Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #181
Huyu jamaa jau sana ujue π π π π πDuh unautaka kwenda kwa Gentleman Lindi?
Utashangaa anasema mama samia sijui kafanyaje kwaliiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa jau sana ujue π π π π πDuh unautaka kwenda kwa Gentleman Lindi?
Ni hiyo tu nimeona mimi.Inamana wewe umeona hii tuu madam πππππππππππ
Daaah ila kuna watu natural ni wakorofi tuu..
Nipe location madam dem
Upo wapi..Hata sipo mbeya
Sawa ACHA inaonekana hauna nia....Aaaaah mkuu hapo naingiaje ingije bana acha masikhara..
Kwanza wee upo hapo
Daaah chuga mbali...Ni hiyo tu nimeona mimi?
Nipo chuga karibiu..usisahau pilipili
Usisahau ukipata akili unichekiSafi mkuu enjoy sana bana
..
Mi bado nasubr mwaliko wa karibu na mimi...
Hao wa daslam wachoyoDaaah chuga mbali...
Oky madam we injoi bana.
Ngja nisubr kwa hawa hawa wa dasalam.
Ila asante sana kwa moyo wako madamu
ππππ
Nipo gongo la mboto mkuu..Sawa ACHA inaonekana hauna nia....
Ninazo akili..Usisahau ukipata akili unicheki
Badili jinaNinazo akili..
Kipimo cha akili nn mpaka umesema nikipata
π³π³π³π³π³ Ni kweli madam..Hao wa daslam wachoyo
Nani anataka kukaribisha Mazombi?Yoyote yule ambaye yupo tayari kutoa mwaliko Mimi nipo tayari..
Location Gongo la mboto...
Nafika sehemu yoyote ile ndani ya jiji la dasalamu..
Nakuja na vitendea kazi vyangu
Kama Kijiko
Ndizi
Kachumbari
Maji na soda...
Ahsante sana
Update::
ππππππππππ
Sema mood jau sana mi title sijaweka hivo wakuu ππππ
Kaongezeka Joline
Mpaka sasa ubao ni 0-0 (11;16)
Sijanywa chai nasubiri mialiko wakuu
Mialiko imepatikana ila daah imekua noma kweli an nauli tena kipengele wakuu
Yaan mkuu una element za ukatili ....
Yaani usipiangalia ukute apo hom wenzako wanakuita JANABI ila ndo vile kisiri siri
ππππ
Sawa mkuu,Nimekuelewa na Samahani kwa kwenda nje ya lengo la uzi wako ....Merry Christmas njema mkuuNipo gongo la mboto mkuu..
Kutoka hapa mpaka msoga unajua ni masaa mangapi..
Huku usafiri jau kufuka huko ingekua hapa hapa dasalam sawa mkuu..
Mkuu kweli nia ninayo.
Poorbrain's uncertainty principleBadili jina
Mapema kabisa mkuuu ..View attachment 3184675
Na kula biskuti na maji hapa karibu huku Kigamboni Mwongozo mtaa wa Somangila
Mkuu nani zombi sasa i π’π’π’Nani anataka kukaribisha Mazombi?
Shukran mkuuSawa mkuu,Nimekuelewa na Samahani kwa kwenda nje ya lengo la uzi wako ....Merry Christmas njema mkuu
Kutoka ferry mpaka hapa ni 18 km halafu unachukua bodaboda kama 3 kmMapema kabisa mkuuu ..
Vipi ni mbali na hapo mikadi mkuu
Sawa sawa mkuu eeehe na jua hili mbona show itakua kali ahahahahha ila ngoja nifanye mpango kama tafanikisha japo uhakika ni sifuriKutoka ferry mpaka hapa ni 18 km halafu unachukua bodaboda kama 3 km