Yesu ni Mungu. Kwanini alijalibiwa na kiumbe alichokiumba (shetani) Huoni kama alionyesha udhaifu wake?

Yesu ni Mungu. Kwanini alijalibiwa na kiumbe alichokiumba (shetani) Huoni kama alionyesha udhaifu wake?

Kwahyo baba yake, Mungu baba alikua hamuamini mwanae Yesu
Hata shetani alikuwa haaminiki pia, ndo maana aliasi

Kwani wewe unawaamini wanao wote kwamba ni wema???
Vipi ikitokea mwanao unayemuamini akiiba pesa kwa jirani utaamini???
Njia nzurii ya kumpima mwanao kama sio mwizi ni kuacha Hela peupe usipoikuta na hakuna anachosema labda kanitumia jua huyo ni mwiziiiiiiiiii

Afu kumbuka kwamba mungu hakumjaribu bali alimruhusu shetani akamjaribu YESU kumbuka mungu hamjaribu yeyote yule

Kuna baadhi ya vitu uaminifu hukosekana kabisaaa
 
Mtoa mada kauliza ikiwa "YESU ni MUNGU kwa nini ajaribiwe na shetani?


Sasa nika sema YESU sio mungu maana hana sifa za UUNGU

Note hayo si maneno yangu hayo ni maneno ya bibilia
Yesu sio MUNGU ndiyoo

Soma kupitia hii
Mathayo 26:39 – Yesu akizungumza na Baba yake wakati wa mateso yake katika bustani ya Gethsemane:
"Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwa inawezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe."
 
Yesu sio MUNGU ndiyoo

Soma kupitia hii
Mathayo 26:39 – Yesu akizungumza na Baba yake wakati wa mateso yake katika bustani ya Gethsemane:
"Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwa inawezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe."
Vizuri mkuu pia YESU si mwana wa MUNGU, bibilia yako ina kataa kata kata, tena MUNGU ktk bibilia yako ana ongea kwa hasira,jazba, kalipio na msisitizo juu ya kumkana YESU kama mwanawe


Mkuu kama unataka andiko hilo nitakupa kutoka Ktk bibilia yako, nakuhusia njoo ktk dini ya kweli uislamu inshallah, huja chelewa
 
Dini ni utapeli tu, ni kama hadithi za sungura. Mf. Adam na Eva walikuwa wazungu, Waafrika wametoka wapi? Au ni jamii ya nyani? Ndizo hadithi za Biblia.
 
Sipendi kushindana na mjinga, Mungu si wa kumuoneshea arrogance bwanamdogo. Upumbavu wa Mungu uko juu sana kuliko akili na ufahamu wako. Acha kujifanya mjuaji fanya mambo yaliyo ndani ya uwezo wako. Marekani na maendeleo yao yote ya sayansi na teknolojia wanamwamini Mungu sasa nyani km ww kwanini usitulie. Au mwenzetu mchawi?
Mungu wako anaruhisu matusi? Dini gani ya ajabu hivyo, mtu unamwita nyani? Na bado mnataka watu waamini mungu wako huyo anaruhusu lugha mbovu
 
Back
Top Bottom