Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Kwa Mkristo yeyote yule, wewe kudai na kutangaza kuwa Yesu sio Mungu ni kumkashifu na kumdhihaki. Inamuumiza sana. Ni wazi kuwa yeyote asiyekuwa Mkristo hawezi kuamini kuwa Yesu ni Mungu. Kwa sababu ukishaamini kuwa Yesu n i Mungu lazima utakuwa Mkristo. Ila ya nini kuutangazia ulimwengu hayo usiyoamini badala ya kutangaza yale unayoamini na hasa inapokuwa kutangaza yale usiyoamini ni kumkebeli yule mwenzio anayeamini? Ni wazi kuwa Wakristo ni wavumilivu na wapole nahuwa wanawaacha tu watu wawakebehi ili mradi wanachoamini wanajiona kuwa wako sahihi. Kwa mfano Wakristo hawaamini kuwa Muhammad ni mtume kwa sababu hayupo katika Biblia. Ila ni lini umemkuta Mkristo yeyote akinyanyua bango na kutangaza kutoamini utume wa Muhammad? Imefika mahali kila mtu aongelee na kutangaza kile anachoamini na wala sio kutangaza kile usichoamini ambacho wengine wanakiamini!!!!
Ubashiri wa Muhammad ulikuwepo kwenye pure Injili ambayo sasa imefanyiwa editing na watu kwa ajili Ya manufaa yao, mkristo akionekana na pure Injili kabisa kutoka kwa Allah mara anauliwa
 
Wewe na wenye mawazo kwamba Yesu alilaaniwa, tunawaombea dhambi hiyo ifutike kwa kuwa mnawaza kibinadamu. Na haipendezi kuleta ubishi wa kidini, kwa kuwa nguzo kuu ni IMANI.

Yesu kuzaliwa kwake, maisha yake na kifo chake kilitabiriwa mapema, kama baadhi yetu humu walivyonukuu vifungu vya Biblia. Kosa lao kubwa ni kutafsiri hayo maandiko kibinadamu.

Pamoja na upendo wa Mungu kuwatuma manabii, ikiwamo Muhammad, binadamu aliendelea kuwa mdhambi na ndipo akamtuma Yesu mwanae (nabii mkuu wa mwisho) kuwakomboa binadamu kwenye minyororo ya dhambi (shetani).

Kifo cha Yesu ndivyo Mungu alipenda iwe, kuwakumbusha binadamu kwamba ukifanya dhambi utaadhibiwa. Na adhabu kubwa, inayotisha binadamu, ni mauti.
Yesu na Muhammad ni nani aliekuja mwanzo, jibu
 
Wanatengeneza Wayahudi, na Wayahudi sio wakristo na kiimani hawakupendeni sana tu
1476178971828.jpg
MBONA UNAPINGANA SASA NA QURAN,YENYEWE INASEMA NI MARAFIKI ZETU WE UNAPINGA NIKUELEWEJ,BY THE WAY,MBONA HUTAJ UINGEREZA,USA,GERMANY, RUSSIA?
 
Wewe na wenye mawazo kwamba Yesu alilaaniwa, tunawaombea dhambi hiyo ifutike kwa kuwa mnawaza kibinadamu. Na haipendezi kuleta ubishi wa kidini, kwa kuwa nguzo kuu ni IMANI.

Yesu kuzaliwa kwake, maisha yake na kifo chake kilitabiriwa mapema, kama baadhi yetu humu walivyonukuu vifungu vya Biblia. Kosa lao kubwa ni kutafsiri hayo maandiko kibinadamu.

Pamoja na upendo wa Mungu kuwatuma manabii, ikiwamo Muhammad, binadamu aliendelea kuwa mdhambi na ndipo akamtuma Yesu mwanae (nabii mkuu wa mwisho) kuwakomboa binadamu kwenye minyororo ya dhambi (shetani).

