Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Malizia jibu lako nikueleweMwenye mamlaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia jibu lako nikueleweMwenye mamlaka.
Mbona limeisha!!!! Wapi hujaelewa????Malizia jibu lako nikuelewe
Kama ulikuwa hufahamu, basi kuanzia Leo ndio ujue kuwa "Yeye Yesu ndiye ufufuo na uzima, huwezi kwenda kwa Mungu Baba bila kupitia kwa Yesu"HAYA NDO MANENO AMBAYO HATA KWENYE KANGA YAPO
Umesema kuwa yesu alikuwa ana mcha Mungu, baba wa mbinguni. Nimekuuliza kati ya huyo baba na yesu nani mkuu. Toa jibuMbona limeisha!!!! Wapi hujaelewa????
Aliyekwambia shetani amejiumba ni nani wewe? shetani ni kiumbe cha Mungu je si mwana wa Mungu? Au unajiandikia tu wewe?Kwamjibu wa bible jehova pia ni mwana wa mungu,hapo ndo uone hawa waandishi walikuwa wanajiandikia tu,
shetani pia ni mwana wa mungu,ukisoma ayub kama sikosei katika kusanyiko la wana wa mungu shetani nae alikuwepo,mungu akamwuliza unatokea wapi bana?",
shetan akamjibu natoka matembezi huko duniani.
Mungu akamwuliza unamuonaje mtumishi wangu ayub?
Shetani akamjibu,"pale hamna kitu,vipi tumtest imani yake.......
Nikakujibu mkuu kuliko ni mwenye mamlaka, hujaelewa wapi?Umesema kuwa yesu alikuwa ana mcha Mungu, baba wa mbinguni. Nimekuuliza kati ya huyo baba na yesu nani mkuu. Toa jibu
Shetani aliitwa mwana Mungu ila sio Mungu. Alkadharika hata yesu aliitwa mwana wa mungu naye sio Mungu.Aliyekwambia shetani amejiumba ni nani wewe??????shetani ni kiumbe cha Mungu je si mwana wa Mungu??? Au unajiandikia tu wewe?????
Hakuna mkuu wote ni wakuu jombaaaUmesema kuwa yesu alikuwa ana mcha Mungu, baba wa mbinguni. Nimekuuliza kati ya huyo baba na yesu nani mkuu. Toa jibu
Hivi ni ambavyo wewe unafikiri.Shetani aliitwa mwana Mungu ila sio Mungu. Alkadharika hata yesu aliitwa mwana wa mungu naye sio Mungu.
Jibu swali kama nilivyokuuliza usianze kona kona. Naona unaanza kupinda pinda. Haya twende unavyotaka wewe; kati ya yesu na huyo baba nani mwenye mamlaka?Nikakujibu mkuu kuliko ni mwenye mamlaka.hujaelewa wapi???
Basi wewe unayesema yesu ni mungu umelaanika.Hivi ni ambavyo wewe unafikiri.
Ila Yesu ni Mungu.
Kuhusu shetani mueleweshe huyo sheikh mwenzio naona haelewi hata anaandika nini.
Wewe rudi kwanza ukajifunze maneno ya yesu. Yani yesu na huyo baba wawe sawa?Hakuna mkuu wote ni wakuu jombaaa
Mwenye mamlaka ni Mungu.Jibu swali kama nilivyokuuliza usianze kona kona. Naona unaanza kupinda pinda. Haya twende unavyotaka wewe; kati ya yesu na huyo baba nani mwenye mamlaka?
Sasa kama baba ambaye ndio Mungu ana mamlaka kuliko yesu kwanini ulisema yesu alijibadilisha na kutoka kwenye Mungu na kuwa binadamu ilihali bado alipokuwa duniani alikuwa tegemezi? Tumiaga na akili kufikiria. Sawa?Mwenye mamlaka ni Mungu.
Basi wewe unayesema yesu ni mungu umelaanika.
Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Yeremia 17:5
Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana
Aliyekwambia shetani amejiumba ni nani wewe??????shetani ni kiumbe cha Mungu je si mwana wa Mungu??? Au unajiandikia tu wewe?????
Mimi kama sikuelewa kuhusu Mungu wake yesu ndio Mungu wetu sote basi wewe nieleweshe. Haya sema kuhusu yohana 20:17Nakubali kulaanika, kwa kauli yangu.
Unajaribu kueleza kile ambacho hujaelewa au unataka watu wafuate usichokielewa????
Ulitaka Yesu atumie kauli gani hapo wakati wa kuwaaga????