Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Kumbe nasumbuka na mwendawazimu,kama Muhammad alivyokuwa!!!.View attachment 415878
Wakiristo wote ni mambulula ukiwauliza swali hawawezi kukujibu watamtukana muhammad s.a.w.basi kwao kumtukana muhammad wanaona ndio jibu kumbe wanadhihirisha kwamba ni maboya tu kwa mfano mtoe jibu hapa yesu ni mungu? Je mungu anasulubiwa? Kwanini imeandikwa kwenye biblia amelaaniwa anae sulubiwa msalabani nataka majibu sio mapovu
 
Embu nieleweshe hili andiko maana mnadai yesu ni mungu na pia yesu mwenyewe ana Mungu wake ambapo yeye ni mtumishi wa huyo Mungu wake asa sijui kuna Mungu wangapi? Nieleweshe kuhusu andiko na sio porojo

Matendo 3:13

Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambaye ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.
Pita ivi[emoji117]
 
Unachekesha sana saiv unadai sio mungu ila ni mungu mtu kipindi anakuwa mungu kipindi anakuwa mtu mbona unajichanganya bi mkubwa? Acha kufikiri kwa kutumia makalio bi mkubwa
Ukatae sasa!; kwamba maajabu hayo Muumba wa vinavyo onekana kwa macho ya nyama na visivyo onekana hawezi!? Tamka wewe!? Umebaki makalio makalio!; ukitaka kujua Mungu hakukosea kumuumbia mwanadamu makalio, kalia kichwa uone...wewe ni#&%$anaaa...laanatulAllahi...
 
Wakiristo wote ni mambulula ukiwauliza swali hawawezi kukujibu watamtukana muhammad s.a.w.basi kwao kumtukana muhammad wanaona ndio jibu kumbe wanadhihirisha kwamba ni maboya tu kwa mfano mtoe jibu hapa yesu ni mungu? Je mungu anasulubiwa? Kwanini imeandikwa kwenye biblia amelaaniwa anae sulubiwa msalabani nataka majibu sio mapovu
[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] NIMEKUSHIKA PABAYA EEEHH,POLE SANA AISEE,ETI WAKRISTO MAMBULULA,NITAJIE MWISLAM YEYOTE UNAYEMJUA WEW ANAYEFAHAMIKA DUNIANI KATIKA TECHNOLOGICAL INVENTION & PHILOSOPHICAL AFFAIRS,AU HUJUI HATA HAYO **MABOMU*** MNAYOVAA ILI MJILIPUE TUNATENGENEZA SISI?[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ukatae sasa!; kwamba maajabu hayo Muumba wa vinavyo onekana kwa macho ya nyama na visivyo onekana hawezi!? Tamka wewe!? Umebaki makalio makalio!; ukitaka kujua Mungu hakukosea kumuumbia mwanadamu makalio, kalia kichwa uone...wewe ni#&%$anaaa...laanatulAllahi...
Si nimesema utakuja na mapovu kama umebugia omo huna jibu kaa kimya sio utukane watu
 
Wakiriskwamba;e ni mambulula ukiwauliza swali hawawezi kukujibu watamtukana muhammad s.a.w.basi kwao kumtukana muhammad wanaona ndio jibu kumbe wanadhihirisha kwamba ni maboya tu kwa mfano mtoe jibu hapa yesu ni mungu? Je mungu anasulubiwa? Kwanini imeandikwa kwenye biblia amelaaniwa anae sulubiwa msalabani nataka majibu sio mapovu
wewe usiwe kama Toto linalilia pipi...malizia swami lako kwamba; Mungu hawezi ili tujue kungwi yako aliye kufundisha ilimu ya kumjua Mungu hana sifa ya kufundisha hill somo na Mungu hamjui...unaleta bla black za masigidi humu? wee vipi dogo..
 
[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] NIMEKUSHIKA PABAYA EEEHH,POLE SANA AISEE,ETI WAKRISTO MAMBULULA,NITAJIE MWISLAM YEYOTE UNAYEMJUA WEW ANAYEFAHAMIKA DUNIANI KATIKA TECHNOLOGICAL INVENTION & PHILOSOPHICAL AFFAIRS,AU HUJUI HATA HAYO **MABOMU*** MNAYOVAA ILI MJILIPUE TUNATENGENEZA SISI?[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jibu swali yesu ni mungu? Je mungu anasulubiwa? Kwanini andiko linasema amelaaniwa anaesulubiwa msalabani! Sijakuuliza kuhusu sayansi au siasa kama hunajibu ni bora ukae kimya kuliko kujifanya unajua sana kumbe hujui lolote
 
mr chopafani..st: 18001487 said:
Si nimesema utakuja na mapovu kama umebugia omo huna jibu kaa kimya sio utukane watu
Kumbe wazimu ni fani...had I unapotezea swali...hhhhhhhh...
 
