Kuna tofauti kubwa sana huyu aliyetajwa na Allah kuwa masih hakupigwa mijeredi na watu (hakusulubiwa)Mungu alikuwa akimpenda na kumpa heshima yake ya unabii. Lakini huyu aliyelaaniwa ni yesu huyo aliyepigwa mijeredi na watu mpaka akalia na kuomba msaada kwa Mungu kuwa kamuacha. Allah hana Masih aliyetundikwa msalabani.Anaechekesha zaidi ni allah na muham mad waliosema masihi ana sifa duniani mpaka ahera...unatumia kiungo gani ktk kutafakari??? komwe?! Hivi mlaaniwa anaweza kuwa na sifa duniani na ahera? laanatulahi...
Simioni Mkirene ndiye aliyesulubiwa.Kuna tofauti kubwa sana huyu aliyetajwa na Allah kuwa masih hakupigwa mijeredi na watu (hakusulubiwa)Mungu alikuwa akimpenda na kumpa heshima yake ya unabii. Lakini huyu aliyelaaniwa ni yesu huyo aliyepigwa mijeredi na watu mpaka akalia na kuomba msaada kwa Mungu kuwa kamuacha. Allah hana Masih aliyetundikwa msalabani.
Kama una andiko kuwa Muhammad ni njia kweli na uzima,nitamfuata kama hakuna utahangaika na roho yako.Anayeapa na aliyelaanika ni yupi aliyebora? Ibilis alilaaniwa na Mungu na Yesu pia kalaaniwa (kafanywa kuwa laana)ibilis=yesu
Kumbukumbu 21:22-23
Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
23 mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi wako.
Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
Wagalatia3:16Hakuna mashaka juu ya ukuu wa wa siri ya dini yetu. (Mungu) Ali one kana katika umbo la binadamu alithibitishwa na roho kuwa ni maadili, akaonekana na malaika. Alihubiliwa kati ya mataifa.....Anayeapa na aliyelaanika ni yupi aliyebora? Ibilis alilaaniwa na Mungu na Yesu pia kalaaniwa (kafanywa kuwa laana)ibilis=yesu
Kumbukumbu 21:22-23
Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;
23 mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi wako.
Wagalatia 3:13
Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
Wewe sio lazima umfuate Muhammad, watu wenye akili ndio wenye kumfuata. Waulize wanajimu (astronauts) wamejuaje kama Palestina (middle east) ni sehemu Ya kutokea dunianiKama una andiko kuwa Muhammad ni njia kweli na uzima,nitamfuata kama hakuna utahangaika na roho yako.
Soma hiyo Wagalatia3 :16.Unetegwa mtego ukaingia kichwakichwa. Ndo uelewe kwamba Quran haijawahi kumkashifu Yesu hata aya moja. Huyo mkuu hapo juu ame quote Biblia.....ndiyo inayosema kifo cha kutungikwa mtini ni laana!!!! Sasa nashangaa unatumia Quran kuonesha kuwa Yesu hakulaaniwa!!!!! Unachekesha sana aisee. Badala ya kulaumu biblia kwanini imemlaani Yesu badala yake unahangaika na Allah na Muhammad!!! Duuuuu pole.......
Wagalatia imo kwenye Quran?Soma hiyo Wagalatia3 :16.
Tunamwabudu Mungu ambaye ni roho hivyo Tunamwabudu ktk roho hakuna anayeabudu sanamu, kumbe ninyi mwaiabudu ardhi?Siwashangai mnaabudu sanamu pia biblia inasema amelaaniwa anae sulubiwa msalabani kwani hamna akili eti mnamsubiri atarudi mnachekesha sana
Umetokea WAP na wew wenzio walishaukimbia huu Uzi ngoj nile sahan moja na wewe KAFIRI usiyemwamini BWANA YESU!!.Sio dunia nzima wanaoelekea kaskazini, China wanaoelekea mashariki, ulaya wanaoelekea kusini, kama huujui uislamu usi uzungumze utakuja kujutia
Kama hujui hilo achana na Yesu Kristu, zungimzia ISA aliyezaliwa chini ya shina la mtende.Wagalatia imo kwenye Quran?
Tatizo ninini kwenye haya mafundisho.......?BORA HUYU KULIKO NINYI,MNA MAFUNDISHO YA **AJABU**/IMANI AMBAYO MNAYAFICHA KUPITIA LUGHA YA *KIARABU** YAAN HATA WATOTO WANAOSOMA**MADRASA**WANGEKUWA WANASOMESHWA *QURAN*KWA LUGHA ZAO ASINGEKUWEM HATA MMOJ,MFANO,View attachment 407536View attachment 407538View attachment 407539View attachment 407540View attachment 407541View attachment 407542View attachment 407543View attachment 407544View attachment 407545View attachment 407546
Tatizo sio kama simuamin, nyinyi mmempa sifa Ya Mungu, then biblia ni maneno machache tu ndo Ya mungu, yaliobakia yamefanyiwa editing na watu, kwa sababu vitabu vilivyounda biblia ni vingi hadi nashangaaUmetokea WAP na wew wenzio walishaukimbia huu Uzi ngoj nile sahan moja na wewe KAFIRI usiyemwamini BWANA YESU!!.
Nipe hata mstari mmoja uliofanyiwa editing!!..Tatizo sio kama simuamin, nyinyi mmempa sifa Ya Mungu, then biblia ni maneno machache tu ndo Ya mungu, yaliobakia yamefanyiwa editing na watu, kwa sababu vitabu vilivyounda biblia ni vingi hadi nashangaa
Wagalatia3 :16 Hakuna mashaka juu ya ukuu wa siri ya dini yetu. Alionekana katika umbo la binadamu alithibitishwa na roho kuwa ni mwadilifu akaonekana na malaika. Alihubiliwa kati ya mataifa aliaminiwa ulimwengu akachukuliwa juu katika utukufu.Wagalatia imo kwenye Quran?
Hayo maneno anasema nani? Na ni nani aliona akichukuliwa katika utukufu? Huyo roho aliyemthibitisha ameumbwa na nani....je ameumbwa na huyohuyo Yesu ambaye ndiye Mungu au? Kwa hiyo Mungu anathibitishwa na kiumbe alichokiumba?Wagalatia3 :16 Hakuna mashaka juu ya ukuu wa siri ya dini yetu. Alionekana katika umbo la binadamu alithibitishwa na roho kuwa ni mwadilifu akaonekana na malaika. Alihubiliwa kati ya mataifa aliaminiwa ulimwengu akachukuliwa juu katika utukufu.
Marko 10: 17-22Nipe hata mstari mmoja uliofanyiwa editing!!..
Kumbe we chizi hapo juu umenukuu Wagalatia3 :13.sasa nakupa andiko jingine we unauliza Maswali ya kipuuzi.Hayo maneno anasema nani? Na ni nani aliona akichukuliwa katika utukufu? Huyo roho aliyemthibitisha ameumbwa na nani....je ameumbwa na huyohuyo Yesu ambaye ndiye Mungu au? Kwa hiyo Mungu anathibitishwa na kiumbe alichokiumba?
Kilichoeditiwa ni nin?na original copy ilikuwa inasemaj?Marko 10: 17-22