na hadhi ya juu mitume wake wote, kiasi cha kuwaweka Ktk kumbukumbu za vitabu vitakatifu, mfano, Ibrahim,MUSSA,ISSA, Yusuf, Muhammad
Na wote walipokea amri na maagizo kutoka kwa Allah


Wewe una mng'ang'ania ISSA ISSA
Saaa tafuta aya (surat)

ndani ya Quran kariim inayo onesha alivyo zaliwa ADAM (a.s)

Wewe ni underdog tu Ktk bibilia yako na ukristo wako, huna na hautokua na hoja
 
Duh! kama huu ndio ushahidi umefeli pabaya ..

Kuna Aya katika Qu'ran inayomzungumzia Nabii Adam (Peace be upon him) inasema Allaah alimpulizia roho kutoka kwake , hapo je , vipi ?
Na ndio nilicho mwambia, atafute aya inayo onesha kuzaliwa (kuumbwa) Kwa ADAM
Maana ameleta ya kuzaliwa Kwa ISSA kutoka ktk Quran kariim
Na nikamwambia Quran kariim haiwezi ku mtetea kafir
 
Back
Top Bottom