Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Sio aya moja tu Bali Biblia yoote imekuja kumfunua Mungu kati ya Binadamu...

Yaani biblia imemfunua mungu ,kazi ipo .

Mungu kashindwa kujifunua.

Jibu yale maswali niliyokuuliza
 
Paulo anaweza kua sawa tu,kwa MUNGU yote yawezekana kama alivyoweza kumtengeneza popo.wengine wanamuita ndege na wengine humwita mnyama.yamkini YESU alikua BINADAMU na MUNGU pia
Yesu hawezi kuwa Mungu, ila ni mjumbe kutoka kwa Mungu ili kuwaongoza watu wapite katika njia ilioonyooka (haki).
Mungu hawezi kusulubiwa na wale aliowaumba
 
Kuna shida gani MUNGU kujigeuza mtu ili watu wabishi wamuelewe?ilihali ana sifa ya mpaka kuijua kesho na ndo kaumba kila kitu hapa duniani,hua anaweza kutamka jambo liwe na linakua,leo kaona watu hawabadiliki kwa kumsikia tu bila kumuona akaamua aje kwa umbo la kibinadamu na ajifananishe na sisi kwa kua alituumba kwa mfano wake shida iko wapi?
Hamna kitu kama hicho bro, biblia ni moja Lakin waumini mnapingana, si kuchanganyikiwa huko, Mungu hakufanana na kiumbe chochote na wala hakuzaa wala hakuzaliwa na yeye ni mmoja tu hana mshirika
 
Bible siyo kama kitabu cha hadithi ambacho kila mtu anasimulia na kufasiri, kila mtu ashike imani yake maana hukumu ya siku za mwisho haitakuwa kwa makundi. Mimi msimamo wangu ni huu,

YESU KRISTO NI MUNGU
Tatizo biblia ni combination Ya vitabu vingi ndo maana inaleta utata kwa waumini wa kikristo
 
BORA HUYU KULIKO NINYI,MNA MAFUNDISHO YA **AJABU**/IMANI AMBAYO MNAYAFICHA KUPITIA LUGHA YA *KIARABU** YAAN HATA WATOTO WANAOSOMA**MADRASA**WANGEKUWA WANASOMESHWA *QURAN*KWA LUGHA ZAO ASINGEKUWEM HATA MMOJ,MFANO,View attachment 407536View attachment 407538View attachment 407539View attachment 407540View attachment 407541View attachment 407542View attachment 407543View attachment 407544View attachment 407545View attachment 407546
Waislamu wanasomeshwa quran Baadae tafsiri Ya quran, sio kama inafichwa imani, 80% percentage Ya vitu vilivyotajwa katika quran ni proved only 20 ambavyo havipo proved kwa sababu zimetaja pepo na moto. Kwa hivyo usiijadili Qur-an utaumia
 
Hamna kitu kama hicho bro, biblia ni moja Lakin waumini mnapingana, si kuchanganyikiwa huko, Mungu hakufanana na kiumbe chochote na wala hakuzaa wala hakuzaliwa na yeye ni mmoja tu hana mshirika
Yeye mwenyewe alisema na afanye mtu kwa mfano wake afu we unasema hakufanana na kiumbe chochote.we jamaa vipi wewe?!
 
Halafu uniambie huyo mtu wa vita ni ndio Yesu.Pia kuna kitu kinaitwa karina katika somo la balagha sijui kama unalijua,katika somo muhimu la lugha.

Hapo imetumika balagha,katika kipengele kiitwacho "karina",katika elimu ya balagha.

Ufafanuzi juu ya hilo

Karina ni hali ya kutowezekana katika kitu au tamko lilotumika nadala ya tamko halisi.Nakupa mfano maarufu sana.Nikisema nimemuona simba anashuka kwenye mimbari kwa akili yako ya kawaida na iliyo salama hautafikiria ya kuwa simba mnyama lazima itakupa jibu ya kuwa huyo aidha ni mtu mwenye Simba au mwenye sifa yaani nguvu kama za simba.Hapa inakubalika balagha katika majazi sababu katika hali halisi simba kiuhalisia hawezi kuwa binadamu.

Tukirudi katika tamko lako "Bwana ni mtu wa vita",hiyo ni majazi na limetumika hapo sababu kamwe mtu hawezi kuwa Bwana kama andiko linavyosema.

Kwahiyo andiko hilo ni dhidi yako.Na karina hapo ndio imetoa ile hali wezekano na ndio hilo neno limetumika badala ya neno jingine.

Kama hujaelewa uliza.
Uko vizur nahwu na balagha, majazi akiliiy ni sifa ambayo anyopewa mtu pasipo kuwa na uwezo nalo. Lugha Ya kiarabu ni nzuri sana wallah hawajui
 
Lete aya moja tu yesu anasema mimi ni mungu

Yesu si binadamu ni Mungu Yohane 1:1-4. Na kwa kuwa ni Mungu hakuwa na sababu ya kujionyesha yeye bali kutimiza mapenzi ya Mungu Baba. Hakutaka kujitukuza yeye "... mjifunze kwangu kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo" Hayo mambo yenu ya "Mtanijua mimi ni nani" mtabaki nayo ninyi.

Yesu ni Mungu full stop (hata shetani analijua hilo na anawashangaa) maswali mengi na mijadala isiyo na tija haibadilishi hilo. Amini na uzaliwe mara ya pili atakupa mambo makubwa usiyoyafahamu kwani kwa imani hiyo kukuelewesha ni sawa na kuwatupia nguruwe chakula cha watoto.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom