Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,203
- 1,422
Kesi ikichukua muda mrefu mnalalamika kwamba kucheleweshwa kwa haki ni kumnyima mtu haki yake. Kesi ikiendeshwa haraka bado mnalalamika. Mtu ameshikwa na pesa kinachozidi kiwango kinachoruhusiwa.Hii kesi mbona imetolewa maamuzi ndani ya muda mfupi hivi!!? Hakukuwa na mambo ya uchunguzi haujakamilika wala nini, kuna kitu hapo si bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi kamili ni hizo fedha zenyewe. Sasa unataka kesi ichukue miezi mingapi na kwa sababu zipi kwa kuwa ushahidi upo hapo tayari kwamba fedha zilikuwa kiasi kadhaa ambacho kinazidi kiwango kinachoruhusiwa?
Kesi zote lazima ziendeshwe hivi na tulalamikie zile tunazoona zinazidi 'reasonable time' ya kufanya uchunguzi.