Kifo cha Yesu ndivyo Mungu alipenda iwe, kuwakumbusha binadamu kwamba ukifanya dhambi utaadhibiwa. Na adhabu kubwa, inayotisha binadamu, ni mauti.
Mauti sio adhabu kabisaa,
 
Ubashiri wa Muhammad ulikuwepo kwenye pure Injili ambayo sasa imefanyiwa editing na watu kwa ajili Ya manufaa yao, mkristo akionekana na pure Injili kabisa kutoka kwa Allah mara anauliwa
latif 481 nishauri tu,hebu TUACHANE NA HAYA MAMBO,tunachokifanya hapa hatufundishani,tunabishana,kama una hikima nielew,kila MTU aendelee kuamini anachoamin tu inatosha!!..
 
Elungata NAPATA MASHAKA SANA NA WEWE KAMA UNAAMIN KUWA MUNGU ANAWEZA MAMBO YOTE,PIA UNAAMINI KWA MUJIBU WA QURAN TUKUFU,PIA MALAIKA WANAWEZA KUVAA/KUJIGEUZA KUWA BINADAM,SOM,QUR,6:9,QUR 19:17-View attachment 416103View attachment 416105UNASHINDWA NINI KUAMINI NI KITU RAHISI ZAIDI KWA M.MUNGU KUFANYA HIVYO?AU MALAIKA WANA UWEZO MKUBWA ZAID YA MUNGU?View attachment 416109
Naomba ufafanuzi wa comment namba 1068 wewe si ulikimbilia kwenye utatu. Haya nipe elimu ya huo utatu kwa kujibu hoja
 
Swali lako ni la ubishi wa kidini!

Kwangu ubishi wa kidini si shabiki, ila kama kuna jambo la kuchangia kuongeza ufahamu ili kuimarisha IMANI yangu, nashiriki.
Wewe si ulisema katumwa Muhammad kwa vile wanaadamu ni wadhambi, jibu swali
 
latif 481 nishauri tu,hebu TUACHANE NA HAYA MAMBO,tunachokifanya hapa hatufundishani,tunabishana,kama una hikima nielew,kila MTU aendelee kuamini anachoamin tu inatosha!!..
Ukweli ndo huo, kwenye Qur-an hamna historia Ya Muhammad kwa kuwa kaletewa yeye, Mbona kwenye Injili yenu mnayoitumia Kuna story Ya yesu je alipewa nani hicho kitabu
 
Mimi nlikuwa nakutaka hapo tu, umeiamin quran, mashallah mungu akuzidishie uzidi kuondoka, dah
[emoji120] [emoji120] [emoji120] Amiin,naamini katika vitabu vyote vya M.Mng(Taurat,Zabur,Injil,Quran(ndio maana ninayo)na naamin hakun mwanadam mwenye uwezo wa kugeuza Maneno yake,maana yeye mwenyew huyaifadhi maneno yake!!.
 
Biblia Takatifu yote! Hutaki meza sumu ya panya unune! wajanja kila Siku Tunamkiri Yesu kwamba!; Hakuna Mungu Apaswaye Kuabudiwa kwa Haqi ilaha Yesu na Prof Paulo in Mtume wake! Yesu nisamehe uovu wangu lakini naapa kwa Jina lako Sitakukana!!!! dhahir eeh?!



mbona unaamini uchakachuaji wa biblia wa wazee wa kanisa lako ????

Resurrection of the Lord? Not in this universe!



Reliable testimony?

HOW many women at the tomb?

Four + ?

Luke 24.10:

"It was Mary Magdalene and Joanna, and Mary the mother of James, and other women that were with them, which told these things unto the apostles."

Three ?

Mark 16.1:

"And when the sabbath was past, Mary Magdalene, and Mary the mother of James, and Salome, had bought sweet spices, that they might come and anoint him."

Two ?

Matthew 28.1:

"In the end of the sabbath, as it began to dawn toward the first day of the week, came Mary Magdalene and the other Mary to see the sepulchre."



One ?

John 20.1:

"The first day of the week came Mary Magdalene early, when it was yet dark, to the sepulchre, and saw the stone taken away from the sepulchre."



None !

1 Corinthians 15.4,8:

"He rose again the third day according to the scriptures. And that he was seen of Cephas, then of the twelve. After that, he was seen of above five hundred brethren at once; of whom the greater part remain unto this present, but some are fallen asleep. After that, he was seen of James; then of all the apostles. And last of all he was seen of me."
 