wewe usiwe kama Toto linalilia pipi...malizia swami lako kwamba; Mungu hawezi ili tujue kungwi yako aliye kufundisha ilimu ya kumjua Mungu hana sifa ya kufundisha hill somo na Mungu hamjui...unaleta bla black za masigidi humu? wee vipi dogo..
Sasa unalia nini bimkubwa mbona unauzunguka mbuyu mi nimekuuliza swali nilitegemea majibu hayo mengine ya mapovu inabidi nikuvumilie tu nakushauri kama vp bora ukae kimya bibie naona unapoteza mwelekeo toka lini mwanaume akawa na kungwi? Ok vp ushamwandalia mzee chai au wachati tu saiv
 
Jibu swali yesu ni mungu? Je mungu anasulubiwa? Kwanini andiko linasema amelaaniwa anaesulubiwa msalabani! Sijakuuliza kuhusu sayansi au siasa kama hunajibu ni bora ukae kimya kuliko kujifanya unajua sana kumbe hujui lolote
Kwa kuwa umekuja vizuri NAKUJIBU,sasa kiungwana,NDIO YESU NI MUNGU!!!...
1476168690656.jpg
1476168698348.jpg
1476168763073.jpg
1476168777036.jpg
1476168791895.jpg
1476168800737.jpg
1476168824211.jpg
1476168838275.jpg
YASIPOTOSHA SEMA NIKUONGEZE!!..
 
Embu nieleweshe hili andiko maana mnadai yesu ni mungu na pia yesu mwenyewe ana Mungu wake ambapo yeye ni mtumishi wa huyo Mungu wake asa sijui kuna Mungu wangapi? Nieleweshe kuhusu andiko hili na sio porojo.

Matendo 3:13
Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambaye ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.
 
Ni vizuri umenipa huo ushahidi wa kitabu unacho kiamini siwezi kupinga pia naomba haya maswala ya imani tusipende kukashifiana wewe ni mkristo amini dini yako na mimi muislamu naamini dini yangu jambo la muhimu tuepuke kukashifiana ila kuna wengine ukimuuliza swali unataka kujua kitu basi yeye anajua tu huyu atakuwa muislam anaanza kashfa kuna kuwa sasa hakuna mjadala ni kashfa tu asante ndugu kwa majibu yako
 
[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] NIMEKUSHIKA PABAYA EEEHH,POLE SANA AISEE,ETI WAKRISTO MAMBULULA,NITAJIE MWISLAM YEYOTE UNAYEMJUA WEW ANAYEFAHAMIKA DUNIANI KATIKA TECHNOLOGICAL INVENTION & PHILOSOPHICAL AFFAIRS,AU HUJUI HATA HAYO **MABOMU*** MNAYOVAA ILI MJILIPUE TUNATENGENEZA SISI?[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23]



Ni kweli hata hiyo biblia , kanisa lako linaungama kuwa wameichakachua wao

ushahidi huu hapa

HILI NI BOMU LA NGUVU LIMETENGENEZWA NA KANISA KATOLIKI ,

LISOME MWENYEWE UTAFAKARI

Most shocking of all, the Roman Catholic Church herself admits to the forgery of the Holy Scriptures. The Catholic Encyclopedia, Volume 6, page 136, gives us this admission.

"Substitution of false documents and tampering with genuine ones was quite a trade in the Middle Ages. Innocent III (1198) points out nine species of forgery [of ecclesiastical records] which had come under his notice.

But such frauds of the Church were not confined to the Middle Ages; they begin even with the beginning of the Church and infest every period of its history for fifteen hundred years and defile nearly every document, both of "Scriptures" and of Church aggrandizement. As truly said by Collins, in his celebrated Discourse of Free Thinking:

"In Short, these frauds are very common in all books which are published by priests or priestly men... For it is certain they may plead the authority of the Fathers for Forgery, Corruption and mangling of Authors, with more reason than for any of their Articles of Faith.."(p.96.)

So by forging, altering, and changing the Holy Scriptures, including the inspired record of Jesus's teachings, Christianity has brought forth a pagan God-savior and a way of life in complete opposition to God's Laws.
 
