Yeyote mwenye mwaliko wa Sikukuu ya Christmas afunguke, nakuja na vitendea kazi vyangu

Yeyote mwenye mwaliko wa Sikukuu ya Christmas afunguke, nakuja na vitendea kazi vyangu

Sina roho mbaya mie, Nakualika mbuzi Katorik wa kuchoma na ndizi, ni hapa Kamsamba wilaya ya Mimba, na ya kubeba nakuwekea
 
Sina roho mbaya mie, Nakualika mbuzi Katorik wa kuchoma na ndizi, ni hapa Kamsamba wilaya ya Mimba, na ya kubeba nakuwekea
Astakfillah astakfillah daaah mkuu ....
Mi huyo sili bana daaah
 
Kama kawa kama dawa😋😋😋
FB_IMG_1735111528775.jpg
 
Le dada mi ntakuha peke angu..
Kwanza anti dorry mshen....ziiiii huyo aaaaaghhh

Yaani kauchuna kimya mbwa yule
Nakuja tar 30 ntakua huko ,,,, ukija utamkuta mdogo ye hanywi pombe!!!! Unajua pilau limeiva Niko bize na kupakua
 
Nakuja tar 30 ntakua huko ,,,, ukija utamkuta mdogo ye hanywi pombe!!!! Unajua pilau limeiva Niko bize na kupakua
Leo dada mi nitakuja kweli bana ..
Till now sijapata mwaliko ule strong aiseee daaaah kweli jf nouma jamni 🙌🙌🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom