Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Nakubali kuwa Mungu muumbaji ni mmoja ila kubaliana na mimi kuwa kuna watu wanadhani kuwa wanamuabudu Mungu muumbaji kumbe kiukweli ni kuwa wanachoabudu sio Mungu na wala hakifanani na Mungu. Kwa maana nyingine ni kuwa kati ya Waislam na Wakristo mojawapo wa dini hizi mbili moja kwa uhakika inaabudu asiyekuwa Mungu muumbaji na nyingine labda inamuamini huyo Mungu muumbaji. Nasema labda kwa sababu yawezekana huyo muumbaji anaabudiwa na Wahindu au Mabudha nk
 
[emoji106]
 
Ndg Doto wewe na Paulo hamna tofauti maana alikuwa mwanafunzi wa torati ya Musa hiivyo aliijua kweli lakini akawauwa wanafunzi wa Bwn Yesu!!

Kwa vile unachunguza maandiko shetani eshikilia ufahamu wako.
utakuwa mtumishi wa Bwn Yesu! Soma Yohn 1:1-10.
 
Halaf kitu kimoja, unajifanya uislamu unauelewa ndani nje Hali Ya kuwa unakosea sana kwenye kutaja majina Ya hivyo vitabu,utachekwa

Umenikumbusha zama zile za washihiri wale guo guo guo...alipiga hodi hodi hodi mama mkundu mnene yuko yana nampa kufira mtoto ndogo...kidogo apigwe bakora hadi alipoingilia muelewa mmoja kwamba huyu hajatukana ilaha ameuliza mama mwekundu mnene yupo? Jana alimpa kofia ya mtoto mdogo...unaona athari ya kukosoa ulimi wa mama? mimi sio maarab ili niwe sahihi kama maarab!; maadam ujumbe umefika na umeelewa nia yangu inatosha...weka tu kwa faida ya wote wenye uchu na vutu watasilimu...
 
Ndo kama hujui usiseme, unakosea tu kosea tu, hatukuelewi, hicho kiswahili chenyewe hujui
 
Ndo kama hujui usiseme, unakosea tu kosea tu, hatukuelewi, hicho kiswahili chenyewe hujui
Hamia jukwaa la lugha basi utawakuta wajuzi!; hapa ni jukwaa la deen/Imani si lazima ujue lugha ili ufahamu zinaa, uongo, uuaji, wizi ni dhambi...mkiambiwa mazwazwa mnarsha mimate...hhhhhhh...
 
Hamia jukwaa la lugha basi utawakuta wajuzi!; hapa ni jukwaa la deen/Imani si lazima ujue lugha ili ufahamu zinaa, uongo, uuaji, wizi ni dhambi...mkiambiwa mazwazwa mnarsha mimate...hhhhhhh...
Ushakuwa unaongea pumba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Labda huyu mgeni anatumiaga kilevi,maana hata haeleweki anachoongea
 
Sawa Muislam ubwabwa!!..
 
UKWELI UMEUONA UMEPATA KICHAA, POLE SANA ,

TUNAKUSAIDIA UPATE KUWACHA KUMWABUDU KIUMBE KAMA WEWE ALIYEZALIWA NA MWANAMKE NA KUCHEZA NA WATOTO WENZAKE CHEKECHEA , PAULO AKAMFANYA NI MUNGU KUWARIDHISHA WAPAGANI WALIOKUWA WAKIABUDU MUNGU MTU ZEUS

NINAUNGANA NA MTOA MAADA. NADHANI UNDONDOCHA WAKO NI PALE USIPONIELEWA NILICHOKIELEZA.

NARUDIA TENA. YESU HAKUWA MUNGU ALIKUWA MTU KAMA MIMI NA WEWE. AMBAE ALIKUFA KWA KUNYONGWA KWENYE MTI.

KAMA VILE MUHUNI, MALAYA, MUUWAJI MOHAMAD IBN ABDULLAT AMBAE KAJIPA UTUME NA MSUKULE KAMA WEWE UKAMUAMINI MALAYA KUWA MTUME WAKO. AMBAE NAE ANAKIRI KUWA SIKU YA MWISHO ATAHUKUMIWA NA HUYO YESU.

USICHONIELEWA HAPO NI NINI? KIFUPI HAKUNA NINAE MUABUDU KATI YA MALAYA, MUUWAJI NA ASIE MUNGU.
 
Hivyo vitabu vyote viligeuzwa na wanaadamu ndo maana akatumwa nabii mwengine ili kurekebisha kitabu cha nabii aliopita, na Injili iliharibiwa ndo maana akatumwa Muhammad kuja kuirekebisha kwa kutumia Qur-an.
Ok sawa!!.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…