Kwa Mkristo yeyote yule, wewe kudai na kutangaza kuwa Yesu sio Mungu ni kumkashifu na kumdhihaki. Inamuumiza sana. Ni wazi kuwa yeyote asiyekuwa Mkristo hawezi kuamini kuwa Yesu ni Mungu. Kwa sababu ukishaamini kuwa Yesu n i Mungu lazima utakuwa Mkristo. Ila ya nini kuutangazia ulimwengu hayo usiyoamini badala ya kutangaza yale unayoamini na hasa inapokuwa kutangaza yale usiyoamini ni kumkebeli yule mwenzio anayeamini? Ni wazi kuwa Wakristo ni wavumilivu na wapole nahuwa wanawaacha tu watu wawakebehi ili mradi wanachoamini wanajiona kuwa wako sahihi. Kwa mfano Wakristo hawaamini kuwa Muhammad ni mtume kwa sababu hayupo katika Biblia. Ila ni lini umemkuta Mkristo yeyote akinyanyua bango na kutangaza kutoamini utume wa Muhammad? Imefika mahali kila mtu aongelee na kutangaza kile anachoamini na wala sio kutangaza kile usichoamini ambacho wengine wanakiamini!!!!
 
Embu nieleweshe hili andiko maana mnadai yesu ni mungu na pia yesu mwenyewe ana Mungu wake ambapo yeye ni mtumishi wa huyo Mungu wake asa sijui kuna Mungu wangapi? Nieleweshe kuhusu andiko hili na sio porojo.

Matendo 3:13
Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambaye ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.
Biblia inasema kuna MUNGU MMOJA TU,aliyejifunua katika nafsi 3(yaani Baba, Mwana,na roho Mtakatifu)si watatu bali mmoja,(angalia kwa makin hizo aya anasema katika WINGI anafanya katika UMOJA)
1476171094479.jpg
1476171099812.jpg
1476171108043.jpg
1476171113419.jpg
1476171120412.jpg


2:Inatakiwa ujue pia kuwa YESU alikuwa akiishi kabla hata ya kujidhirisha katk mwili akiwa MUNGU HALISI,ushahidi,
1476170753393.jpg
1476170784442.jpg
1476170801379.jpg
1476170811340.jpg
1476170826948.jpg
1476170832590.jpg

3,Baada ya YESU kuuvaa MWILI ndio hayo yote Mnayoyasema yakatokea,Akala,akasinzia,akawa mtumwa,Mtumishi,MTU,atachoka nk,
1476171392618.jpg
1476171396632.jpg
1476171402093.jpg
 
Kuna tofauti kubwa sana huyu aliyetajwa na Allah kuwa masih hakupigwa mijeredi na watu (hakusulubiwa)Mungu alikuwa akimpenda na kumpa heshima yake ya unabii. Lakini huyu aliyelaaniwa ni yesu huyo aliyepigwa mijeredi na watu mpaka akalia na kuomba msaada kwa Mungu kuwa kamuacha. Allah hana Masih aliyetundikwa msalabani.
Wewe na wenye mawazo kwamba Yesu alilaaniwa, tunawaombea dhambi hiyo ifutike kwa kuwa mnawaza kibinadamu. Na haipendezi kuleta ubishi wa kidini, kwa kuwa nguzo kuu ni IMANI.

Yesu kuzaliwa kwake, maisha yake na kifo chake kilitabiriwa mapema, kama baadhi yetu humu walivyonukuu vifungu vya Biblia. Kosa lao kubwa ni kutafsiri hayo maandiko kibinadamu.

Pamoja na upendo wa Mungu kuwatuma manabii, ikiwamo Muhammad, binadamu aliendelea kuwa mdhambi na ndipo akamtuma Yesu mwanae (nabii mkuu wa mwisho) kuwakomboa binadamu kwenye minyororo ya dhambi (shetani).

Kifo cha Yesu ndivyo Mungu alipenda iwe, kuwakumbusha binadamu kwamba ukifanya dhambi utaadhibiwa. Na adhabu kubwa, inayotisha binadamu, ni mauti.
 
Kumbe nasumbuka na mwendawazimu,kama Muhammad alivyokuwa!!!.View attachment 415878


Jesus is insane—and we are not the only ones who think so.

Even his family thought Jesus was nuttier than a fudge sundae.

Mark 3:21 says ‘When his family heard about this, they went to take charge of him, for they said, He is out of his mind.’”

When his appeals to reason failed to convince the religious herd, Dr. Eardman made yet one more rational appeal:

“Do we really want to entrust our souls to a man who had a disciple who ran around with nothing but a towel on?” (John 21:7)
 
KUNA MUNGU MMOJA TU(aliyeufunua UPENDO wake kwetu katika nafsi 3,suala la kuvaa MWILI(incarnation) aliliahidi zaman sana kupitia MANABII wake soma,KUMTENGANISHA YESU NA BABA YAKE HAIWEZEKANI,NI SAW NA KUUTENGA UMEME KUTOKA KWENYE WAYA(UMEME UKAE PEKE YAKE NA WAYA PEKE YAKE)YESU mwenyew anasema UMHESHIMU YEYE KAMA UNAVYOMHESHIMU BABA(MUNGU
1476172707119.jpg
1476172715840.jpg
1476172723420.jpg
1476172729401.jpg
1476172734510.jpg
1476172739351.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom