Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Kweli wewe una akili mnatoIlikuwa sauti ya Yesu menyewe mbinguni.unashangaa????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wewe una akili mnatoIlikuwa sauti ya Yesu menyewe mbinguni.unashangaa????
yesu si alikuwa pale mtoni anabatizwa?,ile sauti ilitoka kwa yesu yupi tena?Ilikuwa sauti ya Yesu menyewe mbinguni.unashangaa????
Je hapa alimuomba nani amnusuru na mauti kama yeye ndiye mwenye uwezo?
Mathayo 26:38-39
Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.
39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
yesu si alikuwa pale mtoni anabatizwa?,ile sauti ilitoka kwa yesu yupi tena?
Na kama kuna Mwingine alikuwa anamuomba kwanini hakumpa hitaji la moyo wake????.
Kwani lowasa akiandamana wakati imepigwa marufuku,akija kukamatwa akaomba kikombe kimuepuka unadhani ndo hatakamatwa?,sheria huwa ni msumeno mkuu
Je si ni kwamba kila kitu kilikuwa mikononi mwake, mbona alikataza vita na askari waliokuja kumkamata na muujiza wa uponyaji akafanya??? halafu mbele anaomba kwa nani Mungu muujiza gani tena.
Una uhakika kuwa hakukuwa na mwingine aliyekuwa ana muomba?Na kama kuna Mwingine alikuwa anamuomba kwanini hakumpa hitaji la moyo wake????.
Je si ni kwamba kila kitu kilikuwa mikononi mwake, mbona alikataza vita na askari waliokuja kumkamata na muujiza wa uponyaji akafanya??? halafu mbele anaomba kwa nani Mungu muujiza gani tena.
basi itakuwa yesu alikuwa unhinged,kwani huwezi ukawa unajiita wewe mwenyewe mtoto wangu wakati ni wewe mwenyewe,kuna kitu hakiko sawa ama labda alikuwa anatumia mvinyo kupita kiasi.Kwani wewe unamzungumzia yupi, huyu huyu aliyekuwa anabatizwa.
Je wewe msaada wa roho mtakatifu unao ili unisaidie kunielewesha?Unautafakari uwezo na ukuu wa Mungu Kwa akili na uwezo wa kibinadamu. Yesu alipopaa mbinguni aliwaambia wanafunzi wake atawapelekea msaidizi ambae angewafunulia yote aliyowafundisha ina maana ukitaka kujua mafundisho ya Kristo Yesu nilazima huyo msaidizi ametumwa kwako la sivyo utaishia kuandika ujinga Kama huu ulioandika.MSAIDIZI ALIYEMSEMA YESU NI ROHO MTAKATIFU
Una uhakika alichoomba hapo alitendewa? Embu endelea 8.Una uhakika?
Waebrania 5:7
Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;
Si Kama nitakavyo Mimi Bali Kama utakavyo wewe kikombe ichi kiniepuke.mwelewe YESU katika ombi lake aliomba nn.Na kama kuna Mwingine alikuwa anamuomba kwanini hakumpa hitaji la moyo wake????.
Je si ni kwamba kila kitu kilikuwa mikononi mwake, mbona alikataza vita na askari waliokuja kumkamata na muujiza wa uponyaji akafanya??? halafu mbele anaomba kwa nani Mungu muujiza gani tena.
Wewe acha kupotosha Quran haiongelei kabisa habari ama historia Quaran ni Muongozo wenye kutoa namna ya kuishi na kuenenda na imani ya kiislamuYesu Kristo anajulikana katika Quran kama Neno la Mungu.roho ya Mungu kuna maana gani hapo.Mungu aliumba kila kitu kutumia neno.je neno ni nani
sawa mkuu,kumbe kabla ya yesu kuondoka huyo roho mtakatifu hakupata kukanyaga duniani,kuna roha mtakatifu version one na version two?Unautafakari uwezo na ukuu wa Mungu Kwa akili na uwezo wa kibinadamu. Yesu alipopaa mbinguni aliwaambia wanafunzi wake atawapelekea msaidizi ambae angewafunulia yote aliyowafundisha ina maana ukitaka kujua mafundisho ya Kristo Yesu nilazima huyo msaidizi ametumwa kwako la sivyo utaishia kuandika ujinga Kama huu ulioandika.MSAIDIZI ALIYEMSEMA YESU NI ROHO MTAKATIFU
Kwani andiko waebrania 5:7 limesemaje? Alisikilizwa au hakusikilizwa? au limeongopa?Una uhakika alichoomba hapo alitendewa???? Embu endelea 8.
Alisikilizwa, ila hakupewa alichoomba.no 8 imemalizia.Kwani andiko waebrania 5:7 limesemaje? Alisikilizwa au hakusikilizwa? au limeongopa?
Unajua mkuu Biblia na maneno aliyoyasema Yesu ukienda kichwa kichwa utachanganyikiwa sana kwani kulisoma neno tu haitoshi inapaswa uchanganyanye na imani ndani yake na Mungu akujaalie jicho la kiroho kuyatam bua maandiko maana jinsi unavyojaribu kuyapangua maandiko kwa lugha ya kisheria utakwama na mwisho hatakuwa na mshindi bali wote mtaishia kuchanganyikiwa na Neno la Mungu litabaki kuwa imara na la kuaminiwa.Wewe rudi kwanza ukajifunze maneno ya yesu. Yani yesu na huyo baba wawe sawa?
Yohana 14:28
Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.
Kwani andiko linasema alisikilizwa kitu gani? Na pia linasema kwanini alisikilizwa?Alisikilizwa, ila hakupewa alichoomba.no 8 imemalizia.
Ni wamoja mkuu. Hili ni fumbo la imani ndugu yangu na walio na imani ndio walifumbualo. Huwezi kutoka kwenye viloba na uasherati ukalifumbua.ha ha ha,mkuu umeanza kutumia hoja ya nguvu,je unakubali kuwa hawa ni wawili na si mmoja?