leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 563
- 2,198
Aloooh....
Yaani hapa naona kabisa pata shika nguo kuchanika hiyo tarehe moja ππππ€π€π€Basi subiri mambomazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aloooh....
Yaani hapa naona kabisa pata shika nguo kuchanika hiyo tarehe moja ππππ€π€π€Basi subiri mambomazuri
Sina kitu, sina pesa, sina kazi, sina ratiba na hivyo sina muda maalumu wa kuamka.Alafu wee vishu jau..
Hvi ndo mda wa kuamka huu kaka πππππππ
Mimi nipo Mbeya Pazuri by now. Panda ndege kesho saa nne uwe hapa kwaajili ya Boxing day mkuuYoyote yule ambaye yupo tayari kutoa mwaliko Mimi nipo tayari..
Location Gongo la mboto...
Nafika sehemu yoyote ile ndani ya jiji la dasalamu..
Nakuja na vitendea kazi vyangu
Kama Kijiko
Ndizi
Kachumbari
Maji na soda...
Ahsante sana
Update::
ππππππππππ
Sema mood jau sana mi title sijaweka hivo wakuu ππππ
Kaongezeka Joline
Mpaka sasa ubao ni 0-0 (11;16)
Sijanywa chai nasubiri mialiko wakuu
Mialiko imepatikana ila daah imekua noma kweli an nauli tena kipengele wakuu
Nauli elfu 80 weee mku are we seriousHapana mkuu sina uchoyo,nauli yako tu
Madam nimeshiba mieeeKimbia vitapoa πΉ
Mbeya pazuri hapo kwa mama john au sai..Mimi nipo Mbeya Pazuri by now. Panda ndege kesho saa nne uwe hapa kwaajili ya Boxing day mkuu
Nikaribishe banaHahaaaaa pole
Weee jamaaa mvivu sanaSina kitu, sina pesa, sina kazi, sina ratiba na hivyo sina muda maalumu wa kuamka.
Sai boy. Mama John na Mafyati hakuna mbeya pazuriMbeya pazuri hapo kwa mama john au sai..
Au ya mafuati
Mvivu wa nini sasa?? Criteria gani unatumia??Weee jamaaa mvivu sana
Tatizo ni umbali sasa,ila mi kiroho safi kabisaNauli elfu 80 weee mku are we serious
Hahahaaa we sikualiki na unajuaNikaribishe bana
Kumbe tupo wote chuga πππNi hiyo tu nimeona mimi.
Nipo chuga karibiu..usisahau pilipili
Mmmh kwanini bana...Hahahaaa we sikualiki na unajua
Karibuuu kesho Ufurahie mwaka mpyaa.
Nifurahie wapi sasa ..Karibuuu kesho Ufurahie mwaka mpyaa.
Sai boy. Mama John na Mafyati hakuna mbeya ppazu
Sai boy. Mama John na Mafyati hakuna mbeya ppazu
Kesho tar 01 holiday, ngoja niangalie schedule yangu.Mapacha lounge _Songwe mkabala na Ifisi ,je tunaweza kupiga story na nikupige fix zangu mkuu ?Hapo kesho