Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
UsiogopeDuuh mkuu mbona hatar hyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsiogopeDuuh mkuu mbona hatar hyo
Si ni kweli unataka uende ukale😳😳😳😳😳 Ni kweli madam..
Sema usiongee kwa sauti madam maana wana visilani hao....
We assume kuna jamaa juu kule et anasema naendekeza tumbo 😢😢😢😢😢
Pilau hakuna aisee kuna ndizi nyama na mbogambogaSawa sawa mkuu eeehe na jua hili mbona show itakua kali ahahahahha ila ngoja nifanye mpango kama tafanikisha japo uhakika ni sifuri
We noma aisee unajua kila kituo 😂Mkuu mi huko napajua before hyo azam ajachukua uwnja..
Enzi hizo nilikua nakaa kwa tinyango hapo
DaaahUsiogope
komaaPoorbrain's uncertainty principle
"" It is impossible to measure or calculate exactly both the Intelligence Quotient and the Emotional Quotient of the Brain by temporary event *"".
Ndi ni kweli nataka nikale mkuu...Si ni kweli unataka uende ukale
😢😢😢Khaaaa mbona pa hovyo sasa mkuuPilau hakuna aisee kuna ndizi nyama na mbogamboga
Mkuu huko hamna sehemu nisiyo ijua aiseeee...We noma aisee unajua kila kituo 😂
Daaah
😀😀😀😀😀😀 Heinsbergkomaa
Hapana mkuu .. we injoiii injoii mkuu 😀😀😀😀😀😀😀kuna shida?
Mkuu Poor Brain nipo LAKE ZONEUpo wapi..
Maana hyo ni nauli ya mbeya tena kule ushirika unafika..
We upo wapi mkuu
Aaaaha sawa sawa mkuu..Mkuu Poor Brain nipo LAKE ZONE
Karibu mkuu acha kuishia mbali uje kula na familia yakoNipe location mkuu wangu...
Nipo hapa
Sawa sawa mkuu upo wapi kwa sasa...Karibu mkuu acha kuishia mbali uje kula na familia yako
Hapana mkuuAaaaha sawa sawa mkuu..
We endelea ku injoi bana maana hilo jina nikajua wa nyumbani bana
Sawa mkuu tuinjoi bana we endelea. Kuwa uchoyo wakoHapana mkuu