Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astakfillah astakfillah daaah mkuu ....Sina roho mbaya mie, Nakualika mbuzi Katorik wa kuchoma na ndizi, ni hapa Kamsamba wilaya ya Mimba, na ya kubeba nakuwekea
mkuu umepewa mwaliko unaukataa??Astakfillah astakfillah daaah mkuu ....
Mi huyo sili bana daaah
Wee mkuu ndo nguruwe seriously.....mkuu umepewa mwaliko unaukataa??
Namuogopaje kawaumba wanyama woteWee mkuu ndo nguruwe seriously.....
Aaaah weeee bana wee muogope Mungu
Mkuu niache bana...Namuogopaje kawaumba wanyama wote
Kama kawa kama dawa😋😋😋
Daaah haya madude hapana kwa kweliKama kawa kama dawa😋😋😋View attachment 3184721
Njoo bonyokwa, kuna pilau la miguu ya kuku huku na chachandu ya kushato 😹
Ndio nasepa hii location muda huu..Mkuu huko hamna sehemu nisiyo ijua aiseeee...
Yaani poteee huko 😀😀😀
Kama ningekua karibu daah mapema kabusa ningetokea hapo mkuu
Picha muhimuuNjoo bonyokwa, kuna pilau la miguu ya kuku huku na chachandu ya kushato 😹
Nakuja weeeeh....Njoo bonyokwa, kuna pilau la miguu ya kuku huku na chachandu ya kushato 😹
Nakuja tar 30 ntakua huko ,,,, ukija utamkuta mdogo ye hanywi pombe!!!! Unajua pilau limeiva Niko bize na kupakuaLe dada mi ntakuha peke angu..
Kwanza anti dorry mshen....ziiiii huyo aaaaaghhh
Yaani kauchuna kimya mbwa yule
Leo dada mi nitakuja kweli bana ..Nakuja tar 30 ntakua huko ,,,, ukija utamkuta mdogo ye hanywi pombe!!!! Unajua pilau limeiva Niko bize na kupakua
Tulia tar1 nakupa mwaliko na kipochi manyonya cha aunt wa bariadiLeo dada mi nitakuja kweli bana ..
Till now sijapata mwaliko ule strong aiseee daaaah kweli jf nouma jamni 🙌🙌🙌🙌🙌
Aloooh....Tulia tar1 nakupa mwaliko na kipochi manyonya cha aunt wa bariadi
Hapana mkuu sina uchoyo,nauli yako tuSawa mkuu tuinjoi bana we endelea. Kuwa uchoyo wako
Natumia kiswaswadu 😹Picha muhimuu
Kimbia vitapoa 😹Nakuja weeeeh....
Nakujahio nakuja kweli aiseeeee
Hahaaaaa pole