nina ushahidi mkuu,hayo maneno ,"eloh eloh lamasabaktan "yamechukuliwa toka zaburi na inatia wasiwasi kama kweli yesu aliyatamka,kwani waandishi wanapishana,
mmoja anadai kabla yesu hajakata roho alitamka ," eloh eloh.....,kisha akakata roho.
Mwandishi mwingine anasema,yesu alitamka ,"IMEKWISHA",kisha akakata roho,
mwandishi wa tatu anadai yesu alisema,"baba yangu roho yangu naikabidhi kwako",kisha akakata roho,
so nani yuko sahihi hapo,
pia uelewe copy za aina hiyo toka agano la kale kuja jipya zipo