[emoji120] [emoji120] [emoji120] Amiin,naamini katika vitabu vyote vya M.Mng(Taurat,Zabur,Injil,Quran(ndio maana ninayo)na naamin hakun mwanadam mwenye uwezo wa kugeuza Maneno yake,maana yeye mwenyew huyaifadhi maneno yake!!.
Vizur, inamaana wewe unamuamin Muhammad kama ni nabii wa mwisho au
 
[QUOTilimuElungata, post: 18003631, member: 36407"]ha ha ha ha,hivi kwanini wagalatia hamnaga point za kuweka arguments zilizosimama?,

maana naona kadi ya kliniki,sijui eti inatakiwa uwe na roho mtakatifu kuielewa bible etc,kwanini hamuwezi kufanya intelligent arguments?[/QUOTE]

wewe ilimu ya roho huna ilaha ya kukamuana ngama sanda.3 kono vutu hapo sikubishii unayo...
 
[emoji120] [emoji120] [emoji120] Amiin,naamini katika vitabu vyote vya M.Mng(Taurat,Zabur,Injil,Quran(ndio maana ninayo)na naamin hakun mwanadam mwenye uwezo wa kugeuza Maneno yake,maana yeye mwenyew huyaifadhi maneno yake!!.
Hivyo vitabu vyote viligeuzwa na wanaadamu ndo maana akatumwa nabii mwengine ili kurekebisha kitabu cha nabii aliopita, na Injili iliharibiwa ndo maana akatumwa Muhammad kuja kuirekebisha kwa kutumia Qur-an.
 
Elungata NAPATA MASHAKA SANA NA WEWE KAMA UNAAMIN KUWA MUNGU ANAWEZA MAMBO YOTE,PIA UNAAMINI KWA MUJIBU WA QURAN TUKUFU,PIA MALAIKA WANAWEZA KUVAA/KUJIGEUZA KUWA BINADAM,SOM,QUR,6:9,QUR 19:17-View attachment 416103View attachment 416105UNASHINDWA NINI KUAMINI NI KITU RAHISI ZAIDI KWA M.MUNGU KUFANYA HIVYO?AU MALAIKA WANA UWEZO MKUBWA ZAID YA MUNGU?View attachment 416109


Swali:

Wapi katika vitabu vyote uvijuavyo ulimwenguni , Mungu alisema nitajidhihirisha kwa umbo la kibinadamu ??????

Hayo maneno uliyoyanukuu si maneno ya malaika
 
Ubashiri wa Muhammad ulikuwepo kwenye pure Injili ambayo sasa imefanyiwa editing na watu kwa ajili Ya manufaa yao, mkristo akionekana na pure Injili kabisa kutoka kwa Allah mara anauliwa

Kama kuna Injili iliyotabiri ujio wa Mtume Muhammad, sio injili ya Kristo, itakuwa ni injili nyingine tofauti kabisa na Injili iliyoletwa na Yesu Kristo. Halafu hii mambo ya kusema sijui nani kashushiwa kitabu gani ujue jambo hilo haliko katika Ukristo. Vitabu vyote vilivyomo katika Biblia VILIANDIKWA na wanadamu kwa uongozi na maelekezo ya Mungu mwenyewe. Kwa hiyo hoja kuwa kuna injili iliyomtaja Muhammad kama ilishishwa ni sawa lakini sio ile iliyoandikwa na mitume wa Yesu. Na kama ilishushwa kutoka kwa Mungu ujue fika kuwa huyo Mungu aliyeishusha hiyo injili na vitabu vingine SIO Maungu anayeabudiwa na Wakristo. Mungu wa Wakristo hakushusha kitabu chochote. Ndio maana torati inayosemekana imeshushwa ina utofauti mkubwa na torati iliyoandikwa na inayopatikana katika Biblia. Kwa mfano kitabu kilichoshushwa kinasema kuwa mtoto wa Ibrahim ambaye baba yake alitaka kumtoa sadaka ni Ishmail wakati torati iliyandikwa na watumishi wa Mungu kwa maelekezo ya Mungu inasema huyo mwana ni Isaka. Mungu aliyeshusha vitabu sio Mungu anayeabudiwa makanisani. Kila mtu abaki na Mungu wake na amani itakuwepo. Na kila mtu atakuwa sahihi kufuatana na Mungu anayemwamini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom